Asante Sana, basi endelea kumwomba Mungu {Yesu Kristu} aendelee kukujalia karama ya utambuzi.Jina langu limeshaandikwa kwenye Kitabu cha uzima cha Mwanakondoo, nimeokoka ndugu, na Mungu yupo moyoni mwangu. nakukaribisha kwa Yesu na wewe uokoke. nina uhakika Mungu yupo moyoni mwangu kwasababu namwona.
Lakini sini huyu huyu GWAJI boy alisema anafufua "WAFU" sasa sindio muda muafaka wakuonyesha uwezo wake? Cha ajabu kakaa kimya utadhani si yeye.. Kweli Mungu alisema katika biblia siku za mwisho watakuja mana bii wa uongo!!Itakuwa jamaa wanajua ndio maana wamegauza kanisa kuwa taasisi ya kufanyia laundering criminals (kutakatisha wahalifu)
huwezi kujua hili kwasababu mmemkataa Roho Mtakatifu, mnasema wale wanaompokea na kuomba kwa Roho wamepagawa tu, ninyi hamumtaki. pia hamtaki kuokoka. Ukiokoka na Roho akaingia ndani yako haubashiri kama wewe una Mungu ama la, unashuhudiwa na Mungu mwenyewe. nakuasa kwa mambo ya fuatayo, na wala sio kwamba nakushusha au kukudharau au kukuhukumu, bali ndio ukweli wa Neno la Mungu.Asante Sana, basi endelea kumwomba Mungu {Yesu Kristu} aendelee kukujalia karama ya utambuzi.
Ndiyo maana magufuli tulimkubali alipo ongea chochote kinywani tulikiona hadi moyoni mwake hakuwa mnafiki wewe maneno yako hayawezi kuonyesha kilichopo moyoni mwako kwa sababu ni mnafiki ...Kifua chako kimehifadhi chuki sana inaonekana
Hayo ni maradhi kama ilivyo UTI na mengine
wahi kwny Clinic ya Maombi na Dua ili upate rehma za Mola wako
kuna watu ukisoma comment zake mbili tatu tu unaona alichohifadhi kifuani
Hawana haya hao.Hivi kuna uwezekano siku moja JPM nae atakuwa anafanyiwa mchakato na kanisa lake wa kutangazwa mtakatifu eh? Maana duniani kuna mambo.