Tripp
JF-Expert Member
- Feb 2, 2018
- 898
- 1,545
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa we unadhani watafanyaje ,wakati serikali inawachezesha kanyabazongaWatanzania washasahau kuhusu uchaguzi unaokuja, washasahau kuhusu mambo ya tume huru ya uchaguzi..... Kila mtu yuko bize na usajili wa line
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuja jambo ambalo serikali imekosea.
Sheria ya mawasiliano ya mwaka 1997 hailazimishi mmiliki wa laini ya simu kusajili kwa kitambulisho cha taifa tuu bali inaruhusu kutukia vitambulisho vitano.
Hivyo serikali ilitakiwa kwanza kuhuisha sheria kabla ya kuja na katazo hili.
Ukiwauliza wametumia sheria ipi hawana jibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mvumilivu serikali yetu sikivu haiongozwi na malaikaShukran ya usumbufu usio na sababu? Hizo line tulisajili kwa kutumia vitambulisho vya kura vyenye finger print. Na utaratibu/sheria inatambua kitambulisho cha kura, driving licence nk kama vitambulisho halali kwa usajili wa line za simu, hii ya kulazimisha kitambulisho cha NIDA tu inatoka wapi? Kibaya zaidi tatizo liko huko huko NIDA. Mimi nilijiandikisha NIDA mwaka jana mwezi wa tatu, mpaka leo sina nakala ya kitambulisho zaidi ya namba, sasa hapo shukran ya nini?
Avatar Matata Sana Hiyo
Toka lini walitimiza wanallosema?Habarini ndugu zangu wa JF, naomba kujua ni kweli ambao hawajajisajili kwa alama za vidole laini zao zimefungwa au ilikuwa siasa tu kama tulivyozoea miaka yote matamko?
Naomba kujua maana naona shughuli zinaendelea kama kawaida au muda umeongezwa tena?
Kuwa mvumilivu serikali yetu sikivu haiongozwi na malaika
Kuwa mvumilivu serikali yetu sikivu haiongozwi na malaika
Kuja jambo ambalo serikali imekosea.
Sheria ya mawasiliano ya mwaka 1997 hailazimishi mmiliki wa laini ya simu kusajili kwa kitambulisho cha taifa tuu bali inaruhusu kutukia vitambulisho vitano.
Hivyo serikali ilitakiwa kwanza kuhuisha sheria kabla ya kuja na katazo hili.
Ukiwauliza wametumia sheria ipi hawana jibu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona wamenisahau au awamu yangu badoIlifungwa sababu ulitumia NIDA kusajili ila hujakamilisha kwa kidole
Sent using Jamii Forums mobile app