Baada ya Kenya kukosa pesa za kujenga reli sasa Uganda inakuja kivingine

Baada ya Kenya kukosa pesa za kujenga reli sasa Uganda inakuja kivingine

Wewe ni mpuuzi sana, wakoloni waliojenga miaka hiyo ya zamani ambako wala hapakuwa na biashara na watu wengi kama sasa unadhani hawakuwa na akili?, sasa hivi idadi ya watu na biashara imeongezeka zaidi ya mara 50 bado unasema hainafaida katika kipindi hiki kweli?, tena hiyo ya zamani haikuwa inaunganisha nchi za jirani, hii inayokwenda hadi nchi tatu za jirani kubeba abiria na mizigo ya Tanzania, Rwanda, Uganda, Burundi na DRC, unahisi haina faida, akili zako unazijua mwenyewe wewe
Mpuuzi ni ww ambaye ambaye hujui mahitaji ya wakati na sababu za kujenga,,walijenga kwa mahitaji yao kipindi husika na sio kuifaidisha Tanganyika,thus why baada ya mahitaji yao kukoma na kupata return waliokusudia in commercial terms, hiyo reli haikuwa na maana tena kibiashara ikabaki kuwa non profit generating enterprise,ushahidi ni kuwa haikuchochea maendeleo yeyote katika maeneo husika hadi barabara zilivyoanza kujengwa.
Sasa kama mumeona huu ni wakati wa kujenga sgr kwa matrion ya shilling ili kujifurahisha basi akili hamna thus why u will swim in LDC dam until masihi comes to rescue you
 
Wewe unamatatizo ya akili, sasa utajuaje kama imerudi au hapana? kama wewe umekopa pesa kwa mtu ni rahisi kwa watu wa nje kujua kama umemaliza kumlipa mdeni wako au bado anakudai, ila kama ni pesa yako binafsi ndiyo uliyotumia kuanzisha mradi, huwajibiki kwa mtu yeyote kmuambia kama pesa yako imerudi au hapana, na hata ukisema, hiyo taarifa hakuna jinsi ya kuweza kujua kama ni kweli au hapana, unaweza kusema lolote utakavyo kwasababu wewe ndiye mwanzo na mwisho.

kwa kifupi, umeuliza kama pesa iliyotumika imerudi au hapana, jibu ni kwamba ilirudi ndani ya miaka ishirini tu baada ya train kuanza kufanya kazi.

Hii reli lengo lake haikuwa kutengeneza faida wala kurudisha pesa, lengo lilikuwa ni ukombozi kusini mwa Africa, ndiyo sababu China wwlitujengea bure kama mchango wake katika juhudi hizo.
Utasemaje imerudi wakati hujui initial capital investment yake,kwa akili yako pesa ya mkopo ndio pekee unayoweza kujua,ww kopo kabisa.
What have you benefited from your ukombozi movement? Stupid LDC mind
 
Wachina wenyewe wametufuata wenyewe wamalizie kipande kilichobaki, feasibility study inafanyika mwaka huu ujenzi utaanza
They know they will gain in the shortrun, construction z their daily bizness but when u shall be gaining loss,they won't be concerned
 
Mi nilidhani electric train inahitaji stima kwa wingi? Kumbe ya tz itakuwa inatumia biogas kutoka kwenye vile vyoo ndani ya treni? Dah 😀😀😀
 
Mpuuzi ni ww ambaye ambaye hujui mahitaji ya wakati na sababu za kujenga,,walijenga kwa mahitaji yao kipindi husika na sio kuifaidisha Tanganyika,thus why baada ya mahitaji yao kukoma na kupata return waliokusudia in commercial terms, hiyo reli haikuwa na maana tena kibiashara ikabaki kuwa non profit generating enterprise,ushahidi ni kuwa haikuchochea maendeleo yeyote katika maeneo husika hadi barabara zilivyoanza kujengwa.
Sasa kama mumeona huu ni wakati wa kujenga sgr kwa matrion ya shilling ili kujifurahisha basi akili hamna thus why u will swim in LDC dam until masihi comes to rescue you
Wewe ni hovyo kabisa, maendeleo gani unayotaka wewe wakati uchumi unafanya vizuri, hivi unadhani kwanini Tanzania inapata FDI kubwa kuliko nchi nyingi hapa Africa?, unadhani ni mambo gani ya msingi wawekezaji wanayataka kabla ya kuamua kuwekeza, umeme na usafiri, hasa wa reli ni vitu muhimu kuliko vyote kwa taharifa yako, sasa hivi nchi za EA zinaonekana kuwa na gharama kubwa za kufanya biashara kwa sababu ya umeme kuwa ghali na usafiri wa barabara ambao ni ghali mno kwa kusafirishia bidhaa, duniani kote bidhaa husafirishwa kwa reli na maji, barabara ni kwa ajili ya light vehicles, hujui lolote kuhusu biashara zaidi ya kupiga domo humu.
 
