Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... linavizia teuzi kwa kuichafua Chadema! Lilishapotea kwenye media the only option ilikuwa kuitaja Chadema ili lisikike tena na kweli limesikika! Ha ha ha!Hili zee litakua linavuta bange.
Lishazoea ujinga ule wa lile jini likilokua linamkumbatia bado linataka kuuendeleza.
Hovyoo....!!
Aisee! Unataka kumuua huyu mzee nini? Akisoma hiyo komenti yako!Hili zee litakua linavuta bange.
Lishazoea ujinga ule wa lile jini likilokua linamkumbatia bado linataka kuuendeleza.
Hovyoo....!!
Usiwebm una kurupuka meku.Serikali ianze kufuatilia hawa Chadema kabla hawajamalizana wait kwa wao, kama wanatekana na kuuwana, serikali ichunguze, vyama vya hivi havustahili hata kuwa na usajili
Wooi, huo wimbo ni zilipendwa! Mbona Mbowe, serikali ‘ilikua na ushaidi’ wa kutosha (kwa kauli ya Ziro), kuwa ni gaidi, lakini kipindi cha pili wakaweka mpira kwapani?! Wewe na dr. Miogo ni bure kabisa!Serikali ianze kufuatilia hawa Chadema kabla hawajamalizana wait kwa wao, kama wanatekana na kuuwana, serikali ichunguze, vyama vya hivi havustahili hata kuwa na usajili
Namuona wiki nzima hii analopoka kila siku.wenzie wanahangaikia watanzania kukaa pamoja na kurudisha matumaini ya kisiasa,yeye kila kukicha anaongea upuuzi.Aisee! Unataka kumuua huyu mzee nini? Akisoma hiyo komenti yako!
Nadhani una maana ya "serikali" kupitia jeshi la Polisi, au siyo..?Serikali ianze kufuatilia hawa Chadema kabla hawajamalizana wait kwa wao, kama wanatekana na kuuwana, serikali ichunguze, vyama vya hivi havustahili hata kuwa na usajili
Kiki anazoendanazo haziendani na wanavyotaka akina kinana.hivyo asifikili atapata teuzi kwa kuchonganisha watu.hizi sio zama za yule misifa....
... linavizia teuzi kwa kuichafua Chadema! Lilishapotea kwenye media the only option ilikuwa kuitaja Chadema ili lisikike tena na kweli limesikika! Ha ha ha!
Hivi ni miaka mingapi imepita tangia Ben apotee au Tundu Lissu apigwe risasa ni muda gani umepita? Ungeshauri wachunguzi wa kimataifa ingekuwa vizuri.Serikali ianze kufuatilia hawa Chadema kabla hawajamalizana wait kwa wao, kama wanatekana na kuuwana, serikali ichunguze, vyama vya hivi havustahili hata kuwa na usajili
RIP Chacha Wangwe.Serikali ianze kufuatilia hawa Chadema kabla hawajamalizana wait kwa wao, kama wanatekana na kuuwana, serikali ichunguze, vyama vya hivi havustahili hata kuwa na usajili
Tunakumbushana, maana Sasa kaongea kiongozi wao wa ngazi ya Katibu MkuuNadhani una maana ya "serikali" kupitia jeshi la Polisi, au siyo..?
Unadhani watawezaje?
Maana kumbe ile kesi ya M/Kiti wa CHADEMA (w) anayesemwa na Dr Slaa kuwa alitekwa na "Red 🍒🍒 Brigade" mmoja wa "anayesemekana" ni mlinzi wa CHADEMA iliripotiwa huko huko POLISI unaotaka wachunguze...
Unfortunately, wakashindwa kuitumia fursa hiyo wakati huo kui - incriminate CHADEMA..!!
Lakini kwa zaidi ya miaka 15 polisi hawakuwahi kuchunguza wala kusema lolote. Leo wataanzia wapi kwa mfano..???
Dr Slaa amejichanganya na kuufelisha big time mkakati wa waliomtuma..!
Sasa na wewe chinembe sijui ni kwanini unakosa akili na ufahamu kidogo tu wa kuchakata mambo kuyaelewa kabla ya kuandika..!!???