Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Watoto hawana nidhamu siku hizi. Mungu avirehemu hivi vizazi!Doh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto hawana nidhamu siku hizi. Mungu avirehemu hivi vizazi!Doh!
Isipokuwa kwa damu ya Yesu!Be what may, mapungufu ya Mama Samia hayawezi kuwa Kama ya yule. Yule alikuwa anafanya Genocide. Hafai hata kwa kusafishwa na gik.
Anaweza akakupuuza. Lakini akumbuke Lema alimuonya 'jamaa..'.Na maombi yameanza rasmi, Mungu wetu ni mwema anatupigania na kama atashupaza shingo atakwenda na maji kabla ya majira kama haya mwakani..
AiseeUtopolo kama Utopolo ngumu kuachwa bila kukosolewa hata sisi Mataga tulifurahi kwa aina ya maswali na majibu. Mwadela, Gawiza, hakuna mwenye upekee kwa Mungu hongera zao na kafara ya Injinia huko Dom
RubbishBe what may, mapungufu ya Mama Samia hayawezi kuwa Kama ya yule. Yule alikuwa anafanya Genocide. Hafai hata kwa kusafishwa na gik.
Punguzeni matishoAkijifanya mgumu haambiliki hakika nawaambia KILICHOMTOA MAGUFULI NDICHO KITAKACHO MTOA SAMIA watanzania sio mabwege hakika nawaambieni
Kifo cha MAGUFULI inapaswa kuwa funzo kubwa kwake mwache aendelee kushupaza shingo
Mlimponza magufuli na sasa mnataka kumponza na mama samia, sasa kazi kwake asipojifunza kwa yaliyomkuta magufuli asije laamu mtu zaidi ya yeye, ila mjue Mungu hana utani na mtu.Yule ndio alikuwa dawa yenu wapuuzi kama nyinyi
Hoja yako ni ya kipuuzi kabisa. Hivi unadhani wananchi vijijini hawaumizwi na wao kumchagua mtu wanayemtaka, halafu anatangazwa mwingine?Lengo la vyama vya upinzani ni kutengeneza mazingira ya kushika Dola tu,
Hawana uchungu wa matakwa ya wananchi wa kawaida,
Ndio maana kwenye hoja zao za kudai katiba mpya utasikia wakidai tume huru ya uchaguzi.
Tume huru ya uchaguzi ni hitaji la kisiasa sio la mkulima au mfugaji.
Wananchi wanapaswa kutofautisha kati ya pumba na mchele.
Kati ya tapeli wa kisiasa na mtetezi halisi.
Kuitwa dhaifu kuna uhusiano gani na demokrasia? Yule muliyekuwa mnamuita chuma alifanya nini cha maana?Samia akifikri ataendesha nchi kwa kuwafurahisha chadema atafeli mapema sana!
. Amuulize JK, mpaka vijana wadogo kama kina Mnyika wakimwita dhaifu!
Jimbo gani jombaa ikiwa majimbo yote mlizoa?vyama vya upinzani havina mwenyekiti wa mtaa,diwani wala mbunge je wao watafanyaje mikutanoMikutano ya kisiasa ya chimboni husika ya nje na ile ya ndani ya kitaifa haijazuiwa, hivyo hoja hiyo haina mashiko, pia hoja ya katiba mpya nayo ni mufilisi, haina mashiko kama mkuu wa nchi atakuwa bwege na asiyejitambua! Kwa hiyo sioni shida ktk hoja hizo! Cha msingi ni kuilinda Tz na watz kwa wivu wote kama alivyofanya mtangulizi wake ma sio kucheka na nyani wa ndani na nje!
Agenda ya chanjo ya corona haitakuja kumuacha salama asipo stuka!
Hamna lolote. Kuna baadhi ya watu huwa hamna adabu na mama kaliongelea hilo. Sasa mtangulizi wake alikua anawanyoosha hataki upuuzi ndo maana mnamchukia mpaka leo. Mkiendelea hivi kutaka kila jambo mnalotaka alifanye, nayye ataanza kuwanyoosha vilivyo. Nadhani mnaujua mnyoosho wa mwanamke, huwa hawarudi nyuma kwenye maamuzi yao.Be what may, mapungufu ya Mama Samia hayawezi kuwa Kama ya yule. Yule alikuwa anafanya Genocide. Hafai hata kwa kusafishwa na gik.
Aliwapuuza maana aliona nyie ni kama watoto wadogo!Kuitwa dhaifu kuna uhusiano gani na demokrasia? Yule muliyekuwa mnamuita chuma alifanya nini cha maana?
Katiba mpya mbona ipo, inasubiriwa tu kupigiwa kura, mnataka Katiba gani tena?Mwambie huyo Mama, Katiba MPYA ni mhimu kwa watanzania kuliko unavyofikiria.
Hiyo hiyo ya WARIOBA. mwambieni atende HAKI. Mungu atambariki sanaKatiba mpya mbona ipo, inasubiriwa tu kupigiwa kura, mnataka Katiba gani tena?
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Kwa mikwara tu, tupo vizuri.Punguzeni matisho
Lile lilikuwa shetani Luciferi Nunda mla watu. Limefyekelewa kwa mbali na mashetaniBe what may, mapungufu ya Mama Samia hayawezi kuwa Kama ya yule. Yule alikuwa anafanya Genocide. Hafai hata kwa kusafishwa na gik.