Baada ya hayati Magufuli kufariki 'mikutano ya injili' imeanza

Huko kwao maovu yamejaa tele. Si wawahubirie kwanza watu wao?
 
Una mawazo ya panya.Unataka Magufuli aishi wakati ameoza
 
We're so mhukumu. Taarifa za mikutano hiyo inapelekwa polisi na kwa mkuu wa wilaya na ina vibali. We're ni nani hadi uhoji hayo?
 
W ni mnyonge
 
Siku moja nipo Arusha maeneo ya Njiro nilioneshwa jumba moja la kifahari naambiwa ni la mchungaji fulani( nimesahau jina) ana kanisa. Nilibaki nimepigwa butwaa. Yaani sadaka ndo mtu ujenge mjengo ule.
 
We kweli mnyonge na maskini....
Unajua kuna watu wachache walikuwa wananufaika na awamu ya tano, wakati wengi wakitabika, sasa wanapoona kwao kibao kimegeuka, na kuhisi na hawa wengine maisha yanaweza boreka ndio uchawi unaanza!!
 
Kama kutokupiga hatua za maendeleo ni kutokana na kutumia unga, basi Afrika yote ni watumiaji wa unga. Kama unataka kumsifia yule dhalimu na jizi la kura, tumia mbinu nyingine sio hizi.
Siku hizi mwizi wa kura kawa mtu mmoja tu na sio chama cha ccm kama tulizozoea kusikia? Basi tutegemee uchaguzi ujao kuwe hakuna wizi maana mwizi wa kura hayupo tena.
 
3.Roma mkatoliki
 
safari za wasanii wetu na wa nje kutoka na kuingia nchini pia hushamiri.

nasikia wanamziki wa bongofleva siku za hivi karibuni wameanza zile safari zao za kwenda south africa ku shoot video.

nakumbuka enzi za utawala jk wasanii walitumika sana kuigiza ngada nchini n
 
fa.la ww, Bado unaweweseka na kifo cha mungu wenu,
 
Genge linaendeleaje huko?
Inaonekana genge liko taabani bin hoi. Hayo ni mateke ya mpunda anaekata roho.
genge lianzishe biashara nyanya- ushauri.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
nasikia wanamziki wa bongofleva siku za hivi karibuni wameanza zile safari zao za kwenda south africa ku shoot video.

nakumbuka enzi za utawala jk wasanii walitumika sana kuigiza ngada nchini n
Na hao wote ni wanaccm akina Mwanafalsafa
 
Hayati hafi kwakuwa tayari ni marehemu
 

 
Una ushahidi wowote au tu una lengo la kuchafua serikali iliyopo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…