HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wametuonea sisi ambao tulisajili line kwa vitambulisho vya taifa jana tu walitufungia wengine wanadunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumetokea ugomvi kati ya NIDA na TCRA NIDA wanalalamika kuwa kwanini TCRA wanasajili simu kwa vitambulisho vyao (NIDA) ?Habarini ndugu zangu wa Jf , naomba kujua nikweli ambao hawajajisajiri kwa alama za vidole ,laini zao zimefungwa au ilikuwa siasa tu kama tulivyozoea miaka yote matamko ? Naomba kujua maana naona shughuli zinaendelea kama kawaida au muda umeongezwa tena?
Tunamlaumu tu ila sometimes Trump hakukosea. Alikua na point.Kuna watu wameandika mambo mengi sana kwanini TCRA hawaja zima line za simu mara moja.
Wengine wamekuja na mawazo kwamba TCRA hawana technologia ya kuzima simu.
Wengine eti zoezi la kuzima limezuiliwa kiana.
Ukweli ndio huu.
1. Ni kweli TCRA wanazima simu. Hawana utani.
2. Wanao zima laini za simu sio TCRA , bali ni makampuni ya simu ,a mkononi kwa meelekezo ya TCRA.
3. Kuzima kwa awamu ni kutikana na kwamba NIDA hawana uwezo wa kuwapa vitambulisho watu wote watakao fungiwa laini za simu kwa simu moja kama watu wote wakiamua kwenda nida kudai namba zao.
4. Kuondoa taharuki katika jamii.
5. Kupunguza tension kati ya serikali na wenye simu.
6. Kuwapa nafasi wananchi kutafuta vitambulisho na kusajili laini zao.
Hivyo swala la kuzima kwa awamu limepangwa na lipo kimkakati.
Nawasilisha.
Tabutupu
Nyaishozi, Kagera.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu wangu wa karibu walimfungia, ingawa alishasajili. Ilibidi leo ashinde ofisi za Airtel, Morocco, ndio jioni hii wamemfungulia baada ya kumsajili line yake upya.
kila penye arsenal lazima pawe na kasoro tu! kaa hivohivo ukisubiri hizo siasa na usisajiri hizo chip
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ya kweli haya?Kumetokea ugomvi kati ya NIDA na TCRA NIDA wanalalamika kuwa kwanini TCRA wanasajili simu kwa vitambulisho vyao (NIDA) ?
Eti kuwa TCRA wanawagombanisha na wananchi kwa kuwasingizia NIDA watafunga laini za simu.NIDA wamesema hawahusiki na mambo ya kuzima wala kuwasha simu.TCRA kama wanaona kutengeneza vitambulisho ni kazi rahisi kwanini wasitengeneze vya kwao kwa ajili ya kusajilia simu?
Hata line yangu imefungwa jana. Yaani niliusubiria huo usiku kama mkesha wa mwaka mpya sina hamu
Nitamshanga service provider atayezima simu ambayo haijasajiliwa ili akose mapato .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Me pia halotel yangu hawajaifungaHalotel hawajanifungia line yangu. Sijui kwa nini wakati sikujindikisha?
🤣🤣 Pole na ukome kwa mbali subiri na Leo 😜Hata line yangu imefungwa jana. Yaani niliusubiria huo usiku kama mkesha wa mwaka mpya sina hamu