Mpira wa ulaya usiufananishe na Afrika, Simba baada ya dirisha la usajili kuisha, mechi watakazoshinda na za ndani tu. Wewe subiri utaona matokeo.Nilijua utatumika Kombe la Dunia kujifunza mpira kua yoyote anaweza kushinda na yoyote anaweza kufungwa lakini naona hujajifunza kitu bado unaendekeza porojo na tabiri kubahatisha.
HakikaYanga haiwezi kuwa na shabiki taahira hivi.
Hili swali lijibiwe tafadhaliHivi Ile faini waliyopigwa Simba na cafu kwa ushirikina na kusababisha kuchoma uwanja walishalipa ama bado???
Kigoda anajisifu mtandaoni kuwa aliwahi kwenda nchi ya ugenini na akaroga huko huko.Kuna timu mchezaji wake kapewa adhabu majuzi hapa kwa vitendo vya kishirikina vya kusafisha uwanja.
Ni kweli mkuu, kwa rekod ya simba hao wote anaweweza Taifa. Ila kwa ishu zinazoendelea simba kwa sasa, huenda wakapasuka vibaya sana.Awamu hii naziona Simba na Yanga wakifunzu robo fainali.
Kikubwa Simba aboreshe kikosi dirisha dogo hususani nafasi ya kiungo mkabaji na safu ya ushambuliaji, pia Yanga aboreshe safu ya ushambuliaji.
Makundi ambayo hizi timu zetu zimepangiwa hayatishi sana wote ni size yao kikubwa wapambane.
Ha ha haKibu akufikishe nusu fainali CAF?
Ngada fc ktk ubora wakoKwa kweli kwa kundi letu sisi yanga ndio underdog. Sioni namna tutapata wapi points maana timu yetu ni mbovu inayocheza na jukwaa na timu ya magazeti.
Kweni mpira wa ulaya wanacheza angani?Mpira wa ulaya usiufananishe na Afrika, Simba baada ya dirisha la usajili kuisha, mechi watakazoshinda na za ndani tu. Wewe subiri utaona matokeo.
Huyo ni takataka la uchawini kule mbumbumbu fcYanga haiwezi kuwa na shabiki taahira hivi.
Popoma [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hiyo ambayo naiona itafuzu Robo Fainali (CAFCL) kama ilivyozoea sasa ijipange zaidi kwenda hadi Nusu Fainali na ikibahatisha ifuzu Fainali japo kwa Kikosi chake cha sasa na Migogoro iliyopo hilo silioni labda kwa Michuano ya Msimu ujao pale tu ikitulia Kiutawala na Kiudhamini (Kiuwekezaji)
Hiyo nyingine ambayo naiona ikijitahidi sana katika Michezo yake yote ya (CAFCC) itaambulia Point (Alama) Moja tu ila kwa Ugumu wa Mashindano iliyomo na ilivyozoea Kubebwa, Kudekezwa na Kuishi Kishirikina kwa Kuamini Jezi Moja hiyo hiyo nina uhakika itaambulia tu Alama (Point) Sifuri (Zero) na kuwa ya mwisho katika Kundi lake.
Naomba Uzi wangu huu MINOCYCLINE utunzwe kwani nina uhakika wa 100% kwa hiki nilichokiwasilisha hapa.
Mimi ndiyo MINOCYCLINE The Chief!!!