Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC.
Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC.
Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.
'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Je hii tuseme ni conflict of interest au plan nzuri ya maendeleo ya klabu? Muda utaongea!
Naelewa hofu yenu wanasimba juu Uwepo Wa Eng.Hersi Said pale Yanga kwani yeye ndo kasababisha leo hii maumivu mnayopata
Labda tu niwaambie Eng.Hersi ni chambo tu pale Yanga kupitia GSM ila anayecontrol kila kitu from Behind ni Born Town mwenyewe......Mzee Wa Msoga
Makonda alipofanikiwa kumfitinisha Manji na JPM Simba walivimba sana ila Kwa Sasa watalia na kusaga meno.
Mimi ni yanga lakini la hersi kuchukua form nalipinga sana,kwasasa sina sababu ila baadae ntakuwa nazoGSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.
Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?
Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?
Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.
'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Na hapo ndipo walipotumia makolo Kupitia makonda kuihujumu Yanga kwa kudhoofisha kila alichokuwa nacho Yusuph Manji, leo hii ni kinyume chake, wao wako wapi na yanga iko wapi? Mungu Fundi kwelikweli.Makonda alipofanikiwa kumfitinisha Manji na JPM Simba walivimba sana ila Kwa Sasa watalia na kusaga meno.
GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.
Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?
Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?
Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.
'Mission Accomplished'
Mama Esta sc mnateseka....!GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.
Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?
Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?
Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.
'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Baada ya kufungwa niliamini msimu huu yanga wako vizuri niliyafuta hayo mawazo ya kufikiria yanga alikuwa ana nunua mechiHivi kweli kama Yanga ilikuwa inashinda kwa kununua mechi aliyewauzia mechi yenu ni nani hadi mkafungwa [emoji3][emoji3][emoji3]
hiyo ndo team inayotegemewa nchi hii kimataifa ilete kombe la afrika msimu huu sasa kikundi kidoooogo kinataka kuichukua kihuni siyo fairSimba wanapata hofu juu ya Mambo ya Yanga, ajabu sana hii
makolo achaneni na Yanga,kampokeeni kocha wenu sasahiyo ndo team inayotegemewa nchi hii kimataifa ilete kombe la afrika msimu huu sasa kikundi kidoooogo kinataka kuichukua kihuni siyo fair
team ya wananchi kutekwa na kikundi kidoogo ni uhuni usiokubalikamakolo achaneni na Yanga,kampokeeni kocha wenu sasa
USISAHAU MNA MAKOCHA ZAIDI YA 100 WALIOOMBA KAZI HUKO UMAKOLONI, AKIWEMO KOCHA WA MAN U..!! Mmelichafua jina la Real Madridkwa kocha wenu mliyemtimua, sasa mnataka kuwachafua MAN U...
Naelewa hofu yenu wanasimba juu Uwepo Wa Eng.Hersi Said pale Yanga kwani yeye ndo kasababisha leo hii maumivu mnayopata
Labda tu niwaambie Eng.Hersi ni chambo tu pale Yanga kupitia GSM ila anayecontrol kila kitu from Behind ni Born Town mwenyewe......Mzee Wa Msoga
Kwakuwa wewe sio mwanayanga,acha ianguke maana ndio furaha yenuGSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.
Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?
Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?
Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.
'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Hivi ni Self Travel au ni Self Journey?SAFARINI LEO USIKU✈️
Mkurugenzi wa uwekezaji Kutoka Gsm na mwenyekiti wa kamati ya Usajili leo usiku majira ya saa 8:15pm ataondoka nchini Tanzania sambamba na wakala wa Azizi ki kwenda nchini Ivory cost kukamilisha taratibu za uhamisho wa Stephanie Aziz ki.
Jana wakala wa Azizi ki alikutana na Eng hersi,Senzo mbatha, Dominic albinus walikamilisha taratibu zote za kimkataba na Azizi ki kwa kukubali kusaini Kandarasi ya miaka miwili.
Asec mimosas ndiyo wanamliki mchezaji Stephanie Aziz ki na ndio waliotoa kibari cha mchezaji kukutana na Yanga kufanya mazungumzo ya mwisho ya kimkataba kilichobaki kwa sasa ni Yanga sc na Asec mimosas kumalizana ada ya usajili kitu ambacho Yanga wamekubali kulipa na kumaliza biashara mapema ili waweze kupata ITC ya mchezaji mapema.
Safe travels
NB:Kweli mtu afanye yote haya halafu aukose urais.