Baada ya hayati Magufuli kufariki 'mikutano ya injili' imeanza

Kikwete ameawahi kuwaambia Maaskofu kuwa miongoni mwao kuna wafanyabiashara ya Ngada, wakammaindi, wakamsema, wengine wakasema awataje majina, wengine wakaagiza apuuzwe!

May be kuna mchezo mchafu wa watu kutumia dini kupenyeza haya madawa
 
Tutaona tena vijana wakiwa arosto,,piga miayo na kudondosha mimate ovyo... Kuna fursa hapo...naanzisha sober house
 
Ccm kama chama ni wezi wa kura na hawatakaa waache, ila shetani yeye alikuwa kwenye advance level ya wizi, yeye alikuwa ananajisi chaguzi, yaani ni zaidi ya wizi, maana yeye alikuwa anaagiza mauji, kuacha watu na vilema, kuteka, unyama na ukatili wa wazi.
 

Mkuu inchaji salam. Tafadhali unatakiwa (sio kuombwa) kuthibitisha hii kauli yako " moja ya dalili ya kuwepo kwa biashara haramu ya unga ni utitiri wa mikutano ya injili". MOD naomba muangalie sheria zetu muone kama alichoandika inchaji kinaruhusiwa AU apewe BAN ya miezi kadhaa.

Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…