DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Una kipaji cha kujieleza. Sijui una mpango gani wa kutumia hii talent yako. Mwingine yangemtokea hayo hayo asingeweza kuielezea kama ulivyofanya. Unaeleza hadi mtu anapata picha. Make use of your talent.
Kuhusu Osokoni, ma X wengine ni XXL. Ukishatoka hapo, endelea na mambo mengine usirudi nyuma tena.
anae kupiga au kukutukana au kukufukuza kama mbwa....ndio abuserNaomba kufafanuliwa hapa....abuser anakuwaje?
Kuna anachopata kwa Osokoni ambacho hakukipata kwa broker na hadhani kama atakipata kwingine!!!
Hahaha mkuu OLESAIDIMU hebu tupia basi two cents.ngoja tuangalie kwanza
Tulia uonewe, mambo ya Osokoni ni sheeeeeeeeeda! Unaweza kimbiwa!
Hahahaaaaa! Huyu Osokoni ni MAFIA aisee, namna hii anaewza msababishia mwenzie trama! Hata hajapoa anamtoa race kama hussein bolt! Doooooh!Ndo maana #teambazazi umu bado iko juu kama muashoki
Jamni ndo Osokoni amtoe race namna hio baada ya kufaidi tundi!
We endelea tu Osokoni agenda itakuhusu!!!%
Tatizo sio nyie ila mapito yenu ya ujanani!!!!!