Utasemaje imerudi wakati hujui initial capital investment yake,kwa akili yako pesa ya mkopo ndio pekee unayoweza kujua,ww kopo kabisa.
What have you benefited from your ukombozi movement? Stupid LDC mind
Wewe ni chizi kabisa, hilo ndilo nililokuambia kwamba hii reli ilijengwa kama zawadi kwa Tanzania na Zambia, wachina hawakutaka kurudishiwa pesa, ni kama zawadi, sasa wewe uliposisitiza kujua kama pesa imerudi au hapana lengo lako nini zaidi ya kutaka kudanganywa?, kujua ni investment kiasi gani, pia utadanganywa, wanaojua kwa uhakika ni wachina wenyewe ila inakadiriwa kufikia $500M za wakati ule.
 
Wewe ni chizi kabisa, hilo ndilo nililokuambia kwamba hii reli ilijengwa kama zawadi kwa Tanzania na Zambia, wachina hawakutaka kurudishiwa pesa, ni kama zawadi, sasa wewe uliposisitiza kujua kama pesa imerudi au hapana lengo lako nini zaidi ya kutaka kudanganywa?, kujua ni investment kiasi gani, pia utadanganywa, wanaojua kwa uhakika ni wachina wenyewe ila inakadiriwa kufikia $500M za wakati ule.
Umewehuka aisee ndo maana unaweweseka kwenye majibu yako,,usiponua initial investment capital yake huwez jua kama inafaida au hasara,kwa vile mumezoea mambo ya bora liende ndo maana mkaka na sgr nyingine ya bora liende,kila kitu kitajipa mbele kwa mbele
 
Wewe ni hovyo kabisa, maendeleo gani unayotaka wewe wakati uchumi unafanya vizuri, hivi unadhani kwanini Tanzania inapata FDI kubwa kuliko nchi nyingi hapa Africa?, unadhani ni mambo gani ya msingi wawekezaji wanayataka kabla ya kuamua kuwekeza, umeme na usafiri, hasa wa reli ni vitu muhimu kuliko vyote kwa taharifa yako, sasa hivi nchi za EA zinaonekana kuwa na gharama kubwa za kufanya biashara kwa sababu ya umeme kuwa ghali na usafiri wa barabara ambao ni ghali mno kwa kusafirishia bidhaa, duniani kote bidhaa husafirishwa kwa reli na maji, barabara ni kwa ajili ya light vehicles, hujui lolote kuhusu biashara zaidi ya kupiga domo humu.
Sgr zinazojengwa na kuelekezwa sehemu zisizo na umuhimu mkubwa kibiashara ni zaidi ya zigo LA hasara,mumekuwa na Tazara gharama zilishuka? Na kwa nn barabara ziendelee kutumika wakati reli zipo? Reli za kubebea mawese na magunia ya dagaa zinafaida gani? Wehu ni kukosa strategic reasoning kwa wakati sahihi
FDI zipi ambazo Tzn inaongoza hapa East Africa wakati gharama za kufanya biashara ni kuwa na kuna vikwazo Vingi kuliko nchi yeyote ya EAC
Kama wawekezaji ni hao wanaokuja kuwaibia madini na kuwaachia mashimo basi hapo mnaongoza na I conquer with you
 
Umewehuka aisee ndo maana unaweweseka kwenye majibu yako,,usiponua initial investment capital yake huwez jua kama inafaida au hasara,kwa vile mumezoea mambo ya bora liende ndo maana mkaka na sgr nyingine ya bora liende,kila kitu kitajipa mbele kwa mbele
Kichwa kibovu hicho, wewe umeambiwa lengo la reli ni kukomboa nchi za kusini mwa Africa, hizo faida na hasara za pesa zinakujaje? tuambie wewe tulipopigana vita na Idd Amin lengo tulikuw kupata faida ya shilingi ngapi?, Kenya wapo Somalia wanatumia pesa nyingi sana katika hiyo vita, waulize kama pesa wanayotumia imerudi au hapana.
 
