Baada ya kelele za akina Sugu na wabunge wenzake wa upinzani kuhusu nyongeza ya mishahara ya wafanyakazi wa uma hatimae JIWE amekubali kubadili "gea" angani...Ikumbukwe kuwa hakukuwa na fungu au nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali katika bajeti inayojadiliwa kwa sasa huko dodoma lakini kotokana na kelele za wadau wengi zikichagizwa na kelele za baadhi ya wabunge wa upinzani hatimae Jamaa kakubali yaishe na alipanga iwe "surprise" ila sio tena....