Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Golan heights kwa sasa ziko chini ya nani?Kwanini wasiwashambulia hezbullah ambao kambi zao zipo karibu na golan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Golan heights kwa sasa ziko chini ya nani?Kwanini wasiwashambulia hezbullah ambao kambi zao zipo karibu na golan
zipo chini ya israel but israel iliapa kuwa yeyote atakaye karibia kambi hizo atapata cha mtema kuniGolan heights kwa sasa ziko chini ya nani?
hii ni kwa mujibu wa nini?'Ukiibariki, kuitetea na kuiunga mkono utabarikiwa. Usipofanya hivyo utalaaniwa na kuangamia'. Mungu
So long as Iran are in Syria they must tread very carefully otherwise they might live to regret.**Najaribu tu kupiga picha kama Iran ndio ingeishambulia Israel hivyo sasa hivi tungekuwa tunazungumza lugha gani.
So long as Iran are in Syria they must tread very carefully otherwise they might live to regret.
Kwa hiyo waajemi ndio wana akili kubwa ewe abdool?saying the era of “hit and run” attacks by Israel there was over,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
nimekumbuka vile ndege za Israel zilivyojificha nyuma ya ngege ya Urusi, dege la Urusi likatunguliwa, wao wakala kona.
hawa jamaa hawana IQ Kubwa, ila dunia nzima hakuna Race inayojua ulaghai na ujanja mwingi Kama Wayahudi.
Mwanzo 27:29, Hesabu 24:8-9hii ni kwa mujibu wa nini?
Iran ilitawala dunia mwaka gani? Na wakati ina tawala watu wake walikuwa na imani gani?So long as Iran are in Syria they must tread very carefully otherwise they might live to regret.**
Mkuu Iran si nchi ya mchezo mchezo..
ina ina history kubwa na wana uzoefu mkubwa mno katika medani ya kivita.
Iran iliwai tawala dunia, Israel hiyo historia hana.
Yule Myahud alietemea mate picha za Yesu wenu yupo BADO??Iran ilitawala dunia mwaka gani? Na wakati ina tawala watu wake walikuwa na imani gani?
Israel haina hiyo historia ila ina historia ya kuwa taifa la kwanza na pekee kuabudu Mungu aliyejuu, watu wake kubarikiwa, Mungu kujidhihirisha kwao n.k
I'm not Abdool(in Christian Prince voice).Kwa hiyo waajemi ndio wana akili kubwa ewe abdool?
Wewe ni muamini wa dini gani?Yule Myahud alietemea mate picha za Yesu wenu yupo BADO??
Umehoji uku ukihisi nilichokiandika kinadosari, ukuhoji kwa kutaka kujua.Iran ilitawala dunia mwaka gani? Na wakati ina tawala watu wake walikuwa na imani gani?
Israel haina hiyo historia ila ina historia ya kuwa taifa la kwanza na pekee kuabudu Mungu aliyejuu, watu wake kubarikiwa, Mungu kujidhihirisha kwao n.k
kwanini nikasome hicho kitabu na sio things fall apart?.Mwanzo 27:29, Hesabu 24:8-9
Alafu kasome na Waebrania 13:5 Mungu anasema hatoiacha Israel.
Pole sana Uthman wakati anakopi haya hakuyapenda akayaacha.
You are Abdool! The grandson of Muddy the warlord.I'm not Abdool(in Christian Prince voice).
Umejaribu kuweka ulinganifu wa IQ za waajemi na Waisrael kwa kutumia incidence ya tukio la kudunguliwa ndege ya Urusi.Nb: rudia kusoma nilichokiandika ikiwa ujaelewa.
Kama kuna sehemu nimeja waajemi wana akili kubwa, nionyeshe.
Kwanini huyo ayatollah asianze kupita Tel aviv?Syria kila mwenye nguvu anashusha mabomu.
Israel anamgusa Iran pembeni pembeni uko.akite pale Tehran kwa Mzee Hayatollah kama kweli anajiamini.
Hamas na Hizbullah wanatosha kumjambisha kunguni Israel.Kwanini huyo ayatollah asianze kupita Tel aviv?
Iran ile ya Tehran ya magaidi, wafuga midevu, wauwaji watu, wasiotoa usawa kwa wanawake?Hahaha israel ile ya gay city of telaviv?,
Ni kweli Mungu wetu si wenu, yupo siku nyingi sana, hivi ilikuwaje hadi akaanza kuvikosoa vitabu vya Biblia ina maana alivisoma?[emoji1787]kweli kama ndo mungu huyu wa juu hapana labda awe mungu wenu nyie
Kweli Allah anawachukia Waisrael toka alivyombumbuliwa na Muddy.ila mungu ninayemuamini mimi hawezi kuwalinda machoko kama wale otherwise na wewe utakua choko
Sasa wanasubiri nini wakati Allah hawapendi Israel si wakamalize kazi muende na kuwasaidia?Hamas na Hizbullah wanatosha kumjambisha kunguni Israel.
Nimeandika hawana IQ Kubwa, sijaandika Waisrael wana IQ ndogo kulinganisha na Wairan.You are Abdool! The grandson of Muddy the warlord.
Umejaribu kuweka ulinganifu wa IQ za waajemi na Waisrael kwa kutumia incidence ya tukio la kudunguliwa ndege ya Urusi.
Kasome kwa sababu Quran imekuagiza ukisome.kwanini nikasome hicho kitabu na sio things fall apart?.