anae kupiga au kukutukana au kukufukuza kama mbwa....ndio abuser
hahhaaaab walahi yaani VINNE???? hahaaH
KUNA WANAUME MSOKOTO SANA
LOOOH AFU UNAKUTA HAJAMNUNULIA HATA CHIPS KAVU NA MAJI YA 400 YALE MADOGO
kudadekiiiiiiiiiii mwambie nduguyo kama vita kapgwa
AKAJIPANGE AMKOLI OSOKONI AENDE HOTEL AMUITE WAPIGE KAZAA ALAFU AMFUKUZEEE
i think GAME OVER!!!!
Inahuu??
Ha ha haaaa samaki hawezi kuwa na shombo ya beberu kaka!!!!!
ila ukiwa sana osokoni type ujanani unaweza ku lost maisha so easily..manake women hawakubabaishi..wale ambao wanababaishwa easily na women hutafuta mmoja tu na kutulia na kujenga maisha...nina mifano ya kaka zangu..
vinne vimekushangaza?
HAVIJANISHANGAZA
nachoshangaa mbona vichache alafu kamtimua
hahahaha kumbe wengine ni zaidi ya kumi eeeeh
kuna wanaume kavu kama
KATOKA JELA
yaani kama YANGA na AGENTINA
hahahahaa ushawahi kukumbwa na kimbunga cha osokoni
hahahahaa ushawahi kukumbwa na kimbunga cha osokoni
hahahhahaha NINA KAMATI LA UFUNDI
KABLA YA MECHI MUHIMU KAMA HIYO HUWA TUNAPANGA MATOKEO
hahahhahahhahaha...kimbunga cha jamaa ni balaa