Baada ya Kenya kuzuia gesi kutoka Tanzania, bei zapanda, wengi warudi kutumia mkaa na mafuta ya taa!

Baada ya Kenya kuzuia gesi kutoka Tanzania, bei zapanda, wengi warudi kutumia mkaa na mafuta ya taa!

Tumieni njia za kisheria kuubariki uhuni kisa wananchi wanapata nafuu si sawa
 
Kwani hiyo gesi mnatupea bure, sisi ndio tunatumia hela zetu hivyo tuna mamlaka ya kuamua wapi tutanunua. Mkistaarabika na kuacha ujanja janja wa kutuletea gesi hatari, tutawaskliza.
Gesi hatari wapi Wewe mbona sisi tunatumia hizo hizo mnazozizuia na mbona hazilipuki nyie wakenya mnachuki tuu... Ewura na TBS ni bord zinazotambuliwa na EAC kama ISO ilivyo internationally ila mtanyooka tuu
 
Unasema nini wewe? Gas yenyewe bado mnaagiza kutoka nje, sisi kwa miaka nyingi tumekuwa tukirefine mafuta gafi pale Mombasa na kupata hiyo gas ma kuwauzia.

Gas hatupati Tanzania tu, tunaagiza kutoka nje, shida iko wapi? Hiyo ya kwenyu inayopita boda ya Namanga, sio eti tuna shida nanyi mandugu zetu, bali kuna taswishi kuhusu usalama wa gesi hiyo. Ngoja hadi serikali itatue hilo


Sent from my Noir- Z8 using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu sisi kununua gesi kwenu haimaanishi sisi hatuna gesi ya kututosha its just kuwa na balance ya biashara mbona China ananunua magari german na German ananunua magari China unaelewa nn hapo
 
Tatizo lenu mnapenda kuishi kiujanjanja na ndio maana mnaliwa hata migodini, hamna siku mnakubali kufuata utaratibu uliowekwa. Juzi gesi ya kimagendo kutokea kwenu imelipuka ndani ya nyumba halafu tatizo uongozi kwenu hawajui kushinikiza ubora, sasa wanashangaa wakati sisi tukizingatia.

Bora tutumie mkaa na tuwe na uhakika wa usalama kuliko kuruhusu huo ukajanja wenu kutudhuru. Mkifuata taratibu na kuzingatia usalama kwa kuhakikisha ubora hatuna shida nanyi, tena sisi ni soko kubwa sana kwenu maana hela tunazo. La sivyo hiyo gesi mtaikula nyie.
Ubora kama wa slam za kenya
 
Tatizo lenu mnapenda kuishi kiujanjanja na ndio maana mnaliwa hata migodini, hamna siku mnakubali kufuata utaratibu uliowekwa. Juzi gesi ya kimagendo kutokea kwenu imelipuka ndani ya nyumba halafu tatizo uongozi kwenu hawajui kushinikiza ubora, sasa wanashangaa wakati sisi tukizingatia.

Bora tutumie mkaa na tuwe na uhakika wa usalama kuliko kuruhusu huo ukajanja wenu kutudhuru. Mkifuata taratibu na kuzingatia usalama kwa kuhakikisha ubora hatuna shida nanyi, tena sisi ni soko kubwa sana kwenu maana hela tunazo. La sivyo hiyo gesi mtaikula nyie.
Slam na daraja lilovunjika siku chache baada ya viongozi wenu kulizidua Kenya banaa[emoji220] [emoji220]
 
Back
Top Bottom