Hee! Nini?Lwakatare ni lango la mlingoti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee! Nini?Lwakatare ni lango la mlingoti.
Huko kwao maovu yamejaa tele. Si wawahubirie kwanza watu wao?Mwanza mjini wapo wahubiri wazungu (siwezi kuwatenga kama ni wamarekani, Wayahudi, nk mradi ni weupe) Wanaimba mapambio na kuserebuka wenyewe, pia wanahubiri wenyewe huku wakisaidiwa na wabongo kutafsiri kutoka lugha zao kwenda kiswahili....hawana sehemu maalum ya kuhubiri kwa maana ya vile viwanja maarufu hapana wao wanahubiri stend, gereji, jirani na hospitali, jirani na shule wakati masomo yanaendele, nk. yaani zile sehemu zisizo rasmi unawakuta! Pia wanahubiri muda wowote, jtatu saa moja na dk arobaini asubuhi, niliwakuta eneo jirani gereji za sabasaba barabara ya kwenda Kiseke wakisakata gospo ya Ben Mwaitege (wazungu hao) Pia kuna siku niliwakuta mapema saa mbili asubuhi wapo stand ya Igombe mjini!
Nimejikuta nawaza au wamekimbia covid kwao au wapo wanaisambaza...anyway ujinga na upuuzi sehemu ya kutupa huwa ni Afrika
Una mawazo ya panya.Unataka Magufuli aishi wakati ameozamoja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana.
mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea kuingia kwa wageni wengi kuwasili nchini kwa kivuli cha kufanya matamasha ya 'injili'.
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
wakati huohuo mtaani visa vya matumizi ya dawa za kulevya hushamiri. ulaji wa 'bata' kwa watu wasioeleweka wanafanya kazi gani kwa kipato kipi huongezeka.
kipindi cha dokta magufuli uovu huu ulidhibitiwa sana. China adhabu ya biashara hii ni kifo tu maana ukiwa na taifa la mateja kama nchi huwezi kupiga hatua kimaendeleo. China hayupo tayari kuona anazidiwa na Marekani kiuchumi ndo maana anailinda nguvukazi ya nchi yake kwa kutoa adhabu kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya na wahujumu-uchumi wote bila kuangalia ni nani?
enzi za dr. magufuli dawa za kulevya zilidhibitiwa sana. madalali na walanguzi walikiona cha moto.
sasa tunarudi kulekule.
Mungu aunusuru uzao wetu maana yajayo yanasikitisha.
Pumzika kwa amani Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
We're so mhukumu. Taarifa za mikutano hiyo inapelekwa polisi na kwa mkuu wa wilaya na ina vibali. We're ni nani hadi uhoji hayo?moja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana.
mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea kuingia kwa wageni wengi kuwasili nchini kwa kivuli cha kufanya matamasha ya 'injili'.
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
wakati huohuo mtaani visa vya matumizi ya dawa za kulevya hushamiri. ulaji wa 'bata' kwa watu wasioeleweka wanafanya kazi gani kwa kipato kipi huongezeka.
kipindi cha dokta magufuli uovu huu ulidhibitiwa sana. China adhabu ya biashara hii ni kifo tu maana ukiwa na taifa la mateja kama nchi huwezi kupiga hatua kimaendeleo. China hayupo tayari kuona anazidiwa na Marekani kiuchumi ndo maana anailinda nguvukazi ya nchi yake kwa kutoa adhabu kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya na wahujumu-uchumi wote bila kuangalia ni nani?
enzi za dr. magufuli dawa za kulevya zilidhibitiwa sana. madalali na walanguzi walikiona cha moto.
sasa tunarudi kulekule.
Mungu aunusuru uzao wetu maana yajayo yanasikitisha.
Pumzika kwa amani Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
W ni mnyongemoja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana.
mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea kuingia kwa wageni wengi kuwasili nchini kwa kivuli cha kufanya matamasha ya 'injili'.
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
wakati huohuo mtaani visa vya matumizi ya dawa za kulevya hushamiri. ulaji wa 'bata' kwa watu wasioeleweka wanafanya kazi gani kwa kipato kipi huongezeka.
kipindi cha dokta magufuli uovu huu ulidhibitiwa sana. China adhabu ya biashara hii ni kifo tu maana ukiwa na taifa la mateja kama nchi huwezi kupiga hatua kimaendeleo. China hayupo tayari kuona anazidiwa na Marekani kiuchumi ndo maana anailinda nguvukazi ya nchi yake kwa kutoa adhabu kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya na wahujumu-uchumi wote bila kuangalia ni nani?
enzi za dr. magufuli dawa za kulevya zilidhibitiwa sana. madalali na walanguzi walikiona cha moto.
sasa tunarudi kulekule.
Mungu aunusuru uzao wetu maana yajayo yanasikitisha.
Pumzika kwa amani Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Unajua kuna watu wachache walikuwa wananufaika na awamu ya tano, wakati wengi wakitabika, sasa wanapoona kwao kibao kimegeuka, na kuhisi na hawa wengine maisha yanaweza boreka ndio uchawi unaanza!!We kweli mnyonge na maskini....
