#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

#COVID19 Baada ya kampeni ya chanjo za COVID-19 kudoda, Askofu Gwajima kuwa mbuzi wa kafara?

Nimeupenda sana mchango wako ambao umejaa nguvu za hoja.

Watu kama wewe kwa sasa wamekuwa adimu sana kwenye jukwaa hili.

Wengi kwa sasa hoja zao hapa jukwaani ni matusi na kejeli za kijinga.

Thanks a lot!
Mkuu hili jambo la chanjo linaonekana kwenye macho ya kawaida kabisa kwamba ni usanii. Chanjo imeshindwa kabla ya kuanza.

Kwa hili la chanjo Gwajima ataonekana mshindi ndani ya muda mfupi ujao.

Tanzania imejiingiza kwenye madeni yasiyo na kichwa wala miguu, iko wazi kwamba hii wastage of public resources. Tumechukua mkopo matrilioni kununua madawa ambayo hayana faida yoyote, mengi yataharibika kabla ya kutumika, pili mengi hayatatumika kwa sababu ya anti vaccine sentiments iliyojengeka Tanzania na mwisho huu utaratibu wa chanjo ukiendelea hivi maana yake tutahitaji miaka si chini ya 15 kuchanja population iliyopo sasa ya 60m.

Na kwa 15 years hatutakua hii hii population ya sasa ya 60m, tutakua zaidi maana yake hii chanjo itakua ni life time, endless chanjo jambo ambalo halipo.

Juzi nimesikia wanasema wanatoa chanjo ya ukimwi, na UN imeapa kufikia 2030 wawe wameangamiza ukimwi. Kwa maana kwamba wamepiga pesa za kutosha kwenye ukimwi sasa wanaleta dawa yake, biashara mpya ni covid 19.
 
Hata wewe ulie comment hapa ni zaidi ya disaster Bora bao lako lingekuwa la puli uliwe na mavi chooni...........maana unataka kutuaminisha ujinga ulio kwenye ujinga wako......chanjo ni hiari na si lazima maana hao hao walishasema chanjo mbaya haafu wanakuja kama mazombi kutuaminisha tena au walijua tumesahau?? Kauli ya Kwanza ndio inayo mfunga mshitakiwa
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Sawa kwani ikidoda ni faida na hasara kwa nani? Ukifa ni wewe sio Serikali.

Hasara nyingine kubwa ni kwamba kama ingefanikiwa serikali ingepata uhalali wa kupata fedha za mkopo wa masharti nafuu kutoka mfuko wa dharura wa kupiga jeki Uchumi kutokana na madhara ya Covid karibu Til.1..

Sasa lazima kuwe na justifications utoe idadi ya waathirika na uoneshe initiative ya kimataifa ya kukabiliana na ugonjwa kwa chanjo tena za bure.

Sasa kwa kuwa nchi imejaa wajinga wanaoamini miujiza na imani za kichawi ndio madhara yake kwa hiyo mkiwekewa tozo msilalamike lazima nchi iende.
 
Familia ambazo zimeguswa kwa namna moja au nyingine na uviko-19 wanajua na wanaishukuru serikali kwa kuagiza chanjo.Kama hujapatwa na hangs hili, utaona Kama hazina umuhimu
 
Kwa hiyo, huyu mama ndio mfano wa Raisi tunayepaswa kuwa naye?
Magufuli ameshakufa kijana. Tafuta namna nyingine ya kuishi.

Tanzania kuna chanjo zaidi ya 60..

Kila siku wanawakae na watoto wanapokea chanjo kila iitwapo siku na tena wasipozipata wanalalamika.

TT pekee inatolewa mpaka shots nne na watu wanaipata.

Kampeni ya COVID imekuwa ngumu kwasababu ha athari za akili ya kibwenhmgo Magu alizoacha.

Hata CCM wenyeqe naamini wamejifunza siyo kila mtu anaweza kuwa Rais. Magu was a total disaster.
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
Tukiwaambia kila mara kuwa CCM imekosa watu sahihi wa kuongoza,mnatunanga!
Huu ndio uthibitisho wa kuwa Chama "twawala" hawana jambo jema lolote kwa taifa hili. Uwezo wao wa kufikiri na kutenda kama binadamu aliye timamu umefika tamati.
Hakuna jambo jema toka kwa watu walewale wa chama kile kile.
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
utapeli wa serikali Vs utapeli wa CCM ambamo Gwajima nwenyewe ni member wa ccm na serikali .

