Baada ya Heri James kuwa DC, Mwenyekiti Mpya wa UVCCM kutokea tena Zanzibar?

Baada ya Heri James kuwa DC, Mwenyekiti Mpya wa UVCCM kutokea tena Zanzibar?

Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni , japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri , baada yake akaja Sadifa , ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa , hawa wote walikuwa Wazanzibar .

Sasa swali langu ni hili , baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa UDC , anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani ?
Kuna Mwingine nimeona anaitwa Chongolo je ni yule Katibu wa CCM Taifa?
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni , japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri , baada yake akaja Sadifa , ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa , hawa wote walikuwa Wazanzibar .

Sasa swali langu ni hili , baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa UDC , anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani ?
Mwili chadema akili sisiemu...
 
Kuna vijana pale CCM wana KIU ya uongozi wapo upande wa Bara naona ndio watakao pata icho cheo ..tena kuna wawili ambao mm nawahisi hawa wote ni wanandoa yaan mtu na mke wake
Mmoja kati yao ata chukua icho cheo
Kwa sasa mume wake ame attach na waziri flan then mke wake ana kacheo fulani ndan ya chama
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Itapendeza maana mrithi wa Polepole ni ndugu yake na Samia, mwenyekiti lazima atoke kwao pia
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
This time ni mwanamke au binti kijana tokea Zbar....subiria uone
 
Muungano wetu ulivyo, ukiwa Mtanzania kutoka Zanzibar una haki zote za Zanzibar na Tanganyika, ila ukiwa Mtanzania wa Tanganyika haki zako ni huku Bara tu.

La mkuu wa Wilaya mbona dogo sana, Mbarawa ni Mpemba na alikuwa waziri wa Ujenzi na baadae Maji wakati sio mambo ya Muungano. Wenyewe wanasema tuna Muungano wa kipekee.
Chambuzi hizi zinafikirisha,asante kwa ufafanuzi kilichobaki tujipime kamanchi tunajielewa ama LA!!
 
Sio ajabu nao ni Watanzania wanahaki ya kushiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi kwenye nchi yao.
Nikijibiwa namtu mjinga huwa natamani nimzibue kibao akili imkae sawa... Mfano Tamisemi ni ya muungano? Kwanini mzenji Stoke nchi take aje kuongoza wilaya huku bara? Wakitaka hivyo basis zenji isiwe nchi tuelewe moja!!
Hatutaki ushabiki maandazi tunataka utawala unaoeleweka sio mwendazake alijaza wasukma wake sasa nahuyu atujazie wapembaree hukubara.
 
Najiuliza nikwavipi kijana toka nchi ya Zanzibar anakuja kuwa mkuu wa wilaya huku bara?

Mbona hakuna mtanganyika mkuu wa wilaya nchini kwao Zanzibar?

Ifike mahali tuwe na katiba current inayoakisi yasasa.

Vijana tubishane vya msingi sio kutwa taifa linabishana kama dayamondi atashinda biitii... Vijana wanaofanya hiyo ajenda ya kitaifa no vijana PUMBAFU KABISA
Kumbuka kiti cha nchi hii kimekaliwa na mzanzibar ... kwahiyo usi ulize swali ambalo lina majibu
 
Chambuzi hizi zinafikirisha,asante kwa ufafanuzi kilichobaki tujipime kamanchi tunajielewa ama LA!!
Ndio intaitwa Faustian bargain, hata sasa hivi, tulitakiwa tushangae Mzanzibari kututeulia wakuu wa wilaya huku bara.

Anyaways, sikiliza hotuba ya Mwalimu Nyerere, Kilimanjaro Hotel 1995. Aliongelea hili la wazanzibari kupewa madaraka yasiyohusu Muungano. Point yake in short ilikuwa ni kila Mzanzabari ni Mtanzania, lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari i.e ukienda Mpemba na Mmakonde wakiwa Mtwara wana haki sawa, ila Wakienda Pemba, Mmakonde hana chake. Unique union indeed.d
 
Muungano wetu ulivyo, ukiwa Mtanzania kutoka Zanzibar una haki zote za Zanzibar na Tanganyika, ila ukiwa Mtanzania wa Tanganyika haki zako ni huku Bara tu.

La mkuu wa Wilaya mbona dogo sana, Mbarawa ni Mpemba na alikuwa waziri wa Ujenzi na baadae Maji wakati sio mambo ya Muungano. Wenyewe wanasema tuna Muungano wa kipekee.
hii ni ili siku kikinuka wanajikuta watapoteza zaidi.

kimsingi hakuna faida wewe kupata haki kamili zanzibar kama faida hizo umezikosa bara.
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Watamtafuta MTU makini toka Chadema maana kule Lumumba wanaanda vijana wa kulipwa buku7 tuu kuja kuwatetea hpa JF. Wenzao Wa Chadema wanajitwalia Uwaziri ,ukuu Wa wilaya nk.
Masaburi alisema wanafikiri kwa kutumia Makalio eti ndio maana Mwenyekit wao anaokoteza wateule mbali nao
 
Najiuliza nikwavipi kijana toka nchi ya Zanzibar anakuja kuwa mkuu wa wilaya huku bara?

Mbona hakuna mtanganyika mkuu wa wilaya nchini kwao Zanzibar?

Ifike mahali tuwe na katiba current inayoakisi yasasa.

Vijana tubishane vya msingi sio kutwa taifa linabishana kama dayamondi atashinda biitii... Vijana wanaofanya hiyo ajenda ya kitaifa no vijana PUMBAFU KABISA
Chetu chao, chao chao.
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Unaipenda CCM balaa
 
Back
Top Bottom