Baada ya hiki nini kitafuata


Nitumie mm hyo hela niiweke usieje kuitumia.
 
Umri wake na heshma yake hapa mjini Loh!
Umri ni namba tu heshima ni malipo mazuri kwa kumkubalia umpe hiyo neema. Akija muulize anataka mara ngapi hiyo iwe ndo bagain price yako. Mzee umfumbie macho aje kimya kimyaaa
 
Duh mbona mzee kajifanya wa kisasa zaidi,kajiongeza mno
 
Hapoo Chukuaa pesaa mwambie na shemu nae akupee hela ya Kodi Jumlaa utakuwa Kama na Mil 3 funguaa biashraa achaa kuzubaa
 
Mleta mada naona umekuja na style ya kipekee ya kujijengea profile hapa jf,


Wakubwa tumeshakuelewa!
 
Heshima ya mpangaji wa kike hujengwa na mkwaju wa baba mwenye nyumba
Mmuuh! Nawe ukiwa na nyumba ya kupangisha kumbe wadada watapata tabu eeh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…