Siku hizi mwizi wa kura kawa mtu mmoja tu na sio chama cha ccm kama tulizozoea kusikia? Basi tutegemee uchaguzi ujao kuwe hakuna wizi maana mwizi wa kura hayupo tena.Kama kutokupiga hatua za maendeleo ni kutokana na kutumia unga, basi Afrika yote ni watumiaji wa unga. Kama unataka kumsifia yule dhalimu na jizi la kura, tumia mbinu nyingine sio hizi.
3.Roma mkatolikiWahubiri ni wanaccm na wasanii ni wanaccm tena wapenzi wa Magufuli
List ni ndefu kwa uchache tu ni hawa
1. Mwinjilist Masanja mkandamizaji
2. Josephat Gwajima
3. Nabii Suguye
4. Nabii GeorDevi
5. Marehemu Lwakatare
6. Na maaskofu wa TAG.
Wasanii
1. Diamondi platinum
2. Alikiba
3. Etc
Unataka kusemaje? Kwamba Magufuli ndiye alikuwa anawatuma hayo madawa ya kulevya?
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
fa.la ww, Bado unaweweseka na kifo cha mungu wenu,moja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana.
mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea kuingia kwa wageni wengi kuwasili nchini kwa kivuli cha kufanya matamasha ya 'injili'.
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
wakati huohuo mtaani visa vya matumizi ya dawa za kulevya hushamiri. ulaji wa 'bata' kwa watu wasioeleweka wanafanya kazi gani kwa kipato kipi huongezeka.
kipindi cha dokta magufuli uovu huu ulidhibitiwa sana. China adhabu ya biashara hii ni kifo tu maana ukiwa na taifa la mateja kama nchi huwezi kupiga hatua kimaendeleo. China hayupo tayari kuona anazidiwa na Marekani kiuchumi ndo maana anailinda nguvukazi ya nchi yake kwa kutoa adhabu kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya na wahujumu-uchumi wote bila kuangalia ni nani?
enzi za dr. magufuli dawa za kulevya zilidhibitiwa sana. madalali na walanguzi walikiona cha moto.
sasa tunarudi kulekule.
Mungu aunusuru uzao wetu maana yajayo yanasikitisha.
Pumzika kwa amani Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Aya masukuma ni majinga,Bado hayamini km mtu wao kashakufa na hana Tena mamlakaYani mtu amekufa siku nyingi bado mnataka afufuke tu. Get a job acheni kupagawa kubalini matokeo jitahidini kumsahau.
Never in CCM3.Roma mkatoliki
Na hao wote ni wanaccm akina Mwanafalsafanasikia wanamziki wa bongofleva siku za hivi karibuni wameanza zile safari zao za kwenda south africa ku shoot video.
nakumbuka enzi za utawala jk wasanii walitumika sana kuigiza ngada nchini n
Hayati hafi kwakuwa tayari ni marehemumoja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana.
mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea kuingia kwa wageni wengi kuwasili nchini kwa kivuli cha kufanya matamasha ya 'injili'.
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
wakati huohuo mtaani visa vya matumizi ya dawa za kulevya hushamiri. ulaji wa 'bata' kwa watu wasioeleweka wanafanya kazi gani kwa kipato kipi huongezeka.
kipindi cha dokta magufuli uovu huu ulidhibitiwa sana. China adhabu ya biashara hii ni kifo tu maana ukiwa na taifa la mateja kama nchi huwezi kupiga hatua kimaendeleo. China hayupo tayari kuona anazidiwa na Marekani kiuchumi ndo maana anailinda nguvukazi ya nchi yake kwa kutoa adhabu kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya na wahujumu-uchumi wote bila kuangalia ni nani?
enzi za dr. magufuli dawa za kulevya zilidhibitiwa sana. madalali na walanguzi walikiona cha moto.
sasa tunarudi kulekule.
Mungu aunusuru uzao wetu maana yajayo yanasikitisha.
Pumzika kwa amani Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
moja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili ikifanywa na watu wasiokuwa na haiba wala karama ya kuwa wachungaji wala watumishi wa Mungu. dalili zimeanza kuonekana.
mikutano hiyo huambatana na safari za kuenda nje zisizoeleweka malengo yake. pia hutokea kuingia kwa wageni wengi kuwasili nchini kwa kivuli cha kufanya matamasha ya 'injili'.
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.
wakati huohuo mtaani visa vya matumizi ya dawa za kulevya hushamiri. ulaji wa 'bata' kwa watu wasioeleweka wanafanya kazi gani kwa kipato kipi huongezeka.
kipindi cha dokta magufuli uovu huu ulidhibitiwa sana. China adhabu ya biashara hii ni kifo tu maana ukiwa na taifa la mateja kama nchi huwezi kupiga hatua kimaendeleo. China hayupo tayari kuona anazidiwa na Marekani kiuchumi ndo maana anailinda nguvukazi ya nchi yake kwa kutoa adhabu kali kwa walanguzi wa dawa za kulevya na wahujumu-uchumi wote bila kuangalia ni nani?
enzi za dr. magufuli dawa za kulevya zilidhibitiwa sana. madalali na walanguzi walikiona cha moto.
sasa tunarudi kulekule.
Mungu aunusuru uzao wetu maana yajayo yanasikitisha.
Pumzika kwa amani Dr. John Pombe Joseph Maguk
Hee! N