Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kikwete ameawahi kuwaambia Maaskofu kuwa miongoni mwao kuna wafanyabiashara ya Ngada, wakammaindi, wakamsema, wengine wakasema awataje majina, wengine wakaagiza apuuzwe!
May be kuna mchezo mchafu wa watu kutumia dini kupenyeza haya madawa
May be kuna mchezo mchafu wa watu kutumia dini kupenyeza haya madawa