hebu nenda kamsome tena Mentor
punda haendi bila fimbo....wapo wanawake for gentlemen na wapo ambao ni punda bila fimbo hawaendi ole wako wewe gentleman uoe huyo..
Hebu toa msaada wa kiushauri basi kwa hao wadada, manake hujakosea kabisa kuwa huwa "tunarudi" kama mbwa kwa chatu. Au ndio kusema ni nature na haina tiba?....Huyu mwenyewe pamoja na kutolewa resi na kipochi chake kuacha chumba kwa kupitia dirishani, si ajabu akarudi kwa Osokoni, hata ashauriwe vipi hatabadili msimamo wake..
Eeh Mwenyezi Mungu, muangalie mwanamke kwa jicho la tatu ajiondoe kwenye utumwa huu...
oK OK maybe alimaanisha ulivyosema...'wapo wanawake for gentlemen'
Now I get it, the challenge is getting those ones...but as Kaizer put it and you assured him, 'There is hope for the gentle type'
there must be some bitter-sweet stuff, au utamu unazidi kwa hawa abuser and abused
being strong alpha type could be the best reason for "baby come back"
Because love has known no limits Karucee!!!!!:A S-heart-2::mwaaah:Why am I being mentioned in silly threads?
Osokoni ni kimasai katika kitabu cha "IS IT POSSIBLE TO OLD A SPEAR IN ONE HAND AND A BOOK IN ANOTHER" chenye context ya umasaini, main character alikuwa Lerionka Ole Sururu, sasa baba yake Ole Sururu alikuwa gaidi, mchungu, bandidu ndo alikuwa mtaani amepewa jina la Oskoni kutokana na dawa chungu kuliko zote ya mti wa Osokonoi. Na Lerionka nae akawa anataka kurithi hilo jina la Osokoni!
Hahahahahahaaaaaaaa! miss neddy utajuuuuuta kumention watu! Mmezoea kunionea Lara 1, hapo chacha! Mie langu jicho!Why am I being mentioned in silly threads?
Tina ipo ila kwanza ujue una tatizo na kum avoid mtu completely..ni process
you are right rafiki.....Mentor wapo wengi but unaweza waona boring..wengi ni open book Hawana tricks kabisa...inawezekana unakutana nao but ham click..hawa sumbua kichwa huwa wana excite sana
Most ladies (before marriage) go for the bad boys (this from experience) and the gentlemen kwa wakati huo wanaonekana old fashioned..
Mentor wapo wengi but unaweza waona boring..wengi ni open book Hawana tricks kabisa...inawezekana unakutana nao but ham click..hawa sumbua kichwa huwa wana excite sana
you are right rafiki.....
na mara nyingi tunawapata ma-gentle wenzetu maana hao hawaoni shida kusikiliza upuuzi wetu.
Mtu kama Mentor lazima asi-click nao.....
Kama kuna ka ukweli, gentlemen for families, bad boys waendelee na u bad wao
Who loveth me?:shock:
I believe you lil broDada Mkubwa Fixed Point, si kweli! I am a gentleman at heart though at times I act 'bad'..it helps you know! I click with both types..haha
You remind me of a girl that I once knew..
Dada Mkubwa Fixed Point, si kweli! I am a gentleman at heart though at times I act 'bad'..it helps you know! I click with both types..haha
there is a very thin line between a gentleman and a bad boy! very...
Hahahahahahaaaaaaaa! miss neddy utajuuuuuta kumention watu! Mmezoea kunionea Lara 1, hapo chacha! Mie langu jicho!
Ukute wale wale matukio mapya yawakumba! Labda niwape referance number! Mi hata mtu tukikutana 1 time ushakuwa shostito! Maadam unirecognise tu the second time!
hahahahaha me na Karucee ni waarabu wa pemba lol
Mnajuana kwa umbea