Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Hakuna kitu kinachodumu milele isipokuwa neno la MUNGU.Mpelekeni mahakamani...
Imani ya CCM itabaki milele...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kinachodumu milele isipokuwa neno la MUNGU.Mpelekeni mahakamani...
Imani ya CCM itabaki milele...
Eee kweli kama kishindo chenyewe ni kwa hizo mbinu walizozisema hao waungwana mnashindwaje!?Kishindo kiko pale pale 😄
Pambana na walio hai acha woga marehemu hatusaidiiWa kulaumiwa ni yule Marehemu nashangaa wabongo tulivyo na akili za nzi kusahau mapema uhuni wake.Kafa leo mnamuona ni malaika na hata huyo MAKO ni mhuni ambae anacheza na media kuhadaa kuwa ni kiongozi safi wa kuigwa watanzania ni wepesi sana kusahau
Sio kauli ya chama lakini wanathibitisha kwamba kumbe chama kina mbinu chafu za hivyo.Kauli ya Nape na former DC Ng'humbi sio kauli za Chama; hawakutumwa na Chama kusema waliyoyasema. Chama kinapongeza hatua za haraka zilizochukuliwa dhidi ya wahusika. Bila CCM imara nchi itayumba.
Ongeza na huyu hapaWanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.
Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo
Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha
Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu
Pia soma:
Ukikosa aibu katika hili basi utakua na laana si bureMpelekeni mahakamani...
Imani ya CCM itabaki milele...
Kishindo kikuu ni 2025 jiandae jiandaeWanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.
Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo
Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha
Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu
Pia soma:
Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.
Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo
Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha
Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu
Pia soma:
Ndio si mapori bado yapo kwa nini kusiwe kishindo!?Kishindo kikuu ni 2025 jiandae jiandae
Na wewe kamfokee baba yako popote alipo kwa kukuacha masikini hadi umekua chawa.Uhaini....
Lini unaingia barabarani kwa lengo hilo ?!!
Ujitangulize na mtoto wa mh.Mbowe ndg.Rodney anayetumbua maisha kule Pretoria.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mahakamani kutafuta nini huu anaosema ni ushahidi kwamba wa mambo ccm inafanya gizani.Mpelekeni mahakamani...
Imani ya CCM itabaki milele...
Kuna uwezekano akatema bungo kama alivyosema JK kuwa labda mambo yakiharibika sana hapa katikati.Chura kiziwi ana wakati mgumu sana
Ushindi ni ushindi mraaa na kujisifu lazima tujisifu mkimaindi nendeni mkalie kwa wazunguWanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.
Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo
Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha
Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu
Pia soma:
Za kishindo au sio ????Kishindo kiko pale pale 😄
Kwa wazungu we usipashobokee kabisa maana mama anashinda huko kuwapigia magoti we unafikiri wakimnunia nchi itaenda kweli!?Ushindi ni ushindi mraaa na kujisifu lazima tujisifu mkimaindi nendeni mkalie kwa wazungu
Ndugu zangu S/ gang tangu janaa wamepigwa baridi balaa.Wanaccm wamekuwa wakijisifu sana eti ni chama kinakubalika na kinashinda uchaguzi kwa kishindo kwa sababu ya sera nzuri na kukubalika kwa wananchi kumbe ni waongo.
Kwa kauli alizotoa nape hivi karibuni na za huyu mheshimiwa wa sasa natamani ccm wajionee aibu maana ni kama wamevuliwa nguo
Nakumbuka makala alileta fix zake wakati anapangua hoja za nape lakini kabla hata hawajafika mbali wameanza kufunua rangi halisi ya ccm na serikali yake linapohusika suala la uchaguzi. Hawa kina mwashambwa wakome kabisa na blabla zao. Oo mara tutashinda kwa kishindo mara mama atosha
Unajisiaga kila siku kwamba nyumbani kwako huishiwagi chakula baadae unakamatwa na magunia ya wizi kwa mwenye akili hatakaa ajisifu tena mbele za watu
Pia soma:
Wanaingiaje hapo sasa mzeeNdugu zangu S/ gang tangu janaa wamepigwa baridi balaa.
Tuliwambia wakakaza fuvu.
Hii ndo bongo wataalam wa kula na vipofu.....hela zije tu ila use...e wao wabaki nao wenyeweKwa wazungu we usipashobokee kabisa maana mama anashinda huko kuwapigia magoti we unafikiri wakimnunia nchi itaenda kweli!?
Na kishindo hiki ni kama cha wakoma kitawakimbiza washamiNdio si mapori bado yapo kwa nini kusiwe kishindo!?