Baada ya Ethiopia, Israel inataka kuitambua Somaliland kama nchi ili kupambana na Houthi wanaotaka kuungana na Al Shabab wa Somalia

Baada ya Ethiopia, Israel inataka kuitambua Somaliland kama nchi ili kupambana na Houthi wanaotaka kuungana na Al Shabab wa Somalia

Jibu hoja! Tulikoanzia ni Al shabab, wewe unatuletea mujahidina wa Afghanistan 🇦🇫
Kwa haujui historia kabisa, kwa sababu The Mujahidina waliopigana na Soviet siyo hawa Talban wa sasa hivi. Talban inatokana na kabila la Pashtun. Mujahideen kupitia dhana yenu ya uislam ya brotherhood walikubali kuletewa wasilam wenye idiology ya Wahabism ambao baadae ndiyo wamepandikiza sumu. Wahabisim siyo creation ya America, bali ni masiasa kali wa Muslim Brotherhood ambao walijipenyeza huko Saudia. Na sasa, MBS anawafyagia kwa kwenda mbele. Muwakaribishe huku kwenu
Kumbe hata huelewi kuwa walisema Alshaba ni tawi la Taliban?

Huwa mnabisha vitu kumbe ni ujinga tu umewajaa.
 
Nakushangaa mpaka leo huelewi kuwa Al Shabaab ni kikundi kilichoanzishwa na Wamarekani kama ilivyo Somaliland, wagawe uwatawale.

Kama watu wanahukumiwa kuwa "Al Shabab" kwa Uislam wao basi Somaliland ni zaidi ya Al Shabab.
Hivi mbona wajinga hawapungui duniani?
 
Kumbe hata huelewi kuwa walisema Alshaba ni tawi la Taliban?

Huwa mnabisha vitu kumbe ni ujinga tu umewajaa.
Walisema !! Nyinyi waislam hamuishi Taqqya, mpaka siku Yesu atakaporudi na kuwahukumu
 
Back
Top Bottom