Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Mawazo ya kijinga ni yale ya kuandika waraka kupinga uwekezaji mkubwa wenye kuja kuinua uchumi wa nchi.mawazo ya kijinga kama haya ndo nyinyi mnapotosha bi tozo mpaka mnataka kuipasua nchi!
Natamani nijibu hii, ila najizuia sababu ya heshima yangu kubwa niliyo nayo kwako.No hatijisifu, bali nyumba ikijengwa kwenye msingi mbovu, ili isivunjike, inawekewa reinforcements.
P
Na hii ndiyo kazi ya ujasusi wa kiuchimi.Asante kwa elimu hii mkuu.HUB ni kituo kikubwa cha biashara cha ngazi ya dunia nzima. Dubai alipounda shirika la ndege akahakikisha asilimia tisini ya ndege zake zinapita pale kwenye jiji lake kwa maana ya safari ya transit. Utatoka nchi za mashariki ya mbali utatua pale Dubai na kisha utaendelea na safari kuja Dar. Utatoka London na kukatiza Dubai kisha utaendelea mpaka afrika ya kusini.
Alijua kule kuonwa mara nyingi kwa jiji lake ni hatua ya kwanza ya kulitangaza kimataifa. Maofisi makubwa yamejengwa pale, biashara za kila aina zimefunguliwa pale yakiwa ni matawi ya zile zilizopo katika miji mikubwa kama Paris, New York, Vancouver na mengine maarufu, hiyo ni maana ya HUB.
Hivi sasa Dubai ameingilia kwenye biashara ya madawa ya binadamu, anageuka kuwa Medicine Hub ya dunia nzima anampita umaarufu India kwenye sekta hiyo.
Samia ana mitazamo ya kisasa sana, anapokea ushauri kutoka kwa wataalam wajanja na wenye maono mapana na anao utayari wa kuyafanyia kazi. Dar inajengewa uwezo wa kuja kuwa HUB kubwa afrika na ikiwezekana duniani.
Hawa wawekezaji wawili wanaokwenda kuendesha bandari ni hatua za mwanzo tu za kujenga umaarufu kama ule wa Dubai, kwamba wepesi wa kutoa mizigo pale bandari unakwenda kuipa heshima mpya Tanzania na inaweza kuanza kuchangamkiwa na wafanyabiashara mbalimbali kutoka mataifa makubwa.
Maendeleo ni mbinu za kisasa, sio kuwa na akili mgando zenye ujamaa mwingi na zinazojaa hulka za kichoyo tu. Kusema sisi wenyewe tuendeshe ni kukosa maono mapana ya kidunia, unahitaji kuwa na chombo cha kibiashara cha bandari chenye kurahisisha biashara za ukanda huu, na watu wetu watajikuta wanaboresha maisha yao katika siku zijazo.
Angalau Paskali safari hii umeandika vizuri kwa hekima. Hongera.Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu. Wananchi tupige kura kulimaliza hili sakata la Dp world
Mkuu utukufu mwanjisi , baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.
Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.
The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.
Hizi HGA usually takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.
Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, Waziri Mkuu wetu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, alituahidi hoja zenu zote zenye mashiko, zitakuwa zimezingatiwa na kuwa accommodated kwenye HGA.
The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Naunga mkono hoja, na tuko Wakatoliki wengi tuu hatuungi mkono waraka wa viongozi wetu wa kanisa Katoliki.Mawazo ya kijinga ni yale ya kuandika waraka kupinga uwekezaji mkubwa wenye kuja kuinua uchumi wa nchi.
Mlipoambiwa nchi inafunguliwa ndio hivi sasa, sasa ujinga ulivyowajaa mnakuja na hoja za siri za uislam wa mwekezaji.
Kawekeza Uingereza, USA kote huko kuna wakristo wanaojielewa kuliko sisi tuliojaa roho mbaya na uchoyo mwingi wa kijamaa.
