Kuna Mwingine nimeona anaitwa Chongolo je ni yule Katibu wa CCM Taifa?Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni , japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri , baada yake akaja Sadifa , ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa , hawa wote walikuwa Wazanzibar .
Sasa swali langu ni hili , baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa UDC , anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani ?
Mwili chadema akili sisiemu...Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni , japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri , baada yake akaja Sadifa , ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa , hawa wote walikuwa Wazanzibar .
Sasa swali langu ni hili , baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa UDC , anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani ?
Kuuliza si ujingaMwili chadema akili sisiemu...
Itapendeza maana mrithi wa Polepole ni ndugu yake na Samia, mwenyekiti lazima atoke kwao piaIkumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Urawaua MATAGA kwa presha, hebu waache waugulie kwanza kukosa uteuziSasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Kama ni hivyo basi 90% ya Pro-CCM watakua Chadema maana kila kinachosemwa lazima Muitaje CCMMwili chadema akili sisiemu...
This time ni mwanamke au binti kijana tokea Zbar....subiria uoneIkumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Chambuzi hizi zinafikirisha,asante kwa ufafanuzi kilichobaki tujipime kamanchi tunajielewa ama LA!!Muungano wetu ulivyo, ukiwa Mtanzania kutoka Zanzibar una haki zote za Zanzibar na Tanganyika, ila ukiwa Mtanzania wa Tanganyika haki zako ni huku Bara tu.
La mkuu wa Wilaya mbona dogo sana, Mbarawa ni Mpemba na alikuwa waziri wa Ujenzi na baadae Maji wakati sio mambo ya Muungano. Wenyewe wanasema tuna Muungano wa kipekee.
Nikijibiwa namtu mjinga huwa natamani nimzibue kibao akili imkae sawa... Mfano Tamisemi ni ya muungano? Kwanini mzenji Stoke nchi take aje kuongoza wilaya huku bara? Wakitaka hivyo basis zenji isiwe nchi tuelewe moja!!Sio ajabu nao ni Watanzania wanahaki ya kushiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi kwenye nchi yao.
Hahahaha nimecheka vilivyoMbowe yeye kila uteuzi anachoangalia ni kama kuna wachaga ama lah na anataka wachaga wawe wengi.
Mbowe na chama chake ni wakakabila sana.
Kumbuka kiti cha nchi hii kimekaliwa na mzanzibar ... kwahiyo usi ulize swali ambalo lina majibuNajiuliza nikwavipi kijana toka nchi ya Zanzibar anakuja kuwa mkuu wa wilaya huku bara?
Mbona hakuna mtanganyika mkuu wa wilaya nchini kwao Zanzibar?
Ifike mahali tuwe na katiba current inayoakisi yasasa.
Vijana tubishane vya msingi sio kutwa taifa linabishana kama dayamondi atashinda biitii... Vijana wanaofanya hiyo ajenda ya kitaifa no vijana PUMBAFU KABISA
[emoji3][emoji3][emoji3]Walipoteza nchi yao, sio jambo jepesi. Ni sawa na kuporwa shamba, halafu mporaji anasema usijali nitakuwa nakuletea chakula [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio intaitwa Faustian bargain, hata sasa hivi, tulitakiwa tushangae Mzanzibari kututeulia wakuu wa wilaya huku bara.Chambuzi hizi zinafikirisha,asante kwa ufafanuzi kilichobaki tujipime kamanchi tunajielewa ama LA!!
hii ni ili siku kikinuka wanajikuta watapoteza zaidi.Muungano wetu ulivyo, ukiwa Mtanzania kutoka Zanzibar una haki zote za Zanzibar na Tanganyika, ila ukiwa Mtanzania wa Tanganyika haki zako ni huku Bara tu.
La mkuu wa Wilaya mbona dogo sana, Mbarawa ni Mpemba na alikuwa waziri wa Ujenzi na baadae Maji wakati sio mambo ya Muungano. Wenyewe wanasema tuna Muungano wa kipekee.
Watamtafuta MTU makini toka Chadema maana kule Lumumba wanaanda vijana wa kulipwa buku7 tuu kuja kuwatetea hpa JF. Wenzao Wa Chadema wanajitwalia Uwaziri ,ukuu Wa wilaya nk.Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Chetu chao, chao chao.Najiuliza nikwavipi kijana toka nchi ya Zanzibar anakuja kuwa mkuu wa wilaya huku bara?
Mbona hakuna mtanganyika mkuu wa wilaya nchini kwao Zanzibar?
Ifike mahali tuwe na katiba current inayoakisi yasasa.
Vijana tubishane vya msingi sio kutwa taifa linabishana kama dayamondi atashinda biitii... Vijana wanaofanya hiyo ajenda ya kitaifa no vijana PUMBAFU KABISA
Unaipenda CCM balaaIkumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?