basi mtoto ni wa roho mtakavitu..mi naona kichanga kimefanana na mamake..its inhuman to portray a child's picture like that...Flora ur drama has impact to ur baby's future
huku ni kudhalilisha utu wa mtu, huyu mtoto anastahili privacy, kumpiga picha na kuanza kutawanya picha kwenye mitandao ni jambo la kipumbu sana, unataka kuniambia huyu mtoto alipigwa picha pasi mamayake kujua? labda hiyo picha si ya mtoto husika na hiyo ni drama tu ya kisanii vinginevyo ni mambo ya kijinga tu.
