#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

Safi sana mleta mada, hii taarifa imejaa madini kuliko ile ya tamwa iliyojaa upupu.......bila shaka unautendea haki udokta wako.
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini! Huyu ni aina ya mbunge anayesababisha bunge zima kuonekana kama limejaa wabunge ambao uwezo wao wa kupambanua na kuchambua mambo ni finyu!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Nyie kwenye swala la chanjo mlitaka kumiminika Kama watu wanaenda kupiga kura kama 2020,

Chanjo imelenga KWANZA makundi maalum kwenye jamii, ila niseme watu Wanaendelea kuchanja ,na KWA flow ya watu ni sawa

Mfano unaweza kuona chanjo ya TT, au homa ya ini , sio lazima KWA KILA mtu ,ila zipo na watu huchanja,

Na tunacho sema chanjo ya COVID, sio lazima ila iwepo nchini ,KILA mtu aendelee kuchanja KWA mda wake, sio kutuletea propaganda uchwara katika Maisha ya watu
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini! Huyu ni aina ya mbunge anayesababisha bunge zima kuonekana kama limejaa wabunge ambao uwezo wao wa kupambanua na kuchambua mambo ni finyu!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Mama Gwajima hili la chajo alikurupuka. Fikra za Dkt Magufuli ni kama moto uwakao katikati ya msitu mnene, ukiwa pembezoni unaweza dhania hakuna moto. Zaidi ya 80% watanzania wanamlaani sana waziri wa afya kwa kumdanganya rais. Na usikute walimuambia iwe lazima ila kawakatalia. Hatupingi chanjo ila iwekwe wazi watu waendelee kumamua.
 
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
Total disaster! What a shame! You know nothing abt the covid circus!! Better be quiet! You are just a slave.
 
Usanii zaidi wa hii biashara ya kulazimishana umeonekana Zanzibar ambako chanjo iliyotumika pamoja na kuidhinishwa na WHO haitambuliwi na nchi za Magharibi na Marekani.
Hivyo imepelekea Mahujaji wachanje tena J&J ili waende Saudia nchi mshirika wa Ulaya na Marekani.

Completely business
Haya waunga mkono wa chanjo hawawezi kujiuliza hii chanjo iliyokataliwa na nchi za magharibi iliidhinishwa na chombo gani mpaka itumike?

Je Serikali ya Zanzibar hawakujua kuwa haitambuliki hi chanjo na mataifa mengine?
Haikubaliki kwa sababu haina ubora?

Vipi waliochanjwa chanjo ambayo huenda Ina madhara ndo maana haitambuliki watasaidiwaje ?ukizingatia wanajaza consent form ya kutoishitaki Serikali.
 
Mama Gwajima hili la chajo alikurupuka. Fikra za Dkt Magufuli ni kama moto uwakao katikati ya msitu mnene, ukiwa pembezoni unaweza dhania hakuna moto. Zaidi ya 80% watanzania wanamlaani sana waziri wa afya kwa kumdanganya rais. Na usikute walimuambia iwe lazima ila kawakatalia. Hatupingi chanjo ila iwekwe wazi watu waendelee kumamua.
Na hili rais ajifunze kuwa ushawishi wake kwa Watanzania ni mdogo Sana.

Mwendazake bado anaishi na hoja zake,ndiyo maana kiongozi yeyote anayejitenga na falsafa ya JPM juu ya chanjo atakuwa na wakati mgumu Sana 2025,maana hii itakuwa ajenda kuu.

Na ndiyo maana unaona Mwendazake alipinga kutangaza visa,hawa walipo wamepatwa kigugumizi huku mabeberu yakishinikza watangaze visa.
 
Na hili rais ajifunze kuwa ushawishi wake kwa Watanzania ni mdogo Sana.

Mwendazake bado anaishi na hoja zake,ndiyo maana kiongozi yeyote anayejitenga na falsafa ya JPM juu ya chanjo atakuwa na wakati mgumu Sana 2025,maana hii itakuwa ajenda kuu.

