basi mtoto ni wa roho mtakavitu..mi naona kichanga kimefanana na mamake..its inhuman to portray a child's picture like that...Flora ur drama has impact to ur baby's future
Familia ya Mbasha inaendelea kutengeneza vichwa vya habari.
Baada ya mchungaji maarufu nchini, Gwajima kukanusha kuwa si baba wa mtoto wa Flora Mbasha, mume wa muimbaji huyo wa muziki wa injili, Emmanuel naye
amesema hatambui chochote kuhusu kuzaliwa kwa mtoto huyo.
Mbasha ambaye pia ni muimbaji wa muziki huo amesema ana mtoto mmoja mwenye umri wa miaka kumi na kwamba taarifa za kuwa Flora amejifungua anazisikia kama watu wengine.
Nina mtoto mmoja, nina mtoto mmoja anaitwa Lizy na kama miaka 10 hivi. Wewe ndo unanieleza mimi kama amejifungua, kama amejifungua ni jambo jema na jambo la kumshukuru Mungu, Mbasha alikiambia kipindi cha Sunrice cha Times FM.
Kazi ipo hapo !
huku ni kudhalilisha utu wa mtu, huyu mtoto anastahili privacy, kumpiga picha na kuanza kutawanya picha kwenye mitandao ni jambo la kipumbu sana, unataka kuniambia huyu mtoto alipigwa picha pasi mamayake kujua? labda hiyo picha si ya mtoto husika na hiyo ni drama tu ya kisanii vinginevyo ni mambo ya kijinga tu.
Mkuu, angalia hizi video mbili hapa chini, moja ni ya Mbasha baada ya kutoka gerezani, na ya pili ni ya baba yake Mbasha. Ukizisikiliza kwa makini na kutafakari, utagundua kabisa kuna kila aina ya mazingira kuwa Frola ana mwanaume mwingine. Na kwangu mimi sishangai sana hilo, kwa sababu hawa watu wawili waalioana wakiwa bado wadogo sana, hivyo maisha ya ujana hawakuyaona pengine ndio maana Frola kakubali shetani amuongoze.
[video=youtube_share;fUAGeSf63Ps]http://youtu.be/fUAGeSf63Ps[/video]
[video=youtube_share;Q_oy76SK8XM]http://youtu.be/Q_oy76SK8XM[/video]
Hakuna mtoto aso baba kuna siku itajulikana tuMtoto anakosa baba sababu ya umalay@ wa mama!