inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kama nawaona watu walivyonuna huko vigangoni,mwarabu huyu hapa na remba lake,na kobazi zake Kama yesu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wameambiwa Bandari yao imeuzwa na kuna mwingine jana jioni huku Temeke alikuwa anauliza kuwa amesikia kuwa "Dipiwedi ni ya Lizuwani"Ukishasaini IGA ndio umemaliza busara kinachofuata ni mwenye Nguvu kukomaa na mashairi ya.iga 😀😀
Mayalla siku hizi anatukosea heshima sana humu ndani, anadhani anacheza na watoto wadogo wa nursery.Uliona wapi nyumba imara ikajengwa kwenye msingi mbovu?
Unaikumbuka Richmond?Wananchi wameambiwa Bandari yao imeuzwa na kuna mwingine jana jioni huku Temeke alikuwa anauliza kuwa amesikia "Dipiwedi ni ya Lizuwani"
Kiukweli kabisa Wananchi wamekorogwa sana
Ni nchi yetu pekee ambayo masuala ya IGA na HGA yanaongelewa kama vile matokeo ya mechi za Simba na Yanga, hakuna sehemu nyingine duniani penye mijadala kwenye masuala nyeti na ya kiserikali kama haya.Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.
Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.
Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.
The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.
Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.
Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.
The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Kaka Paskali,Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.
Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.
Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.
The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.
Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.
Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.
The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Huoni tunavyoshitakiwa nje na kulipa pesa nyingi?Ni nchi yetu pekee ambayo masuala ya IGA na HGA yanaongelewa kama vile matokeo ya mechi za Simba na Yanga, hakuna sehemu nyingine duniani penye mijadala kwenye masuala nyeti na ya kiserikali kama haya.
Tumecheza na elimu kwa muda mrefu na huu uholela wa kujadili mikataba ambayo ni nyaraka za serikali kama vile ni karatasi tu, ni matokeo ya hiyo michezo ya hatari kwenye sekta nzima ya elimu.
Mikataba ipo mingi na inakuja mingi kila kukicha. Cha muhimu ni hao wenye dhamana ya kuihodhi huko serikalini kuwa watiifu na waaminifu kwa mamlaka zinazowaajiri. Kwa maana hata kuuvujisha mkataba ni matokeo pia ya kucheza na elimu kwa mapana yake.
Tufike mahali pa kuwa na mipaka ya masuala ya masikhara na yale yenye kuhitaji umakini.
Naunga mkono hoja.Wanabodi,
Kama kawaida yangu ya kuwaletea trends mbalimbali, leo naomba niwaletee hii trends za kinachoendelea kwenye hii issue.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari Zetu, HGA yake iko njiani inakuja!
Naomba kukiri nimekuwa inspired kupandisha bandiko hili kwa bandiko la mwana JF huyu.
Mkuu utukufu mwanjisi , kwa ruhusa yako, naomba kuitumia hoja yako hii kama mbegu ya kuoteshea bandiko langu fulani.
Baada ya IGA ya DPW na Bandari zetu kusainiwa na Mhimili wa serikali yetu Tukufu, licha ya kuwa na mapungufu lukuki ya kisheria, ikiwemo illegality on the capacity of Dubai to contract an international Treaty, ikapelekwa Bungeni na kuridhiwa na Mhimili wa Bunge letu Tukufu, hivyo hivyo ilivyo without any reservations, na Mhimiliwa Mahakama ukatoa baraka zake za the Separation of Powers, bila Checks and Balance, ya kutoliingilia Bunge, kinachoendelea sasa ni maandalizi tuu ya HGA.
Kwa kawaida HGA zinakuwaga ni confidential, lakini kufuatia sintofahamu nyingi za hii IGA, tuiombe serikali yetu Tukufu, kufanya a maximum transparency kwenye hii HGA ya DPW na Bandari zetu, isiwe confidential as it used to be, iwe open ili wale wote waliopinga IGA kwa hoja za kisheria, waridhishwe kuwa hoja hizo zimezingatiwa kwenye HGA.
The chronology of events ni
1. Kikao kijacho cha Bunge, kitaibadili ile sheria ya Magufuli ya ulinzi wa Rasilimali za Taifa, ili to accommodate HGA ya DPW na Bandari.
Hizi HGA takes time, mfano mpaka sasa HGA ya mradi wa gesi wa LNG bado haijasainiwa, ila mnaweza kushangaa HGA ya DPW na Bandari zetu ikatoka fasta.
Wale wote mlioipinga hii IGA kwa hoja za kisheria, hoja zenu zote zitakuwa zimezingatiwa kwenye HGA.
The issue ni moja tu, jee HGA ya DPW na Bandari zetu itakuwa open kama hii IGA?.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali
Ni kweli kuna makosa yanafanyika na kuligharimu taifa, lakini hayawezi kuwa ndio haki ya kuvuruga nidhamu nzima ya kiuongozi serikalini.Huoni tunavyoshitakiwa nje na kulipa pesa nyingi?
Angalia JK na Rostam walivyokomaa na DP, weka moja kichwani wale huwa hawaendi kwa hasaraNi kweli kuna makosa yanafanyika na kuligharimu taifa, lakini hayawezi kuwa ndio haki ya kuvuruga nidhamu nzima ya kiuongozi serikalini.
Mikataba ni mingi sana inayoingiwa kila siku huko serikalini, ndio kazi ya wanasheria.Nani pale kwenye serikali yetu anaweza kuelewa mambo ya kimkataba kwa umakini?
Kuna wawekezaji wengine wawili wanakuja pale pale TPA na mmoja atakuwa kule Bagamoyo. Serikali isonge mbele.Angalia JK na Rostam walivyokomaa na DP, weka moja kichwani wale huwa hawaendi kwa hasara
Hakuna anayepinga uwekezaji tunataka uwekezaji wenye tija na siyo wapiga diliKuna wawekezaji wengine wawili wanakuja pale pale TPA na mmoja atakuwa kule Bagamoyo. Serikali isonge mbele.