Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu, licha ya mapungufu, HGA yake inakuja. Ombi kwa Serikali yetu sikivu, tunaomba Maximum Transparency kwenye HGA

Hakuna atakapoteza ajira!. Kwa kuanzia wanaleta semi 2000!.
P
Hizi porojo zako pia tulizosikia wakati wa ule utapeli wa fursa za bomba la gas. Wengine tukajichanganya hadi kununua viwanja huko Mtwara, leo hii muulize hata Ridhiwani ama mama Salma Kikwete kama wana hata vibanda vya mpesa kule.
 
Mkuu mbussi , naunga mkono objectivity yako, usemayo ni kweli kabisa ile the doctrine of separation of powers, checks and balance haipo kabisa kwenye nchi yetu!. Hili niliwahi kulizungumza humu kuhusu Bunge kujipendekeza kwa serikali, Mahakama nayo kuligwaya Bunge na kujipendekeza kwa serikali Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth!
Naunga mkono hoja, Bunge halitimizi wajibu wake kikamilifu, Mahakama haitimizi wajibu wake kikamilifu na serikali haiwajibiki kikamilifu kwasababu there is no one to check it out!.
Sasa bwana Mayalla, unaponiambia serikali ilikosea kwenye IGA kati yake na DPW alafu ile mihimili mingine nayo ikabariki makosa hayo kwa kile unachokiita mhimili mmoja hauwezi kuingilia mwingine, nakuwa sikuelewi!!
Lazima utaelewa tuu with time!
Ni kweli kabisa, dawa pekee ya kulitibu hili Bunge la namna hii ni kulizomea from time to time kama hivi
Maadam IGA ni barua tuu ya posa, anayechumbia hawezi kutupangia, sisi wenye binti Bandari ndio tunapanga mahari na kupanga masharti na sio kupangiwa!, hivyo bado HGA inaweza kuwa nzuri!
No sio hii IGA moja tuu imeingia Bungeni hata IGA ya mradi wa LNG imepita Bungeni na kuridhiwa, HGA ya LNG bado!, unaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka kabla ya HGA ya LNG haijatoka!.
Unadhani hizo HGA watakuonyesha? Kama Serikali imeamua kuvunja Sheria kutopeleka mikataba mingine, je, hii ambayo sheria inaweka wazi kuwa iwe siri??
Serikali, Bunge na Mahakama vinatufanya kama Watanzania ni ndondocha!, kwasababu wanaamini no one can do anything!, but... naomba nisimalizie...!
P
 
Let it come, Tanzania ina wenyewe na wenyewe ni CCM.
Mkuu elvischirwa , this is the notion iliyopo kwa waliowengi wakiwemo CCM kuamini kuwa Tanzania ina wenyewe na wenyewe ni CCM!. This is a wrong notion, ni kweli Tanzania ina wenyewe ila wenyewe sio CCM!, wenyewe ni Watanzania, CCM ni inclusive, ila it's very unfortunately wenyewe wenye Tanzania yao, hawajitambui, hawajijui kuwa wao ndio wenye Tanzania yao, ndio wenye serikali, Bunge na Mahakama, ili kuwawezesha Watanzania kujitambua ni kuwaelimisha kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu.
P
 
Ohoo! Hii mambo ya darasa utabaki peke yako, labda wawemo na akina Daimondi.
Katika Afrika Mashariki na Kati watanzani tuko nyuma sana kwenye kupenda haki zetu, tunamuachia Mungu au mungu japo wote hawatusikilizi.
 
mikataba waliyoingia nchi hizo sawa na huu wa kimangungo wa bi.tozo?
 
nyie mliofilisika kimawazo ndo mnaleta masuala ya kidini.TEC wanatoa WARAKA miaka yote haijalishi rais ni muislam au ni mkristo.

kwanini waraka wa sasa wa TEC muone wa kidini?
 
Usituchoshe na wewe. Hatuutaki mkataba na DPW. Kuhonga tu watu kumemuondolea uhalali. Hatutaki
Watanzania tujifunze kitu kinachoitwa managing diversity, kuna watu wengi tuu wameikubali DPW na Bandari zetu, ila tatizo ni IGA na sio DPW!, msianze kujimilikisha watu kujiita hatuutaki mkataba wa DPW, jifunze kuwavumilia wanaoutaka mkataba wa DPW na Bandari zetu!.
P
 
Wewe ni kada wa CCM tunakufahamu! Hatuitaki hata hiyo IGA
 
Pascal msikilize huyu jamaa wa huko South
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…