#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

Rais Samia: "Gwajiboy oyeeeee"

Wananchi Kawe: "Oyeeeeeee"

Rais Samia: "Tunachanjaa, hatuchanjii??"

Wananchi Kawe: "Hatuchanjiiiiii"!

Rais Samia: "Mh mbunge endelea..."

Wananzengo wasiojifunza 'to expect the unexpected' basi waendelee kunywa kahawa.

-Kaveli-
 
Sawa!
 
Mimi nashangaa tunashambuliwa sisi wa legacy ya magufuli ,wanao tushambulia ni wabunge wa ccm na viongozi wa upinzani akiwemo GAIDI MBOWE tena mbowe alisema kabisa chanjo iwe lazima tena chadema wanasema magufuli hakupata wapiga kura wengi nguvu ya dola ilitumika sasa ukitaka kujua ukweli wa hayo ni hii chanjo mama samia kaleta chanjo milioni moja 1 sasa kwanini makada na wanachama wa ccm ambao ni mamilioni + makada na wanachama wa chadema wakiongozwa na mbowe ambao ni zaidi ya mamilioni wameshindwa kumaliza chanjo milioni moja ndani ya week moja tu huu ni ushahidi wa ushindi wa magufuli kwenye uchaguzi wa 2020 kuwa watu walimkubali magufuli ,, maana wanasema team magufuli ni ndogo na magufuli legacy ni dhaifu [emoji1787]
KAMA MAGUFULI NI MWEU AU ALIKUWA RAISI WA OVYO kwanini makada wa chadema na wanachama wa chadema wenye akili wameshindwa kumaliza chanjo milioni moja tu ?????? Je kwanini makada na wanaccm wameshindwa kumaliza chanjo milioni moja tu ? Huu ni ushahidi kuwa MAGUFULI THE GREAT
 
Achana nao hao,hao akili zao zimeganda.
Wanapiga kelele wao hawajachanja
 
Mkuu, mziki wa MAGUFULI sio wa kitoto.Anapambana na walio hai na bado wanamshindwa!!
Wanaojiita wasomi wamebakia kulalamika tu.
 

Sina cha kuongeza kwenye hoja yako!

Yaliyo katika fikra na mtazamo wangu umeyasema yote.

Wahengavwalisema, kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza!
 

Chama gani ambacho kiko tayari kuwaongoza watanzania nje ya CCM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…