Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,202
- 1,462
Wema mzuri acheni halafu ana kijisauti chake cha mvuto,yaani mimi mwenyewe kipindi yuko na yule mshikaji anaitwa Jumbe pae tabata nlikuwa namnyatia sana tu,bahat mbaya nikahama kwa nyerere nikaja ughaibuni,hata hivi bado namtimkia tu sijachoka,mwenye namba yake ani pm plsssss!!!!