Kichwa kibovu hicho, wewe umeambiwa lengo la reli ni kukomboa nchi za kusini mwa Africa, hizo faida na hasara za pesa zinakujaje? tuambie wewe tulipopigana vita na Idd Amin lengo tulikuw kupata faida ya shilingi ngapi?, Kenya wapo Somalia wanatumia pesa nyingi sana katika hiyo vita, waulize kama pesa wanayotumia imerudi au hapana.
Achana nae hana akili
 
Sgr zinazojengwa na kuelekezwa sehemu zisizo na umuhimu mkubwa kibiashara ni zaidi ya zigo LA hasara,mumekuwa na Tazara gharama zilishuka? Na kwa nn barabara ziendelee kutumika wakati reli zipo? Reli za kubebea mawese na magunia ya dagaa zinafaida gani? Wehu ni kukosa strategic reasoning kwa wakati sahihi
FDI zipi ambazo Tzn inaongoza hapa East Africa wakati gharama za kufanya biashara ni kuwa na kuna vikwazo Vingi kuliko nchi yeyote ya EAC
Kama wawekezaji ni hao wanaokuja kuwaibia madini na kuwaachia mashimo basi hapo mnaongoza na I conquer with you

tupe mawazo mbadala.
1. unamaanisha SGR isijengwe?
2. unaonelea ipitie wapi?
3. gharama ziwe kiasi gani?
4. irudishwe baada ya muda gani?
5. barabara au reli?
6. mizigo aina/kiasi gani ndipo reli ijengwe?
tafadhali kwa ufafanuzi.
 
Sgr zinazojengwa na kuelekezwa sehemu zisizo na umuhimu mkubwa kibiashara ni zaidi ya zigo LA hasara,mumekuwa na Tazara gharama zilishuka? Na kwa nn barabara ziendelee kutumika wakati reli zipo? Reli za kubebea mawese na magunia ya dagaa zinafaida gani? Wehu ni kukosa strategic reasoning kwa wakati sahihi
FDI zipi ambazo Tzn inaongoza hapa East Africa wakati gharama za kufanya biashara ni kuwa na kuna vikwazo Vingi kuliko nchi yeyote ya EAC
Kama wawekezaji ni hao wanaokuja kuwaibia madini na kuwaachia mashimo basi hapo mnaongoza na I conquer with you
Nani aliyekuambia lengo la Tazara kujengwa lilikua ni biashara, unamatatizo ya ubongo?, lengo la Tazara haikuwa biashara, sitorudia kukueleza.

Hivi kwanini unadhani viwanda vingi vinajengwa mikoa ya Pwani, Dar na Morogoro pamoja na kwamba Mikoa kama Rukwa, Mbeya, Kigoma, Singida ina Uranium, Nickel, bati na malighafi nyingi kwa ajili ya viwanda, sababu kubwa ni kwamba, ukizalisha katika hiyo mikoa, utalazimika kusafirisha hizo bidhaa hadi bandarini ili kuzipeleka sokoni nje ya nchi, kama hakuna reli unatumia barabara, bidhaa zinakuwa ghali sana, ndiyo sababu wawekezaji wanajazana mikoa jirani na bandari.

Ninarudia wewe uwezo wako ni mdogo mno katika kujua mambo, Tanzania inapokea FDI ya $2.2B kwa mwaka, Uganda $1.3B, Kenya $800M, nani anayepata pesa nyingi?.

Hizi reli kati ya Kenya na Tanzania zina faida kubwa sana kwa kukuza uchumi na kufungua fursa za uwekezaji kwa mikoa ya Kati na mwgharibi ya Africa, kama ukienda TIC kuuliza kwanini uchimbaji wa madini ya bati kule Kigoma haujaanza, sababu wanazotoa wawekezaji ni mbili tu, wwnasubiri umeme na train za uhakika.

Unauliza kwanini train za sasa zisitumike, jibu ni kwamba zote zimechoka, mizigo haifiki kwa wakati kwa sababu ya kuaribika kwa train na railway mara kwa mara, badala ya siku nne kwa barabara, reli ya kati inachukua wiki nzima. Tafadhali jielimishe kwanza kabla ya kuhara humu ndani.
 
