Baada ya Injinia Hersi Said kuchukua Fomu Yanga SC taratibu 'ANGUKO' la Yanga SC naanza kuliona kwa mbali

Baada ya Injinia Hersi Said kuchukua Fomu Yanga SC taratibu 'ANGUKO' la Yanga SC naanza kuliona kwa mbali

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC.


Hersi ni muajiriwa wa kawaida sana ndani ya Kampuni kubwa ya GSM.

Kampuni ya GSM ina board members ambao hufanya maamuzi makubwa.

Eng HERSI SAIDI asiwatishe sana watani zangu.
 
Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC.

Inafaa kuupiga vita ubaguzi wa aina yeyote ile.

Kwanini Eng Hersi hafai kuwa kiongozi wa Klabu kama tu katiba inampa ruhusu ya kuwania nafasi?

Kila mwanachama, shabiki na mpenzi wa Yanga sasa amefurahi kuona GSM inajisogeza karibu na klabu ili kupata fursa ya kuwa na maamuzi makuu.
 
Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished' tu kwa GSM.

Klabu zote za SIMBA SC na YANGA SC ni klabu za njaa njaa.

Ni lazima wanyenyekee hawa watu wanao jiita wawekezaji.

Mpaka leo hakuna mwenye uwezo wa kuhoji BIL 20 za Mo Zimewekwa akaunti gani!

Ukiwa na pesa lazima uwe na Umungu MTU ndani.
 
Je hii tuseme ni conflict of interest au plan nzuri ya maendeleo ya klabu? Muda utaongea!

Mtu akikuambia Conflict of Interest mwambie akupe maelezo kwa kina.


Mo Dewji aliiweka Simba Queens chini ya Dada yake.

Mo Dewji akampa Demu wake u C.E.O


Huko kote hatukusikia conflict of interest. [emoji23][emoji23]
 
Naelewa hofu yenu wanasimba juu Uwepo Wa Eng.Hersi Said pale Yanga kwani yeye ndo kasababisha leo hii maumivu mnayopata

Labda tu niwaambie Eng.Hersi ni chambo tu pale Yanga kupitia GSM ila anayecontrol kila kitu from Behind ni Born Town mwenyewe......Mzee Wa Msoga

Ni asilimia 3% ya watakao soma ndio watakao ng’amua ukimaanishacho.
 
GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.

Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?

Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Mimi ni yanga lakini la hersi kuchukua form nalipinga sana,kwasasa sina sababu ila baadae ntakuwa nazo
 
SAFARINI LEO USIKU✈️

Mkurugenzi wa uwekezaji Kutoka Gsm na mwenyekiti wa kamati ya Usajili leo usiku majira ya saa 8:15pm ataondoka nchini Tanzania sambamba na wakala wa Azizi ki kwenda nchini Ivory cost kukamilisha taratibu za uhamisho wa Stephanie Aziz ki.

Jana wakala wa Azizi ki alikutana na Eng hersi,Senzo mbatha, Dominic albinus walikamilisha taratibu zote za kimkataba na Azizi ki kwa kukubali kusaini Kandarasi ya miaka miwili.

Asec mimosas ndiyo wanamliki mchezaji Stephanie Aziz ki na ndio waliotoa kibari cha mchezaji kukutana na Yanga kufanya mazungumzo ya mwisho ya kimkataba kilichobaki kwa sasa ni Yanga sc na Asec mimosas kumalizana ada ya usajili kitu ambacho Yanga wamekubali kulipa na kumaliza biashara mapema ili waweze kupata ITC ya mchezaji mapema.

Safe travels

NB:Kweli mtu afanye yote haya halafu aukose urais.
 
Makonda alipofanikiwa kumfitinisha Manji na JPM Simba walivimba sana ila Kwa Sasa watalia na kusaga meno.
Na hapo ndipo walipotumia makolo Kupitia makonda kuihujumu Yanga kwa kudhoofisha kila alichokuwa nacho Yusuph Manji, leo hii ni kinyume chake, wao wako wapi na yanga iko wapi? Mungu Fundi kwelikweli.
 
Ma
GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.

Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?

Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished'

GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.

Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?

Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Mama Esta sc mnateseka....!
 
