Baada ya kauli ya Nape na Ng'umbi CCM waone aibu kujisifu kushinda kwa kishindo

Baada ya kauli ya Nape na Ng'umbi CCM waone aibu kujisifu kushinda kwa kishindo

Wa kulaumiwa ni yule Marehemu nashangaa wabongo tulivyo na akili za nzi kusahau mapema uhuni wake.Kafa leo mnamuona ni malaika na hata huyo MAKO ni mhuni ambae anacheza na media kuhadaa kuwa ni kiongozi safi wa kuigwa watanzania ni wepesi sana kusahau
Pambana na walio hai acha woga marehemu hatusaidii
 
Kauli ya Nape na former DC Ng'humbi sio kauli za Chama; hawakutumwa na Chama kusema waliyoyasema. Chama kinapongeza hatua za haraka zilizochukuliwa dhidi ya wahusika. Bila CCM imara nchi itayumba.
Sio kauli ya chama lakini wanathibitisha kwamba kumbe chama kina mbinu chafu za hivyo.
Maana hizo ni Siri za ndani zimevuja
 
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.

Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo

Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha

Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu

Pia soma:
Ongeza na huyu hapa


View: https://vm.tiktok.com/ZMrKrdJKd/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data - Apps on Google Play
 
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.

Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo

Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha

Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu

Pia soma:
Kishindo kikuu ni 2025 jiandae jiandae
 
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.

Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo

Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha

Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu

Pia soma:

WhatsApp Image 2024-09-01 at 20.40.42.jpeg
 
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.

Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo

Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha

Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu

Pia soma:
Ushindi ni ushindi mraaa na kujisifu lazima tujisifu mkimaindi nendeni mkalie kwa wazungu
 
Ushindi ni ushindi mraaa na kujisifu lazima tujisifu mkimaindi nendeni mkalie kwa wazungu
Kwa wazungu we usipashobokee kabisa maana mama anashinda huko kuwapigia magoti we unafikiri wakimnunia nchi itaenda kweli!?
 
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.

Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo

Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha

Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu

Pia soma:
Ndugu zangu S/ gang tangu janaa wamepigwa baridi balaa.
Tuliwambia wakakaza fuvu.
 
Kwa wazungu we usipashobokee kabisa maana mama anashinda huko kuwapigia magoti we unafikiri wakimnunia nchi itaenda kweli!?
Hii ndo bongo wataalam wa kula na vipofu.....hela zije tu ila use...e wao wabaki nao wenyewe
 
Back
Top Bottom