Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

hebu nenda kamsome tena Mentor

punda haendi bila fimbo....wapo wanawake for gentlemen na wapo ambao ni punda bila fimbo hawaendi ole wako wewe gentleman uoe huyo..

oK OK maybe alimaanisha ulivyosema...'wapo wanawake for gentlemen'

Now I get it, the challenge is getting those ones...but as Kaizer put it and you assured him, 'There is hope for the gentle type'
 
Last edited by a moderator:
Hebu toa msaada wa kiushauri basi kwa hao wadada, manake hujakosea kabisa kuwa huwa "tunarudi" kama mbwa kwa chatu. Au ndio kusema ni nature na haina tiba?....Huyu mwenyewe pamoja na kutolewa resi na kipochi chake kuacha chumba kwa kupitia dirishani, si ajabu akarudi kwa Osokoni, hata ashauriwe vipi hatabadili msimamo wake..

Eeh Mwenyezi Mungu, muangalie mwanamke kwa jicho la tatu ajiondoe kwenye utumwa huu...

Tina ipo ila kwanza ujue una tatizo na kum avoid mtu completely..ni process
 
oK OK maybe alimaanisha ulivyosema...'wapo wanawake for gentlemen'

Now I get it, the challenge is getting those ones...but as Kaizer put it and you assured him, 'There is hope for the gentle type'

Mentor wapo wengi but unaweza waona boring..wengi ni open book Hawana tricks kabisa...inawezekana unakutana nao but ham click..hawa sumbua kichwa huwa wana excite sana
 
Last edited by a moderator:
Osokoni ni kimasai katika kitabu cha "IS IT POSSIBLE TO OLD A SPEAR IN ONE HAND AND A BOOK IN ANOTHER" chenye context ya umasaini, main character alikuwa Lerionka Ole Sururu, sasa baba yake Ole Sururu alikuwa gaidi, mchungu, bandidu ndo alikuwa mtaani amepewa jina la Oskoni kutokana na dawa chungu kuliko zote ya mti wa Osokonoi. Na Lerionka nae akawa anataka kurithi hilo jina la Osokoni!

I like this book...
 
Tina ipo ila kwanza ujue una tatizo na kum avoid mtu completely..ni process

Basi issue kubwa itabakia hapo kwenye kujua tatizo....si ushasikia habari za mtu anaumwa malaria lakini yeye mwenyewe anakataa kuwa sio malaria, na kuwa anajijua akiumwa hivyo kuna 'mtaalam' yuko Bagamoyo ndio huwa anamtibia?

Inawezekana kosa la kwanza kabisa ni kukataa kuwa "hatuna tatizo"....
 
Mentor wapo wengi but unaweza waona boring..wengi ni open book Hawana tricks kabisa...inawezekana unakutana nao but ham click..hawa sumbua kichwa huwa wana excite sana
you are right rafiki.....
na mara nyingi tunawapata ma-gentle wenzetu maana hao hawaoni shida kusikiliza upuuzi wetu.
Mtu kama Mentor lazima asi-click nao.....
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna ka ukweli, gentlemen for families, bad boys waendelee na u bad wao

Most ladies (before marriage) go for the bad boys (this from experience) and the gentlemen kwa wakati huo wanaonekana old fashioned..
 
Mentor wapo wengi but unaweza waona boring..wengi ni open book Hawana tricks kabisa...inawezekana unakutana nao but ham click..hawa sumbua kichwa huwa wana excite sana


You remind me of a girl that I once knew..


you are right rafiki.....
na mara nyingi tunawapata ma-gentle wenzetu maana hao hawaoni shida kusikiliza upuuzi wetu.
Mtu kama Mentor lazima asi-click nao.....

Dada Mkubwa Fixed Point, si kweli! I am a gentleman at heart though at times I act 'bad'..it helps you know! I click with both types..haha

Kama kuna ka ukweli, gentlemen for families, bad boys waendelee na u bad wao

there is a very thin line between a gentleman and a bad boy! very...
 
Last edited by a moderator:
haya mapenzi kila siku kuibuka jipya loh...!!!!!!!!!! ngoja nianze kutengeneza defence za kila namna ....
 
You remind me of a girl that I once knew..




Dada Mkubwa Fixed Point, si kweli! I am a gentleman at heart though at times I act 'bad'..it helps you know! I click with both types..haha



there is a very thin line between a gentleman and a bad boy! very...

Very thin line...na kuna ma bad boys wana act u gentleman...for years by the time mke anagundua too late
 
Last edited by a moderator:
Ukute wale wale matukio mapya yawakumba! Labda niwape referance number! Mi hata mtu tukikutana 1 time ushakuwa shostito! Maadam unirecognise tu the second time!

🙂 basi sawaaaa!!
 
Back
Top Bottom