Huwezi kuwa rais WA nchi kama Tanzania na usiwe vizuri upstairs!! Kwa hiyo baba WA Watu yupo vizuriKwani unadhani baba yake hana akili,Jk ana akili kuliko rizwan
Nut anaweza Kusimamia Kesi Mkuu?Amewahi kusimamia na kushinda kesi gani mkuu?
Nikiiangalia Sura yake na Uongeaji wake siioni hiyo Division I ya Point 9 ila naona Upopoma mtupu tu ndani yake.Acha uongo basi rizwan kajoin udsm mwaka 2001 div 1 point 9 walikuwepo pale facult of law
Hivi ndivyo Majuha mnavyodanganyana mkiwa Vijiweni Kwenu / Mwenu?Kitendo Cha kusoma UDSM tu inatosha...UDSM ni chuo cha ndoto Kwa Kila mwanafunzi wa kitanzania
NB: kila anayemaliza form six hutamani kusoma udsm au muhas
Sijaona Chuo Kikuu bora kwa sasa nchini Tanzania kama cha SAUT Mwanza ambacho GENTAMYCINE nimesoma na najivunia kuwa Mmoja ya Watu niliosoma na Kupikwa vyema Kitaaluma, Kifikra, Kimkakati na Kimaarifa hasa kwa Kozi yangu Kipenzi ya Mass Communication ( Journalism )UDSM sote twapajua, Kuna marks za chupi pale vile vile unaweza ukamhonga supervisor ukaibuka na PhD nzuri tu, lakini when it comes to things on the ground PhD hiyo hiyo inashindwa kabisa kutatua changamoto za kiuchumi.
Tena Mshua ndiyo alikuwa Mtupu kuliko hata Mwana. Nina Wazee Wawili ( Mmoja sasa Mwanae ni Naibu Waziri ) walisoma nae wanasema alikuwa Mweupe hadi Aibu.Huwezi kuwa rais WA nchi kama Tanzania na usiwe vizuri upstairs!! Kwa hiyo baba WA Watu yupo vizuri
Mkuu ungefaulu vizuri usingesoma SAUT.Sijaona Chuo Kikuu bora kwa sasa nchini Tanzania kama cha SAUT Mwanza ambacho GENTAMYCINE nimesoma na najivunia kuwa Mmoja ya Watu niliosoma na Kupikwa vyema Kitaaluma, Kifikra, Kimkakati na Kimaarifa hasa kwa Kozi yangu Kipenzi ya Mass Communication ( Journalism )
Na pia ndiyo Chuo Kikuu alichosoma Genius wa Kimakuwa Hayati Benjamin William Mkapa ( aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania ) enzi hizo Kikiitwa Nyegezi Social Training Centre ( NSTI )
Kuna Ufaulu unaouzidi nilioupata wa Division II ya Form Four na Division I ya Form Six? Nasubiria Jibu lako tafadhali sawa?Mkuu ungefaulu vizuri usingesoma SAUT.
TRUST ME UNGESOMA UDSM
Maharamia???? kwani wamewafosi kitu chochote?? mmewachagua kwa kura. Kiukweli Ridhiwani ana bahati mbaya ya watu kumuingiza kwenye madudu mengi lakini ni mchapakazi sana.Huyu dogo bila hata influence ya baba yake uongozi anafaa huwezi kumlinganisha na hayo ma seti tupu Mwigulu, Napa na February. Muacheni kijana apige kazi yuko vizuri.Hakuna wivu wala chuki kwani Hawa ni maharamia waliotumia na wazidi kutumia influence yao kupora rasilimali zetu!
Kwahiyo mkuu ulichagua SAUT na ukaacha UDSM chuo cha taifa?...Kuna Ufaulu unaouzidi nilioupata wa Division II ya Form Four na Division I ya Form Six? Nasubiria Jibu lako tafadhali sawa?
Kazi ya vyombo vya dola kufuatilia ufisadi huko Katavi na Rukwa!Ongeza nyama
Mwisho wake watarudi kutawala Zanzibar tena kwani Jamshid amekwisha karibia yuko Muscat siku hizi. Na mama haishi kuwateua wajomba ili wale kwa kamba alizowapa huku akiwapigia zumari!😂😂Hao waarabu atakilwa wamevuryga sana. Huyu mama Mungu anamuona
Hamna kitu mle ni dafu koroma juu ya mabega yake!!!Tunaojuana na Waliosoma nae Law hapo UDSM na jinsi walivyomsaidia Kitaaluma wakati akiwa Mtupu Kimaarifa ngoja tunyamaze tu.
Nasikitika kwa huu Ukweli wako bado kuna Vichwa Ngumu, Chawa wake / wao na Wavivu wa Kufikiri watakukatalia na hata Kukubishia hapa.Hana kuwa vizuri kokote bado anauza NGADA na rafiki yake yule mwenye kituo cha TV Mbezi beach! Baba yake ndio protector wao kwenye hiyo biashara.
Mkuu nimekuuliza kwamba "uliacha UDSM ukachagua SAUT au matokeo Yako ndo yalikupeleka SAUT?Nasikitika kwa huu Ukweli wako bado kuna Vichwa Ngumu, Chawa wake / wao na Wavivu wa Kufikiri watakukatalia na hata Kukubishia hapa.