Uchaguzi 2020 Baada ya kauli ya Mwigulu Nchemba kuhusu kuficha takwimu za maambukizi ya COVID-19, Kitila Mkumbo asema kauli hiyo ni ya mtu mjinga

Uchaguzi 2020 Baada ya kauli ya Mwigulu Nchemba kuhusu kuficha takwimu za maambukizi ya COVID-19, Kitila Mkumbo asema kauli hiyo ni ya mtu mjinga

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa transparency kwenye utoaji wa takwimu za maambukizi ya virusi vya korona Tanzania.

Tukumbuke watu hawa wawili (mmoja akiwa ni kipenzi cha baba huku mwingine ni "outcast") wanatajwa kuwania jimbo moja la ubunge huko mkoani Singida.

Movie imefika patamu, baki hapo hapo usiondoke kwenye screen.

 
nadhani mwigulu hajaeleweka ila ana hoja nzuri,nilichomuelewa ni kwamba anahisi walioambukizwa ni wengi hivo anaona ni bora tutangaze vifo na waliopona kutokana na kwamba hatupimi watu wote
naweza nisiwe sahihi lakini kwa nilichoelewq
 
Hii hoja ya mwigulu ya kuficha takwimu za waathirika wa korona nchini haiwezi ikakubalika katika jamii yoyote ya watu kwenye akili timamu kwani hii itapelekea taharuki wa wananchi, pia itapelekea baadhi ya watu kuanza kutangaza takwimu za kujitungia n.k ni bora watu waambiwe ukweli ili tahadhari pia zizidi kuchukuliwa
 
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa transparency kwenye utoaji wa takwimu za maambukizi ya virusi vya korona Tanzania.

Tukumbuke watu hawa wawili (mmoja akiwa ni kipenzi cha baba huku mwingine ni "outcast") wanatajwa kuwania jimbo moja la ubunge huko mkoani Singida.

Movie imefika patamu, baki hapo hapo usiondoke kwenye screen.


Maneno ya Kitila Mkumbo yamewakilisha comment yangu
 
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa transparency kwenye utoaji wa takwimu za maambukizi ya virusi vya korona Tanzania.

Tukumbuke watu hawa wawili (mmoja akiwa ni kipenzi cha baba huku mwingine ni "outcast") wanatajwa kuwania jimbo moja la ubunge huko mkoani Singida.

Movie imefika patamu, baki hapo hapo usiondoke kwenye screen.


Hii ndio PhD ya ukweli bhana!
 
Hayo ni maneno yako, Mwigulu hajasema hivyo
mkuu hata umenielewa nilichoongea boss ? mimi nimesema kabisa kwenye comment yangu jinsi nilivomuelewa jamaa that means hayo ni maneno yangu sasa unaniambia tena ni maneno yangu wakati najua ni maneno yangu
 
nadhani mwigulu hajaeleweka ila ana hoja nzuri,nilichomuelewa ni kwamba anahisi walioambukizwa ni wengi hivo anaona ni bora tutangaze vifo na waliopona kutokana na kwamba hatupimi watu wote
naweza nisiwe sahihi lakini kwa nilichoelewq
Kama ni mtihani na anayesahihisha ni huyo huyo Mchemba PhD basi atakupa " ziro" yenye masikio!
 
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa transparency kwenye utoaji wa takwimu za maambukizi ya virusi vya korona Tanzania.

Tukumbuke watu hawa wawili (mmoja akiwa ni kipenzi cha baba huku mwingine ni "outcast") wanatajwa kuwania jimbo moja la ubunge huko mkoani Singida.

Movie imefika patamu, baki hapo hapo usiondoke kwenye screen.


Kwa kauli hiyo pia Mkumbo ana ujinga wa aina fulani. Hajitambui kwa nafasi yake ni nani ktk serikali: mtendaji wa wizara yeoyote wa kiwango hicho na nafasi hiyo hawezi kimbilia twitter kuandika maneno kama hayo ambayo ni ya binafsi kabisa!
 
Kama ni mtihani na anayesahihisha ni huyo huyo Mchemba PhD basi atakupa " ziro" yenye masikio!
kwanini usiandike hoja yako kama ni kueleweshana tueleweshane ? tatizo la members wengi humu hamjui kujenga hoja,jf ipo kwa ajili ya watu kutoa mijadala na kuelimishana na kukosoana
nachokiona hapa unajidai wewe ni muelevu lakini hakuna unachokijua mkuu,soma comment yangu nimesema kabisa kwamba nilichokisema sina uhakika kabisa kwamba ni sahihi
 
Back
Top Bottom