Hivi kweli kama Yanga ilikuwa inashinda kwa kununua mechi aliyewauzia mechi yenu ni nani hadi mkafungwa [emoji3][emoji3][emoji3]
Baada ya kufungwa niliamini msimu huu yanga wako vizuri niliyafuta hayo mawazo ya kufikiria yanga alikuwa ana nunua mechi
 
hiyo ndo team inayotegemewa nchi hii kimataifa ilete kombe la afrika msimu huu sasa kikundi kidoooogo kinataka kuichukua kihuni siyo fair
makolo achaneni na Yanga,kampokeeni kocha wenu sasa
 

Attachments

  • IMG-20220609-WA0010.jpg
    IMG-20220609-WA0010.jpg
    38.3 KB · Views: 16
Umeandika ushuzi gani hapa
USISAHAU MNA MAKOCHA ZAIDI YA 100 WALIOOMBA KAZI HUKO UMAKOLONI, AKIWEMO KOCHA WA MAN U..!! Mmelichafua jina la Real Madridkwa kocha wenu mliyemtimua, sasa mnataka kuwachafua MAN U...
 
Nakazia
Naelewa hofu yenu wanasimba juu Uwepo Wa Eng.Hersi Said pale Yanga kwani yeye ndo kasababisha leo hii maumivu mnayopata

Labda tu niwaambie Eng.Hersi ni chambo tu pale Yanga kupitia GSM ila anayecontrol kila kitu from Behind ni Born Town mwenyewe......Mzee Wa Msoga
 
GSM ndiyo wamesimamia huu Mchakato mzima. GSM hawa hawa ndiyo kwa 99% wanaendesha 'Operations' zote za Yanga SC na cha Kushangaza tena Mmoja wa Watendaji Wakuu wa GSM Injinia Hersi Said nae amechukua Fomu Kugombea Urais Yanga SC.

Je, kwa Kitendo hiki ( hatua hii ) ya Injinia Hersi Said nae kuingiwa na Tamaa ya Kuutaka Urais kutakuwa na Uchaguzi wa Uhuru na Haki kwa wana Yanga SC wote?

Je, mfano ikitokea Injinia Hersi Said akaukosa huo ( huu ) Urais ndani ya Yanga SC hawezi akaishawishi GSM iachane na Kuidhamini Yanga SC na Yanga SC warudi tena katika zile zama zao walizozizoea za Umasikini, Shida, Taabu na kutembeza Bakuli huku wakichapana Bakora?

Hata hivyo wenye Akili Kubwa tulishajua tu tokea zamani kuwa GSM ilikuwa inamuandaa Injinia Hersi Said kuja kuwa Kiongozi wa Yanga SC na ndiyo maana ikaanza Kwanza kwa 'Kuwalainisha' Kifikra na Kimtizamo wana Yanga SC wote duniani ambao ukitaka Ugombane nao Wewe iseme GSM au Injinia Hersi Said kwani Kwao huyu Injinia Hersi na Gharib wameshawageuza kuwa ni Mungu na Kimbilio Kuu la Kiuchumi kwa wana Yanga SC 'Njaa Njaa' wengi waliopo Tanzania.

'Mission Accomplished' tu kwa GSM.
Kwakuwa wewe sio mwanayanga,acha ianguke maana ndio furaha yenu
 
SAFARINI LEO USIKU✈️

Mkurugenzi wa uwekezaji Kutoka Gsm na mwenyekiti wa kamati ya Usajili leo usiku majira ya saa 8:15pm ataondoka nchini Tanzania sambamba na wakala wa Azizi ki kwenda nchini Ivory cost kukamilisha taratibu za uhamisho wa Stephanie Aziz ki.

Jana wakala wa Azizi ki alikutana na Eng hersi,Senzo mbatha, Dominic albinus walikamilisha taratibu zote za kimkataba na Azizi ki kwa kukubali kusaini Kandarasi ya miaka miwili.

Asec mimosas ndiyo wanamliki mchezaji Stephanie Aziz ki na ndio waliotoa kibari cha mchezaji kukutana na Yanga kufanya mazungumzo ya mwisho ya kimkataba kilichobaki kwa sasa ni Yanga sc na Asec mimosas kumalizana ada ya usajili kitu ambacho Yanga wamekubali kulipa na kumaliza biashara mapema ili waweze kupata ITC ya mchezaji mapema.

Safe travels

NB:Kweli mtu afanye yote haya halafu aukose urais.
Hivi ni Self Travel au ni Self Journey?
 
Back
Top Bottom