Sitaki kukosoa mawazo yako ndugu Mayala, lakini angalizo tu. Mara nyingi umekuwa ukijadili swala hili la bandari kichawachawa sana badala ya kuwa mkweli kama mwanasheria. Kabla ya yote, unapodai HGA ziwekwe wazi, hujasoma itajio la IGA yenyewe kwamba HGA zote ziwe siri? Unaposema serikali na Bunge lako tukufu pamoja na Mahakama zimepitisha jambo hili bila mhimili mmoja kuingilia mwingine, una uhakika?Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja...
Umehongwa au akili huna?HUB ni kituo kikubwa cha biashara cha ngazi ya dunia nzima. Dubai alipounda shirika la ndege akahakikisha asilimia tisini ya ndege zake zinapita pale kwenye jiji lake kwa maana ya safari ya transit. Utatoka nchi za mashariki ya mbali utatua pale Dubai na kisha utaendelea na safari kuja Dar. Utatoka London na kukatiza Dubai kisha utaendelea mpaka afrika ya kusini.
Alijua kule kuonwa mara nyingi kwa jiji lake ni hatua ya kwanza ya kulitangaza kimataifa. Maofisi makubwa yamejengwa pale, biashara za kila aina zimefunguliwa pale yakiwa ni matawi ya zile zilizopo katika miji mikubwa kama Paris, New York, Vancouver na mengine maarufu, hiyo ni maana ya HUB.
Hivi sasa Dubai ameingilia kwenye biashara ya madawa ya binadamu, anageuka kuwa Medicine Hub ya dunia nzima anampita umaarufu India kwenye sekta hiyo.
Samia ana mitazamo ya kisasa sana, anapokea ushauri kutoka kwa wataalam wajanja na wenye maono mapana na anao utayari wa kuyafanyia kazi. Dar inajengewa uwezo wa kuja kuwa HUB kubwa afrika na ikiwezekana duniani.
Hawa wawekezaji wawili wanaokwenda kuendesha bandari ni hatua za mwanzo tu za kujenga umaarufu kama ule wa Dubai, kwamba wepesi wa kutoa mizigo pale bandari unakwenda kuipa heshima mpya Tanzania na inaweza kuanza kuchangamkiwa na wafanyabiashara mbalimbali kutoka mataifa makubwa.
Maendeleo ni mbinu za kisasa, sio kuwa na akili mgando zenye ujamaa mwingi na zinazojaa hulka za kichoyo tu. Kusema sisi wenyewe tuendeshe ni kukosa maono mapana ya kidunia, unahitaji kuwa na chombo cha kibiashara cha bandari chenye kurahisisha biashara za ukanda huu, na watu wetu watajikuta wanaboresha maisha yao katika siku zijazo.
Hao wanaohangaika ili nchi ipate uwekezaji ni walinda katiba kama tulivyo mimi na wewe. Tusipende kuwakwaza hovyo kwa kigezo cha kulinda katiba, tunawakwaza kwa kigezo cha uhuru wetu. Sidhani kama ikulu ya JPM ingeletewa upuuzi kama huu wa waraka ingetulia tu, JPM angemkata mtu kichwa.
Mpaka muishushe hii picha kutoka Dubai.Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu. Wananchi tupige kura kulimaliza hili sakata la Dp world
Mkuu utukufu mwanjisi , baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.
Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.
The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.
Hizi HGA usually takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.
Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, Waziri Mkuu wetu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, alituahidi hoja zenu zote zenye mashiko, zitakuwa zimezingatiwa na kuwa accommodated kwenye HGA.
The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Toka lini hga zikawa wazi Kwa wananchi.Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu. Wananchi tupige kura kulimaliza hili sakata la Dp world
Mkuu utukufu mwanjisi , baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.
Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.
The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.
Hizi HGA usually takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.
Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, Waziri Mkuu wetu, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa, alituahidi hoja zenu zote zenye mashiko, zitakuwa zimezingatiwa na kuwa accommodated kwenye HGA.
