Baada ya Heri James kuwa DC, Mwenyekiti Mpya wa UVCCM kutokea tena Zanzibar?

Baada ya Heri James kuwa DC, Mwenyekiti Mpya wa UVCCM kutokea tena Zanzibar?

Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Wazanzibar wanaongoza nchi vizuri acha wachukue tu.
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Hivi makamu Mwenyekiti UVCCM taifa, Tabia Mwita alishastaafu cheo chake?
Maana aliteuliwa na Rais Mwinyi kwenye Baraza la wawakilishi kisha kuwa waziri huko Zanzibar?
 
Kumbuka kiti cha nchi hii kimekaliwa na mzanzibar ... kwahiyo usi ulize swali ambalo lina majibu
Kuna mambo ya muungano na yasokuwa ya muungano. Swala la urais linaeleweka nduguu tunaongelea yasiyo ya muungano kwanini wanatuingilia??
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?

Haya ni mambo na taratibu za CCM sio swala la kitaifa. Huu ni umbea mzuri kupeleka kwa groups za CCM
 
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.

Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
CHATO
 
Muungano wetu ulivyo, ukiwa Mtanzania kutoka Zanzibar una haki zote za Zanzibar na Tanganyika, ila ukiwa Mtanzania wa Tanganyika haki zako ni huku Bara tu.

La mkuu wa Wilaya mbona dogo sana, Mbarawa ni Mpemba na alikuwa waziri wa Ujenzi na baadae Maji wakati sio mambo ya Muungano. Wenyewe wanasema tuna Muungano wa kipekee.
Ni upuuzi waturudishie tanganyika yetu. Kwanza jina tanganyika ni zuri kuliko Tanzania
 
Hivi makamu Mwenyekiti UVCCM taifa, Tabia Mwita alishastaafu cheo chake?
Maana aliteuliwa na Rais Mwinyi kwenye Baraza la wawakilishi kisha kuwa waziri huko Zanzibar?
Kweli dunia haiko fair.yani mwenyekiti uvccm anateuliwa kuwa DC wakati makamu mwenyekiti uvccm amelamba uwaziri
 
Back
Top Bottom