Halafu kwanza hao waislamu wenzio wa kiarabu wanatesa jamaa zetu wa kiafrika huko kwaoUzuri ni kuwa hayo hatuyasemi sisi wanasema wenyewe Wamarekani. Jionee:
View: https://youtu.be/r3pDCxzC_k0?si=QtZUyQ0QvicX93_c
Huyo bado kahurumiwa, jionee hawa:Halafu kwanza hao waislamu wenzio wa kiarabu wanatesa jamaa zetu wa kiafrika huko kwao
View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1815650556503007674
Kumbe hata huelewi kuwa walisema Alshaba ni tawi la Taliban?Jibu hoja! Tulikoanzia ni Al shabab, wewe unatuletea mujahidina wa Afghanistan 🇦🇫
Kwa haujui historia kabisa, kwa sababu The Mujahidina waliopigana na Soviet siyo hawa Talban wa sasa hivi. Talban inatokana na kabila la Pashtun. Mujahideen kupitia dhana yenu ya uislam ya brotherhood walikubali kuletewa wasilam wenye idiology ya Wahabism ambao baadae ndiyo wamepandikiza sumu. Wahabisim siyo creation ya America, bali ni masiasa kali wa Muslim Brotherhood ambao walijipenyeza huko Saudia. Na sasa, MBS anawafyagia kwa kwenda mbele. Muwakaribishe huku kwenu
Hivi mbona wajinga hawapungui duniani?Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.
Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
Shule za kusomea ujinga.Hivi mbona wajinga hawapungui duniani?
Walisema !! Nyinyi waislam hamuishi Taqqya, mpaka siku Yesu atakaporudi na kuwahukumuKumbe hata huelewi kuwa walisema Alshaba ni tawi la Taliban?
Huwa mnabisha vitu kumbe ni ujinga tu umewajaa.
Bila shaka atakua amekuelewa.Uzuri ni kuwa hayo hatuyasemi sisi wanasema wenyewe Wamarekani. Jionee:
View: https://youtu.be/r3pDCxzC_k0?si=QtZUyQ0QvicX93_c
Mi islamists bana! Ndiyo maana hata baada ya kukaribishwa nchini kwa watu, bado mnajiona kama hiyo nchi ni yenu. Ngoja Trump ajeBila shaka atakua amekuelewa.
Nimeziona Video kule YouTube.
Chuki haikusaidii kituMi islamists bana! Ndiyo maana hata baada ya kukaribishwa nchini kwa watu, bado mnajiona kama hiyo nchi ni yenu. Ngoja Trump aje
View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1816141502440972779
Sijawasikia tena Toka walivyokandwa vijamaa vina mizuka utafikir wapiganaji wa vita vya maji maji.Kwahiyo Wakishatafuna Mirungi wanaanza kurusha Ballistic Missiles?😁
Wamerusha makombora Eilat na red sea.Sijawasikia tena Toka walivyokandwa vijamaa vina mizuka utafikir wapiganaji wa vita vya maji maji.
Lete link.Wamerusha makombora Eilat na red sea.
Nenda Google taarifa zipo.Lete link.
Umesahau ya kibiti? Ni vikundi vyenye itikadi za kiislam.Tanzania hatuhusiki hapo tutoemo tafadhari
Kuhusu Swala la kibiti usitake tuseme mengi,Umesahau ya kibiti? Ni vikundi vyenye itikadi za kiislam.