The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Punguza uongo. Mbona JPM alipigwa nyaraka mbili ya TEC na KKKT na maisha yakasonga?.HUB ni kituo kikubwa cha biashara cha ngazi ya dunia nzima. Dubai alipounda shirika la ndege akahakikisha asilimia tisini ya ndege zake zinapita pale kwenye jiji lake kwa maana ya safari ya transit. Utatoka nchi za mashariki ya mbali utatua pale Dubai na kisha utaendelea na safari kuja Dar. Utatoka London na kukatiza Dubai kisha utaendelea mpaka afrika ya kusini.
Alijua kule kuonwa mara nyingi kwa jiji lake ni hatua ya kwanza ya kulitangaza kimataifa. Maofisi makubwa yamejengwa pale, biashara za kila aina zimefunguliwa pale yakiwa ni matawi ya zile zilizopo katika miji mikubwa kama Paris, New York, Vancouver na mengine maarufu, hiyo ni maana ya HUB.
Hivi sasa Dubai ameingilia kwenye biashara ya madawa ya binadamu, anageuka kuwa Medicine Hub ya dunia nzima anampita umaarufu India kwenye sekta hiyo.
Samia ana mitazamo ya kisasa sana, anapokea ushauri kutoka kwa wataalam wajanja na wenye maono mapana na anao utayari wa kuyafanyia kazi. Dar inajengewa uwezo wa kuja kuwa HUB kubwa afrika na ikiwezekana duniani.
Hawa wawekezaji wawili wanaokwenda kuendesha bandari ni hatua za mwanzo tu za kujenga umaarufu kama ule wa Dubai, kwamba wepesi wa kutoa mizigo pale bandari unakwenda kuipa heshima mpya Tanzania na inaweza kuanza kuchangamkiwa na wafanyabiashara mbalimbali kutoka mataifa makubwa.
Maendeleo ni mbinu za kisasa, sio kuwa na akili mgando zenye ujamaa mwingi na zinazojaa hulka za kichoyo tu. Kusema sisi wenyewe tuendeshe ni kukosa maono mapana ya kidunia, unahitaji kuwa na chombo cha kibiashara cha bandari chenye kurahisisha biashara za ukanda huu, na watu wetu watajikuta wanaboresha maisha yao katika siku zijazo.
Hao wanaohangaika ili nchi ipate uwekezaji ni walinda katiba kama tulivyo mimi na wewe. Tusipende kuwakwaza hovyo kwa kigezo cha kulinda katiba, tunawakwaza kwa kigezo cha uhuru wetu. Sidhani kama ikulu ya JPM ingeletewa upuuzi kama huu wa waraka ingetulia tu, JPM angemkata mtu kichwa.
Kusomea mikataba ni Jambo moja na kuandika mikataba ni Jambo jingine. Ndio maana Rais aliwapa makavu waandika mikataba kutoka serikalini.Ni zaidi ya kuingilia siasa za kiuongozi. Kuandika mikataba ni shughuli inayosomewa vyuoni tena miaka na miaka, haiandikwi tu kama barua za mapenzi.
Unaposema mkataba urudi bungeni ni sawa na kudharau taaluma mzima za wanasheria waliosomeshwa ndani ya taifa letu kwa gharama kubwa.
Mkataba unasomwa mzima kwa ukamilifu wake, ukisoma kifungu kimoja ama viwili na ukavikosoa ni kujidanganya, na ni kuingilia taaluma za watu.
Kwa hivyo unakiri kwamba Tanzania haiwezi kusimamia na kuendesha bandari zake mpaka mwarabu aje. Kwa akili hizi ndio maana tumeporomoka kwenye uchumi wa kati.Kanisa litabakia likishangaa, kwani mwekezaji atakuja na kupokelewa na biashara zitaanza kama kawaida.
Vigezo vya uzawa kumiliki biashara vinavyotumiwa na maaskofu ni kama vimechelewa kusikika, ni masuala ya kiuchumi tena ule wa kisasa.
Wazalendo wa kitanzania wanao uwezo wa kufunga mitambo ya kisasa na kuendesha magati kumi na mbili ya TPA inayohudumia nchi nane zinazotuzunguka?. kuongea ni kazi nyepesi sana kuliko kutenda.
