Baada ya Gaddafi na Saadam waliokuwa wafadhili wakuu wa ugaidi kuuawa, ni vizuri Iran isambaratishwe ili Ugaidi uishe kabisa duniani

Baada ya Gaddafi na Saadam waliokuwa wafadhili wakuu wa ugaidi kuuawa, ni vizuri Iran isambaratishwe ili Ugaidi uishe kabisa duniani

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Kwanza tuelewe , ugaidi na uislamu ni vitu viwili tofauti.

Tujikumbushe nyuma kidogo kisa cha kuuawa kwa Gadaffi wa Libya na Saadam wa Iraq , pamoja na yote wale ndio walikua wafadhili wakubwa wa makundi ya kigaidi duniani.

Walitumia mabilioni mengi kufadhili makundi hayo duniani kote,
Baada ya hesabu ya mbali kupigwa na kuwa eliminate hao makundi mengi yalibaki bila nguvu kubwa hasa ya kifedha na wakarudi nyuma.

Pamoja na vikwazo kwa Iran ambae alikua mshirika wao wa siri , lakini aliendelea kutoa mafunzo mbalimbali kwa magaidi na kuwalipa mishahara magaidi wengi mashariki ya kati na kuwapelekea kila aina ya misaada muanzia hamas hadi hezbollah.

Hivo ni lazima Iran apigwe na amalizwe kiuchumi au kiongozi wao mkuu auwawe na uwekwe utawala wa kiraia ili mashariki ya kati itulie na iwe mahali salama pa kuishi binadamu.

Na haijatokea bahati mbaya Ben kusema Iran popote wanaweza kufika , ni sawa maana hata Raisi kuuawa ilikua ni salamu kwa Iran.

Na Iran alishapewa angalizo kua aache kufadhili hayo makundi lakini hakuacha na hakusikia,
Ni wakati sasa Iran ajitambue na afuate matakwa ya Israel.

Usalama wa anga la lebanon kwa sasa uko chini ya IDF , kimsingi iran hawezi kupeleka tena silaha pale wala kutoa msaada wowote ule.
 
Iran itafikiwa tu ilikuwa imejenga buffer zone kivita ili isifikiwe ikitumia Hamas,Hizbollah wa Yemen magaidi wa Houth ikiwapa silaha nk kama proxies wao wapigane kwa niabs ya Iran

Israel imepigana na Hamas proxy wa Iran ndani ya Israel sasa wamehamua kwa next proxy wa Iran Hezbollah wanantandika barabara kuvunja war buffer zone ya Iran kabla kutua Tehran na kumfanyia kitu kibaya Ayatollah na madevu yake

Israel kwa sasa war strategy ni kuvunjilia mbali buffer zone ya Iran kabla kuingia Tehran kwa mvaa makobazi Ayatollah na kuzitia kibiriti ndevu zake na kilemba chake
 
Iran itafikiwa tu ilikuwa imejenga buffer zone kivita ili isifikiwe ikitumia Hamas,Hizbollah wa Yemen magaidi wa Houth ikiwapa silaha nk kama proxies wao wapigane kwa niabs ya Iran

Israel imepigana na Hamas proxy wa Iran ndani ya Israel sasa wamehamua kwa next proxy wa Iran Hezbollah wanantandika barabara kuvunja war buffer zone ya Iran kabla kutua Tehran na kumfanyia kitu kibaya Ayatollah na madevu yake

Israel kwa sasa war strategy ni kuvunjilia mbali buffer zone ya Iran kabla kuingia Tehran kwa mvaa makobazi Ayatollah na kuzitia kibiriti ndevu zake na kilemba chake
Kabisa inabidi Iran ipigwe ili mashariki patulie kabisa
 
Kwanza tuelewe , ugaidi na uislamu ni vitu viwili tofauti.

Tujikumbushe nyuma kidogo kisa cha kuuawa kwa Gadaffi wa Libya na Saadam wa Iraq , pamoja na yote wale ndio walikua wafadhili wakubwa wa makundi ya kigaidi duniani.

Walitumia mabilioni mengi kufadhili makundi hayo duniani kote,
Baada ya hesabu ya mbali kupigwa na kuwa eliminate hao makundi mengi yalibaki bila nguvu kubwa hasa ya kifedha na wakarudi nyuma.

Pamoja na vikwazo kwa Iran ambae alikua mshirika wao wa siri , lakini aliendelea kutoa mafunzo mbalimbali kwa magaidi na kuwalipa mishahara magaidi wengi mashariki ya kati na kuwapelekea kila aina ya misaada muanzia hamas hadi hezbollah.

Hivo ni lazima Iran apigwe na amalizwe kiuchumi au kiongozi wao mkuu auwawe na uwekwe utawala wa kiraia ili mashariki ya kati itulie na iwe mahali salama pa kuishi binadamu.

Na haijatokea bahati mbaya Ben kusema Iran popote wanaweza kufika , ni sawa maana hata Raisi kuuawa ilikua ni salamu kwa Iran.

Na Iran alishapewa angalizo kua aache kufadhili hayo makundi lakini hakuacha na hakusikia,
Ni wakati sasa Iran ajitambue na afuate matakwa ya Israel.

Usalama wa anga la lebanon kwa sasa uko chini ya IDF , kimsingi iran hawezi kupeleka tena silaha pale wala kutoa msaada wowote ule.


Atapigwa kipigo cha mbwa koko muda sio mrefu.
 
Halafu ni kweli, tangu hii vita ipam e moto ni kama makundi ya kigaidi huku bar afrika yamepoa...Al shabab,Boko Haram,m23 na wengineo wamepooza
 
Hao warabu wana miaka 1400+ wakiwa kwenye power. Sasa mjinga mmoja anawaza ujinga eti watasambaratishwa. Waafrika tume nyang'anywa ardhi na warabu zaidi ya miaka 1000 mpaka leo haijarudi. Sijui waafaika wenzangu mnawazaje, hivi kipimo cha akili ni nini ?
Hivi waafrika kwa ni imsifikirie jinsi ys kuondoa utawala na ukoloni wa mwarabu na mzu gu barani Afrika mnawa,a vitu visivyowahusu kabisa.
Hivi hamjui kuwa Sudan, Algeria nk ni ardhi ya watu weusi iliodhulimiwa na warabu ? Kwa nini tusio toe ujinga ili tukomboe ardhi zetu huko kaskazini mwa Afrika ! Kupigwa warabu na wairani kunasaidia nini Afrika !
warabu ni ndugu zenu ? Wazungu ni ndugu zenu ?
Watu wanawaita manyani ila hamuelewi bado mnajipendekeza. Mmejiweka kwenye makunfi ya wakoloni na kudhalilishana mnspata nini ? Au mnapewa misaada.
Kila siku kushadadia wawazungu na warabu hamuoni aibu kuuza utu wenu.
 
Back
Top Bottom