Na ndiyo maana unaona Mwendazake alipinga kutangaza visa,hawa walipo wamepatwa kigugumizi huku mabeberu yakishinikza watangaze visa.
Ni kweli Dkt Magufuli anaishi kwenye fikra za watanzania waliowengi. Hotuba ya mama leo pale tegeta imeonesha ukomavu kisiasa. Gwajiboy anaweza kumpandisha kisiasa iwapo atafuata misingi ya Dkt Magufuli.
 
Ni kweli Dkt Magufuli anaishi kwenye fikra za watanzania waliowengi. Hotuba ya mama leo pale tegeta imeonesha ukomavu kisiasa. Gwajiboy anaweza kumpandisha kisiasa iwapo atafuata misingi ya Dkt Magufuli.
Ni kweli tupu yajayo yanafurahisha.
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini! Huyu ni aina ya mbunge anayesababisha bunge zima kuonekana kama limejaa wabunge ambao uwezo wao wa kupambanua na kuchambua mambo ni finyu!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Gwajima LAZIMA aubebe msalaba
 
Kama “hero” wangu alifundisha ujinga, kwa nini wasio wajinga wameshindwa kuondoa ujinga kwa waliofundishwa ujinga?

Yaani wewe usiye mjinga unashindwa kuondoa ujinga kwa aliye na ujinga! Hapa nani ni mjinga zaidi!

Unaweza usijue mantiki ya ulichokiandika lakini kwa kukusaidia umezidi kukoleza hoja yangu kuwa Rais Magufuli aliaminiwa na watu wengi na kwa sababu hiyo alikuwa na political legitimacy sio nchini pekee bali duniani.

Halafu lazima uelewe na kujua kuwa askari mzuri ni yule anayekufa vitani akiwapigania wengi! Pres Magufuli died a hero and not in vain.
Akili kubwa hii!
 
Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
Haa haa just haa haa eti Kibwengo Magu😄
Wajane hawatakuacha jiandae 😄😄😄
 
Sikiliza hapa then chagua kuchanja au hapana

Bonyeza tu:
VACCINATIONS AS A ...
6 days ago — House Bill 4471 PROHIBITS VACCINATIONS AS A CONDITION OF EMPLOYMENT
 
Soma hoja sio kushambulia mtoa hoja.

Tanzania ina watu wa ajabu sana na utashangaa wewe ni msomi, sijui hua mnasoma nini huko vyuoni, reasoning zero kabisa.

Asante sana.

Kuna baadhi ya watu ambao ni wajinga wanadhani kumshambulia mtoa mada ndio njia sahihi ya kujenga hoja!
 
Nachompendea Askofu Gwajima ni pale aliposema tuchunge kauli, ni suala la muda tu itabainika ni nani alisema ukweli au uongo!!


For sure mwitikio wa chanjo ni zero, hata leo mh Rais ameshuhudia hilo wananchi wa jimbo la kawe pale Tegeta wamekataa kuchanja!!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Labda kuwe na kiwango fulani cha elimu kwa wabunge wote, falsafa kiwango cha degree ili busara itumike katika kutoa hoja. Kumbuka unawakilisha kundi la watu wanaokutegemea kwa mawazo yenye tija. Alichosema askofu na uhaini ni vitu viwili tofauti, serikali ilisema ukubali au ukatae chanjo. Yeye kakataa, ana kosa gani?
 
Kwa bahati mbaya sana, Rais amezungukwa na wanafiki wengi zaidi.Asilimia kubwa wanajua ukweli wa chanjo isipokuwa hawawezi kumweleza huo ukweli Rais.
 
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
Mbona una jazba sana? Hupaswi kuendelea kuwa na woga. Magufuli ni Marehemu bado unakuwa na Hofu naye? Kwa sasa tuna Mama, anaupiga mwingi sana...😂
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!
Kwani unadhania standard procedure ya kuhifadhi hizo chanjo nyingine iko tafauti? Unadhania zinatupwa tu store?
 
Gwajiboy mtamuonea tu, ina maana huko visiwani napo wanamsikiliza yeye?.

Mbona chanjo zimedida pia, acheni uzandiki?.
 
Back
Top Bottom