Umeulizwa kuhusu Djibouti. Mbona hayo maendeleo hayapo?. Pia wapo Rwanda mbona hayo mabadiliki hayapo?. Unamtumia nchi za ulaya ambapo makubaliano yao ni tofauti na haya ya kwetu. Kasome mkataba wa Sweden na DP World.Wamewekeza pia Amsterdam, London, Southampton na bandari nyingine nyingi za mataifa yenye watu wanaojielewa.
Na wewe nawe punguza uongo. TEC wamepinga vifungu vya mkataba. Ndio maana wamekuwa specific kwamba wanapinga mkataba wa bandari na sio uwekezaji.Mawazo ya kijinga ni yale ya kuandika waraka kupinga uwekezaji mkubwa wenye kuja kuinua uchumi wa nchi.
Mlipoambiwa nchi inafunguliwa ndio hivi sasa, sasa ujinga ulivyowajaa mnakuja na hoja za siri za uislam wa mwekezaji.
Kawekeza Uingereza, USA kote huko kuna wakristo wanaojielewa kuliko sisi tuliojaa roho mbaya na uchoyo mwingi wa kijamaa.
Chuki za kidini unazo wewe mnafiki. Wananchi wameonesha hofu wewe unadai ni chuki za kidini. Wananchi wakae kimya?. Baadala ya kujisimamia kiuchumi, tunataka mjomba kutoka nje ndio aje atusaidie kiuchumi. Kwa maana nyingine tunajitukana kwamba sisi ni bogus.Maamuzi magumu hupigwa vita siku zote. Mnasema anataka kuuza nchi lakini hamna uwezo wa kuonyesha risiti za mauzo zipo vipi, hamna uwezo wowote wa kuweka hadharani ushahidi wa hicho mnachokisema zaidi ya kuwa ni chuki za kidini zenye ubaguzi ndani yake.
Punguza unafiki jiongelee mwenyewe. Wewe hata JPM alikuita ni mtu wa njaa. Na ni kweli upo tayari kuongea uongo upate chakula. Very ashaming.Naunga mkono hoja, na tuko Wakatoliki wengi tuu hatuungi mkono waraka wa viongozi wetu wa kanisa Katoliki.
P
Umeulizwa kuhusu Djibouti. Mbona hayo maendeleo hayapo?. Pia wapo Rwanda mbona hayo mabadiliki hayapo?. Unamtumia nchi za ulaya ambapo makubaliano yao ni tofauti na haya ya kwetu. Kasome mkataba wa Sweden na DP World.
Mkuu mbussi , naomba kuheshimu maoni yako, kabla Bunge letu Tukufu halijaridhia hii IGA nilitoa ushauri huu Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu! jee kwenye ushauri huo kuna uchawa?Sitaki kukosoa mawazo yako ndugu Mayala, lakini angalizo tu. Mara nyingi umekuwa ukijadili swala hili la bandari kichawachawa sana badala ya kuwa mkweli kama mwanasheria.
Hili ni jambo technical la kisheria, Tanzania tuna sheria ya rasilimali za taifa inayozuia migogoro kutatuliwa nje ya nchi, hivyo serikali yetu haikupaswa kuingia ile IGA kabla ya kwanza kubadili sheria zetu!. Serikali imesaini mkataba au makubaliano batili ya hii IGA ya DPW na Bandari zetu, Bunge letu Tukufu likaridhia hii IGA batili hivyo hivyo na ubatili wake, ni Bunge kutoiingilia serikali. Mahakama nayo ikauona ubatili huo na kuamua in favour of IGA ili kutoliingilia Bunge letu Tukufu!.Kabla ya yote, unapodai HGA ziwekwe wazi, hujasoma itajio la IGA yenyewe kwamba HGA zote ziwe siri? Unaposema serikali na Bunge lako tukufu pamoja na Mahakama zimepitisha jambo hili bila mhimili mmoja kuingilia mwingine, una uhakika?
Kufuatia kelele nyingi kuhusu IGA, HGA lazima iwe wazi.Toka lini hga zikawa wazi Kwa wananchi.