#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Mwendazake ameliharibu sana taifa hili

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mjinga zaidi ni yule aliyekuwa na mamlaka makubwa badala ya kuyatumia positively akaenda kuwaambia watu mapapai yetu yana Corona, nawe kibaraka wake ukashangilia; kwa ujinga wenu ulimwengu wote ukatucheka.

Haiwezekani ule ujinga wenu mliosambaza kwa miaka kadhaa uje kufutika kwa miezi michache, it will take time.

Kama ninyi sio wajinga, kwa nini hamukuufuta kwanza ujinga wetu
kabla hamjaagiza chanjo za korona ambazo kwa sasa zimedoda kwenye magodauni na pia kuna uwezekano zimeanza ku expire!
 
Kwenye chanjo serikali imechemka big time.

Juzi wizara ya afya imesema kwa mwezi mmoja ama siku 32 watu 304,000 ndio walikua wamechanja, kwa maana kua ndani ya mwezi mmoja chanjo ni 33% tu zimetumika.

Kwa hesabu ya haraka chanjo milioni za msaada zitahitaji miezi 3 kumalizika wakati hizo chanjo haijulikani zilizalishwa lini hadi kufika Tanzania na hadi kumalizika zitakua na miezi mingapi, watu watapewa expired shots.

Iwapo mpango wa covax ni kutusaidia chanjo milioni 12, maana yake tutahitaji miezi 36 kuzimaliza hizo chanjo za covax, miaka 3 na ushee. Na wataalam wanashauri ili kujihakikishia ulinzi angalau uchanje 70% ya raia wako, kwa Tanzania ni kama milioni 40, hiyo tutahitaji miaka 10 kumaliza kuchanja 70% ya raia wote.

Hesabu za chanjo zinagoma, tumeingia mkenge wa kukubali kukopeshwa trilioni 2 za kununua madawa ya chanjo lakini iko wazi huu ni usanii.

Nimeupenda sana mchango wako ambao umejaa nguvu za hoja.

Watu kama wewe kwa sasa wamekuwa adimu sana kwenye jukwaa hili.

Wengi kwa sasa hoja zao hapa jukwaani ni matusi na kejeli za kijinga.

Thanks a lot!
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Naona sasa ni zamu yako kuleta uzi humu chato gang.

Poleni sana na chuki zenu dhidi ya Samia. Hamjafanikiwa kwenye lolote na hamtafanikiwa kwenye lolote
 
Mtoa post mwenyewe ni mpinzani wa serikali

Kwa hiyo kama mpinzani wa serikali?

Kwa hiyo unataka kusema kuwa wale wote ambao wamekataa kuchanja ni wapinzani wa serikali?

Hii nchi ina vituko!
 
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
nyinyi mataahira mtaacha lini kumwota magufuli!!!!

kwani imeshindikana kabisa kuelewesha watu umuhimu wa chanjo tofauti na walivyoelekezwa na magufuli!!
 
Acha kuita watoto wa watu kibwengo ndo tatizo lenu nyinyi watoto mlio patikana guest house hamna adabu ..shenzi kabiba
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
 
Kwenye chanjo serikali imechemka big time.

Juzi wizara ya afya imesema kwa mwezi mmoja ama siku 32 watu 304,000 ndio walikua wamechanja, kwa maana kua ndani ya mwezi mmoja chanjo ni 33% tu zimetumika.

Kwa hesabu ya haraka chanjo milioni za msaada zitahitaji miezi 3 kumalizika wakati hizo chanjo haijulikani zilizalishwa lini hadi kufika Tanzania na hadi kumalizika zitakua na miezi mingapi, watu watapewa expired shots.

Iwapo mpango wa covax ni kutusaidia chanjo milioni 12, maana yake tutahitaji miezi 36 kuzimaliza hizo chanjo za covax, miaka 3 na ushee. Na wataalam wanashauri ili kujihakikishia ulinzi angalau uchanje 70% ya raia wako, kwa Tanzania ni kama milioni 40, hiyo tutahitaji miaka 10 kumaliza kuchanja 70% ya raia wote.

Hesabu za chanjo zinagoma, tumeingia mkenge wa kukubali kukopeshwa trilioni 2 za kununua madawa ya chanjo lakini iko wazi huu ni usanii.
Usanii zaidi wa hii biashara ya kulazimishana umeonekana Zanzibar ambako chanjo iliyotumika pamoja na kuidhinishwa na WHO haitambuliwi na nchi za Magharibi na Marekani.
Hivyo imepelekea Mahujaji wachanje tena J&J ili waende Saudia nchi mshirika wa Ulaya na Marekani.

Completely business
 
Basi huyu Magu atakua na ushawishi mkubwa sana, suala la chanjo limeigawa dunia kuanzia huko zinakotengenezwa.
Kwetu tuheshimu maamuzi na hiari kama tulivyoambiwa, anaetaka achanje, anaeona tashwishwi asichanje. Hakuna sababu ya ugomvi.

Mleta uzi anaonya athari na kutoa tahadhari kwa wanaochanjwa kwamba kwa mwenendo unavyoenda, huenda dawa zikafikia muda wake wa kwisha matumizi zikiwa bado hazijatumika.

Akatoa wito kampeni na namba bora ya uhamasishaji ifanyike badala ya hii ya awali kutokuonyesha matokeo chanya.

Kwanini tunajikita kumshambulia mtoa hoja badala ya kujadili hoja?

Tumeona hadi sasa hivi ndugu zetu wa Zanzibar waliochoma chanjo ya China kama sehem ya maandalizi ya kwenda hija wameambiwa wanatakiwa wachanje J&J au zingine zinatotambulika Saudia. Hayo ni mambo serikali ilitakiwa iwe mstari wa mbele kutolea ufafanuzi na kueleza nini kifanyike ili kuwatuliza wananchi. Vinginevyo taharuki zitaendelea.
 
Shida kubwa katika suala la chanjo ni kuwa limechukuliwa kiimani zaidi kuliko kisayansi na hivi vitu viwili haviendi sawa.

Kwa sababu jamii ina watu wenye mitazamo tofauti, Serikali ilifanya uamuzi wa busara kuleta chanjo nchini ili anayeihitaji apate asiyeigitaji aache, kuliko kuegemea upande mmoja tu wa wasioihitaji na hivyo kutoileta.

Ni vizuri kuheshimu pande zote mbili, lakini sio sawa kuilaumu Serikali maana imetimiza wajibu wake.
 
Usanii zaidi wa hii biashara ya kulazimishana umeonekana Zanzibar ambako chanjo iliyotumika pamoja na kuidhinishwa na WHO haitambuliwi na nchi za Magharibi na Marekani.
Hivyo imepelekea Mahujaji wachanje tena J&J ili waende Saudia nchi mshirika wa Ulaya na Marekani.

Completely business
Ni mambo ya kihuni mwanzo mwisho.
 
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
Hizo chanjo nyingine mbona hazipigiwi chapuo kiasi hiki!?
 
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
Naona chanjo ya COVID-19 imekuvuruga akili,namtavurugika kweli kweli.
 
Back
Top Bottom