Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nji rahisi,wewe mwenye flame,tafuta machinga wako,uweke mbele,,mmoja arushe miziki,mwingine asonge ugali,,mwingine auze nguo za ndani,etc[emoji23][emoji23][emoji23]hatari Sana,
Umelipa frem la m-pesa million 3 kw mwezi,
machinga anakuja na benchi lake na bango lake anakaa kwenye kibaraza chako na kufanya miamala ile Ile ya pesa.
Na Mwisho wa mwezi kamisheni amekuzidi
[emoji16][emoji16]Apo ndo utajua kwanini mlevi maji huwa anaita "mma"
Mkuu mbona umetumia wino mwingi kuelezea jambo moja tu?Ujaziona stationary za kariakoo?
Mtaa wa uhuru Machinga chini ya turubai wamemwaga vitabu,kalamu, daftar,mafaili n.k
Ujaziona m-pesa za kariakoo,
Vijana wamekaa kwenye vibaraza njiani kabisa na bango la m-pesa wakifanya miamala Kama kawaida?
Unabishana na mtoto wa mama ambae ata nauli ya dala dala haijui.Ujaziona stationary za kariakoo?
Mtaa wa uhuru Machinga chini ya turubai wamemwaga vitabu,kalamu, daftar,mafaili n.k
Ujaziona m-pesa za kariakoo,
Vijana wamekaa kwenye vibaraza njiani kabisa na bango la m-pesa wakifanya miamala Kama kawaida?
Una frem ndani unauza?KWA KAULI YA JPM,
Nawaskitikia sana Waliochukua fremu za biashara ndani ya stend kwa gharama kubwa IMEKULA KWAO.
Machinga na Mama lishe watauza bidhaa ile Ile kwenye kibaraza cha fremu uliolipia mwenyewe kwa pesa zako,
Wateja hawataona umuhimu wa kuingia ndani ya frem lako,Na watauziwa biadhaa ile ile kwa Bei ya chini zaidi,
Ukitaka kushindana nao, labda ukauze Bei sawa na wao.
Hapo bado tozo za manispaa,leseni,tra n.k utalipa WEWE.
Machinga na mama lishe watakua pembeni TU wanakusanifu kwa kitambulisho chao Cha elfu 20[emoji16].
na huna Cha kuwafanya kwasababu mweshimiwa tayari keshasema[emoji1]
Aisee,
Mliochukua zile frem mjiandae kisaikolojia.
Ndugu yangu pale hakuna biashara kwa bei za pango (rent) walizopanga. Tazama hiyo attachment ya mchanganuo wa bei kutoka kwa Paper ya G. Kombe "KWA KAULI YA JPM,
Nawaskitikia sana Waliochukua fremu za biashara ndani ya stend kwa gharama kubwa IMEKULA KWAO.
Machinga na Mama lishe watauza bidhaa ile Ile kwenye kibaraza cha fremu uliolipia mwenyewe kwa pesa zako,
Wateja hawataona umuhimu wa kuingia ndani ya frem lako,Na watauziwa biadhaa ile ile kwa Bei ya chini zaidi.
Ukitaka kushindana nao, labda ukauze Bei sawa na wao.
Hapo bado tozo za manispaa, leseni, TRA n.k utalipa WEWE.
Machinga na mama lishe watakua pembeni tu wanakusanifu kwa kitambulisho chao cha elfu 20[emoji16].
Na huna cha kuwafanya kwasababu mweshimiwa tayari keshasema[emoji1]
Aisee
Mliochukua zile frem mjiandae kisaikolojia.
Ni biashara kichaa.Ndugu yangu pale hakuna biashara kwa bei za pango (rent) walizopanga. Tazama hiyo attachment ya mchanganuo wa bei kutoka kwa Paper ya G. Kombe "
MAGUFULI BUS TERMINAL - DAR ES SALAAM:
FIRE AND FROZEN RENTS ABOUT THE ILLUSORY
PROJECT THAT WILL NEVER PERFORM"
View attachment 1756544