Meanwhile SGR uganda refutes

View attachment 671635
wp_ss_20180109_0007.png
 
Hehe Tanzania wanajenga reli kushindana na jamaa wa 97% dominant...good luck
wp_ss_20180109_0004.png
 
Am
Nani aliyekuambia lengo la Tazara kujengwa lilikua ni biashara, unamatatizo ya ubongo?, lengo la Tazara haikuwa biashara, sitorudia kukueleza.

Hivi kwanini unadhani viwanda vingi vinajengwa mikoa ya Pwani, Dar na Morogoro pamoja na kwamba Mikoa kama Rukwa, Mbeya, Kigoma, Singida ina Uranium, Nickel, bati na malighafi nyingi kwa ajili ya viwanda, sababu kubwa ni kwamba, ukizalisha katika hiyo mikoa, utalazimika kusafirisha hizo bidhaa hadi bandarini ili kuzipeleka sokoni nje ya nchi, kama hakuna reli unatumia barabara, bidhaa zinakuwa ghali sana, ndiyo sababu wawekezaji wanajazana mikoa jirani na bandari.

Ninarudia wewe uwezo wako ni mdogo mno katika kujua mambo, Tanzania inapokea FDI ya $2.2B kwa mwaka, Uganda $1.3B, Kenya $800M, nani anayepata pesa nyingi?.

Hizi reli kati ya Kenya na Tanzania zina faida kubwa sana kwa kukuza uchumi na kufungua fursa za uwekezaji kwa mikoa ya Kati na mwgharibi ya Africa, kama ukienda TIC kuuliza kwanini uchimbaji wa madini ya bati kule Kigoma haujaanza, sababu wanazotoa wawekezaji ni mbili tu, wwnasubiri umeme na train za uhakika.

Unauliza kwanini train za sasa zisitumike, jibu ni kwamba zote zimechoka, mizigo haifiki kwa wakati kwa sababu ya kuaribika kwa train na railway mara kwa mara, badala ya siku nne kwa barabara, reli ya kati inachukua wiki nzima. Tafadhali jielimishe kwanza kabla ya kuhara humu ndani.
Am tired with your nonsense urgument
 
tupe mawazo mbadala.
1. unamaanisha SGR isijengwe?
2. unaonelea ipitie wapi?
3. gharama ziwe kiasi gani?
4. irudishwe baada ya muda gani?
5. barabara au reli?
6. mizigo aina/kiasi gani ndipo reli ijengwe?
tafadhali kwa ufafanuzi.
Kwanza tinge concentrate kwenye kuunganisha mtandao wa barabara za kuu na za mikoa nchi nzima maana zinaleta multiplier effect kubwa na ya haraka kwenye uchumi na maisha ya watu kuliko reli,mfano mikoa yote iliyokuwa haina barabara ila ina reli uko hoi kimaendeleo
Muda wa kujenga reli ya kiwango hicho bado sana maana hata Ethiopia kwa mfano walijenga baada ya kuconcentrate kwenye barabara za maana na uchumi wao kukua kwa double digit kwa mkaka kadhaa,sasa sie bado uchumi watu ni weak sana kuhitaji sgr,hata hao wakenya tunaowaiga wana uchumi mkubwa
Wapi ipite,ni rational sgr ingepita kuelekea Sadc countries maana huko ndiko kuna mzigo wa kutosha zaidi ya 70%,sasa kujenga sgr ya matrion kwa ajili ya kubebea mawese madumu mia na magunia ya dagaa tani 10 kwa mwaka si upuuzi huo?
 
Waambie SG Railways Uganda, wakaongee na UG State House wapewe update. Labda hawajapa memo.
M7 hakuja pekeuake alikuja na head of SGR uganda...
Alafu umesoma hio tweet ya kwamba they expect to sign the loan agreement this year. The tweet was written on 1st Jan, before this article was published, they also have compensated 101km already
 
M7 hakuja pekeuake alikuja na head of SGR uganda...
Alafu umesoma hio tweet ya kwamba they expect to sign the loan agreement this year. The tweet was written on 1st Jan, before this article was published, they also have compensated 101km already
While M7 alikuwa huko, his FM was in Dar delivering special message. Ni gazeti lenu, why not ask the paper?
 
Back
Top Bottom