GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na kwa Majina niliyoyaona ni dhahiri shahiri Baba mwenye Nyumba kwa sasa baada ya mwingine kuwa hajielewi hata Kumbukumbu tu hana atakuwa kahusika nayo kwa 95%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ngumu hiiNa kwa Majina niliyoyaona ni dhahiri shahiri Baba mwenye Nyumba kwa sasa baada ya mwingine kuwa hajielewi hata Kumbukumbu tu hana atakuwa kahusika nayo kwa 95%
Umeandika Kwa hisia sana.... mpk mtu atulize medula kukuelewaa.....well done 😊😊🤓🤓Wanavuna na alipopelekwa kuna mishe mingi utumishi pale madudu mengi ubabe mwingi akawe fair, akatatue migogoro watumishi hawana chao, mishahara kiduchu, madaraja miaka 6 watu hawapandishwi na hao watu wa utumishi docs zikipelekwa wanazikalia mpaka wapate chochote kitu ndo wafanyie kazi docs kwa kifupi idara kama hizi 5 za haki jinai ambazo zinachunguzwa utendaji kazi wake wasipoziwezesha kimaslahi kwa watumishi wake itakuwa shida coz vishawishi ni vingi vipo lakini wanajidahidi kukwepa alafu Mwajiri anapuuza maslahi watajuana ila kuna shida sana
Uyo ana akili za kimtaa, kimafia na kimkakati ila sio akili za darasani za kupata sijui maGPA au upper class au PhD yaani ni copy ya baba yake mpaka tabia huwezi ukamkuta analalamikaRidhiwani ana akili sana ...sema tu watu wanamchukulia poa kutokana ma BABA yake...lakini kichwani Yuko vizuri na ni product ya UDSM LAW SCHOOL
Hivi unajua ili usome UDSM Tena LAW halafu miaka hiyo ya nyuma unatakiwa uwe na div 1 mwisho point 4...sasa dogo kapita pale na GPA first class with honors..yupo vizuri sana upstairsUyo ana akili za kimtaa, kimafia na kimkakati ila sio akili za darasani za kupata sijui maGPA au upper class au PhD yaani ni copy ya baba yake mpaka tabia huwezi ukamkuta analalamika
Kwani unadhani baba yake hana akili,Jk ana akili kuliko rizwanRidhiwani ana akili sana ...sema tu watu wanamchukulia poa kutokana ma BABA yake...lakini kichwani Yuko vizuri na ni product ya UDSM LAW SCHOOL
Kuna tofaut ya kua na akili na kua na GPA kubwa & vise versa is true..... jua kutofautisha......Hivi unajua ili usome UDSM Tena LAW halafu miaka hiyo ya nyuma unatakiwa uwe na div 1 mwisho point 4...sasa dogo kapita pale na GPA first class with honors..yupo vizuri sana upstairs
Wewe umewekwa wapi?Na kwa Majina niliyoyaona ni dhahiri shahiri Baba mwenye Nyumba kwa sasa baada ya mwingine kuwa hajielewi hata Kumbukumbu tu hana atakuwa kahusika nayo kwa 95%
Hiyo law school kasoma lini!?Ridhiwani ana akili sana ...sema tu watu wanamchukulia poa kutokana ma BABA yake...lakini kichwani Yuko vizur hiyo LAW SCHOOL kasoma lini!
Wewe Acha uchawa wako , mambo gani mazuri ili hali ametumiwa na baba yake na waarabu wake kujimilikisha ardhi yenye madini huko Rukwa na Katavi. Huu ni ukoo wa mafisadi.Ridhiwani angepewa uwaziri kamili kbsa anafaha mno Ni mchapakazi na Wala Hana nnjaa Kali kihvyo hata ardhi mamb yalianza kuwa mazuri
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha kukaririshwa mambo dogo yuko vizurWewe Acha uchawa wako , mambo gani mazuri ili hali ametumiwa na baba yake na waarabu wake kujimilikisha ardhi yenye madini huko Rukwa na Katavi. Huu ni ukoo wa mafisadi.
Kwa ufisadi yeye na baba yake wako vizuri.Acha kukaririshwa mambo dogo yuko vizur
Mnapenda sana kuabudu watu.Hivi unajua ili usome UDSM Tena LAW halafu miaka hiyo ya nyuma unatakiwa uwe na div 1 mwisho point 4...sasa dogo kapita pale na GPA first class with honors..yupo vizuri sana upstairs