Wazanzibar wanaongoza nchi vizuri acha wachukue tu.Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Hivi makamu Mwenyekiti UVCCM taifa, Tabia Mwita alishastaafu cheo chake?Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Kuna mambo ya muungano na yasokuwa ya muungano. Swala la urais linaeleweka nduguu tunaongelea yasiyo ya muungano kwanini wanatuingilia??Kumbuka kiti cha nchi hii kimekaliwa na mzanzibar ... kwahiyo usi ulize swali ambalo lina majibu
Ikumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
watu wameleft baada ya kukosa uteuzi unampelekea nani ?Haya ni mambo na taratibu za CCM sio swala la kitaifa. Huu ni umbea mzuri kupeleka kwa groups za CCM
Ni ndugu wa ukweli ama ni vile wote wanatokea kisiwani??Itapendeza maana mrithi wa Polepole ni ndugu yake na Samia, mwenyekiti lazima atoke kwao pia
Watoe kiongozi Kilimanjaro ama Arusha Ili tuone usawa huko ccmThis time ni mwanamke au binti kijana tokea Zbar....subiria uone
Mtoto wa dada yake tumbo mojaNi ndugu wa ukweli ama ni vile wote wanatokea kisiwani??
CHATOIkumbukwe kwamba Kabla ya Heri James kuwa Mwenyekiti wa UVCCM nafasi hiyo ilishikwa na Hamad Masauni, japo baadaye aling'olewa kwa kashfa ya kufoji umri, baada yake akaja Sadifa, ambaye rekodi yake ya lugha chafu sidhani kama itakuja kuvunjwa. Hawa wote walitoka Zanzibar.
Sasa swali langu ni hili: Baada ya aliyepo kung'olewa kijanja na kupewa u-DC, anayefuatia atatoka bara au sasa ni zamu ya visiwani?
Ni upuuzi waturudishie tanganyika yetu. Kwanza jina tanganyika ni zuri kuliko TanzaniaMuungano wetu ulivyo, ukiwa Mtanzania kutoka Zanzibar una haki zote za Zanzibar na Tanganyika, ila ukiwa Mtanzania wa Tanganyika haki zako ni huku Bara tu.
La mkuu wa Wilaya mbona dogo sana, Mbarawa ni Mpemba na alikuwa waziri wa Ujenzi na baadae Maji wakati sio mambo ya Muungano. Wenyewe wanasema tuna Muungano wa kipekee.
Tanganyika imevaa koti la Muungano. Hili ndo jibu lakembona wa bara hawashiriki zanzibar wabara nao si watanzania
Kweli dunia haiko fair.yani mwenyekiti uvccm anateuliwa kuwa DC wakati makamu mwenyekiti uvccm amelamba uwaziriHivi makamu Mwenyekiti UVCCM taifa, Tabia Mwita alishastaafu cheo chake?
Maana aliteuliwa na Rais Mwinyi kwenye Baraza la wawakilishi kisha kuwa waziri huko Zanzibar?