Uchaguzi 2020 Baada ya Kamati Kuu CHADEMA kumpitisha Alinanuswe Mwalwange kugombea Ubunge Kyela, wananchi walipuka kwa Shangwe, vifijo vyatawala

Uchaguzi 2020 Baada ya Kamati Kuu CHADEMA kumpitisha Alinanuswe Mwalwange kugombea Ubunge Kyela, wananchi walipuka kwa Shangwe, vifijo vyatawala

Huwa nnashangaa sana jambo moja, wakati wa kampeni mbunge anatoa ahadi lukuki, akishapata akiulizwa yeye au mashabiki zake watasema ni serikali ndo yenye wajibu wa kutekeleza ahadi zile, muda wake ukiisha anarudi tena kutoa ahadi, mfano ujenz wa barabara au vituo vya afya
 
Kyela huwa kuna upinzani sana pia nadhani imechangiwa na wakinga make ndo wameshikilia uchumi wa pale mjini.Na wakinga wengi ni Chadema wanyakusa wamebakia vijijini na huko CCM ndo huwa wanafanyia mipango.
Mbona makambako Chadema Kama Haina nguvu na wakati wakinga wapo
 
Back
Top Bottom