Mkadanganye wajinga
 
Tukiwaambia kila mara kuwa CCM imekosa watu sahihi wa kuongoza,mnatunanga!
Huu ndio uthibitisho wa kuwa Chama "twawala" hawana jambo jema lolote kwa taifa hili. Uwezo wao wa kufikiri na kutenda kama binadamu aliye timamu umefika tamati.
Hakuna jambo jema toka kwa watu walewale wa chama kile kile.
🤣🤣🤣
 
Kwenye chanjo serikali imechemka big time.

Juzi wizara ya afya imesema kwa mwezi mmoja ama siku 32 watu 304,000 ndio walikua wamechanja, kwa maana kua ndani ya mwezi mmoja chanjo ni 33% tu zimetumika.

Kwa hesabu ya haraka chanjo milioni za msaada zitahitaji miezi 3 kumalizika wakati hizo chanjo haijulikani zilizalishwa lini hadi kufika Tanzania na hadi kumalizika zitakua na miezi mingapi, watu watapewa expired shots.

Iwapo mpango wa covax ni kutusaidia chanjo milioni 12, maana yake tutahitaji miezi 36 kuzimaliza hizo chanjo za covax, miaka 3 na ushee. Na wataalam wanashauri ili kujihakikishia ulinzi angalau uchanje 70% ya raia wako, kwa Tanzania ni kama milioni 40, hiyo tutahitaji miaka 10 kumaliza kuchanja 70% ya raia wote.

Hesabu za chanjo zinagoma, tumeingia mkenge wa kukubali kukopeshwa trilioni 2 za kununua madawa ya chanjo lakini iko wazi huu ni usanii.
Muhimu watu wachanje hata ikifika miaka 10
 
Mjinga zaidi ni yule aliyekuwa na mamlaka makubwa badala ya kuyatumia positively akaenda kuwaambia watu mapapai yetu yana Corona, nawe kibaraka wake ukashangilia; kwa ujinga wenu ulimwengu wote ukatucheka.

Haiwezekani ule ujinga wenu mliosambaza kwa miaka kadhaa uje kufutika kwa miezi michache, it will take time.

Magufuli aliaminiwa na wengi kwa sababu alikataa mawazo tofauti na yake, alitaka asikilizwe yeye pekee kwa kila ujinga ataoongea, ndio maana wengi wamepotezwa wakati wa utawala wake, askari anayekufa vitani kwa kupigania ujinga mpe salaam.
33% ndani ya mwezi mmoja huu ni ushindi wa kishindo ukilinganisha na propaganda za hawa mahayawani
 
Kinachoendelea serikalini na bungeni ni kutafuta mbuzi wa kafara baada ya “utapeli” wa serikali kuhusu chanjo za korona kushtukiwa na wananchi wengi nchini.

Fikiria chanjo za watu milioni moja ambazo serikali ilipokea kama “msaada” kutoka Marekani mpaka sasa zaidi ya nusu yake bado ziko kwenye “magodauni” zikisubiri watanzania kujitokeza kwenda kupata hizo chanjo!

Kibaya zaidi hizi chanjo za korona zinahitaji uangalifu wa hali ya juu katika utunzaji ili zisiharibike. Kwa sasa ni mwezi mmoja na wiki mbili tokea serikali ilipopata hizi chanjo!

Chanjo za Johnson and Johnson zinapozalishwa zina expire baada ya miezi 4. Kuna uwezekano wa wananchi huko vijijini kupewa chanjo ambazo zime expire au zimeharibika kutokana na utunzaji mbaya.

Ieleweke kuwa chanjo hizi zinatakiwa kwa muda wote ziwe kwenye jokofu(fridge) lenye joto kati ya 2°C na 8°C (36°F na 46°F). Kwa umeme huu wa mgao au majokofu “spear mkononi” kuna uwezekano mkubwa kwa chanjo kuharibika!

Juzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa wito kwa wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam na viunga vyake wajitokeze kwenye uwanja wa uhuru kupata chanjo bila kujali makundi yao lakini mwitikio ulikuwa ni hafifu sana hasa ikichukuliwa Jiji la Dar es Salaam lina watu zaidi ya milioni 6 na wengi wana uelewa na ufahamu zaidi.

Serikali inatumia nguvu nyingi bila maalifa katika kutimiza malengo ambayo wananchi wengi wameyakataa kimya kimya huku wachache kama Askofu Gwajima wakipaza sauti zao.

Kwa sasa mpaka bunge linaanza kutumia nguvu kuisaidis serikali kuwafumba mdomo baadhi ya wananchi/wabunge wanaotoa sababu za kutochanja.

Yaani serikali haitaki mtu aeleze kwa sauti sababu zinazomfanya asichanje lakini serikali hiyo hiyo inataka waliochanjwa wajipige picha/video na kueleza kwa sauti kwa nini wanachanja.

Kama chanjo ni hiari, kwa nini wizara ya afya inatumia pesa za watanzania wote kuwahamasisha watanzania kuchanja chanjo ambazo mpaka sasa zimeleta mgawanyiko mkubwa huko zinakotoka. Kwa lugha nyingine, serikali inatafuta soko la chanjo kwa kutumia pesa na rasilimali za wananchi.

Neno hiari kwa sasa linageuzwa kuwa LAZIMA eti kwa sababu Rais wa Tanzania amechanja.

Kuna Mbunge mmoja anasema eti maneno ya Askofu Gwajima ya kupinga chanjo yanaweza kusababisha serikali ya Rais Samia kupinduliwa! Eti akamatwe kwa kosa la uhaini!

Kinachoendelea nchini kuhusu chanjo kinadhihilisha Watanzania sio wajinga au “sell-out”.
funga domo lako ukachanje ,proganda za mpenda sifa sasa zimeshafungwa
 
Kama “hero” wangu alifundisha ujinga, kwa nini wasio wajinga wameshindwa kuondoa ujinga kwa waliofundishwa ujinga?

Yaani wewe usiye mjinga unashindwa kuondoa ujinga kwa aliye na ujinga! Hapa nani ni mjinga zaidi!

Unaweza usijue mantiki ya ulichokiandika lakini kwa kukusaidia umezidi kukoleza hoja yangu kuwa Rais Magufuli aliaminiwa na watu wengi na kwa sababu hiyo alikuwa na political legitimacy sio nchini pekee bali duniani.

Halafu lazima uelewe na kujua kuwa askari mzuri ni yule anayekufa vitani akiwapigania wengi! Pres Magufuli died a hero and not in vain.
Kamfufue basi Acha longo longo.
 
Mkuu maelezo yako mazuri sana..
Mleta uzi ni masalia ya lile chizi la chato..
Mpaka leo hawaamini kama amekufa na hatorudi milele.
Tulifanikiwa kupata Rais la ajabu kuwahi kutokea. Uzuri Mungu husikia kilio cha waja wake.... akakituma kidudu cha 19, kikaturahisishia safari...
 
Hata wewe ulie comment hapa ni zaidi ya disaster Bora bao lako lingekuwa la puli uliwe na mavi chooni...........maana unataka kutuaminisha ujinga ulio kwenye ujinga wako......chanjo ni hiari na si lazima maana hao hao walishasema chanjo mbaya haafu wanakuja kama mazombi kutuaminisha tena au walijua tumesahau?? Kauli ya Kwanza ndio inayo mfunga mshitakiwa
Kwakweli misukule na fisi za marehemu mchawi wanasumbua Mkaruka!
😅
1630562066830.png
 
Mkuu, wanaoishi usukumani wanajua.

Mchawi akifa ghafla misukule yake na fisi huwa vinasumbua sana wanakijiji hasa usiku, intangatanga sana kwa njaa.

Hiki ndicho kinachotokea kwasasa.
Ahsante kwa kunifumbua macho.

Nilikuwa najua ni vimchepuko vya Meko... kumbe ni vifisi vinaomboleza...
 
Back
Top Bottom