Tetesi: Baada ya Kenyatta, Museveni naye yupo safarini Kwenda Chato

Bwahahaaa..ukwel haubadiliki km kaalikwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..ila yeye asahau kualikwa gatundu...

Kwanza aalikwe kw lipi..wakati yeye ni zero brain[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo jina tu lina ukakasi gatundu
 
Kwhyo ku force uhuru kaomba kwenda chato ni uzee..akili za kitanzania bana...[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Humu ndani watoto mmekua wengi hadi jukwaa limekua ka lawatoto..sasa kuhusu nani alimwalika mwenzie inasaidia nn hapa??
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Mbulula huyo, don't bother.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kwhyo ku force uhuru kaomba kwenda chato ni uzee..akili za kitanzania bana...[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Mbulula huyo, don't bother.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Kwhyo ku force uhuru kaomba kwenda chato ni uzee..akili za kitanzania bana...[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Juzijuzi tu alikua China, Alivorudi next day kaenda Niamey kwe mkutano wa AU amerudi jana leo yupo Angola na kesho tena anakuja chato!!! Eh God bless him.
 
Kagame, museven na Tshekedi wamealikwa Angola na rais wao. Lengo ni usalama katika ukanda wa maziwa makuu. Hivyo wako njiani hao kwa Safari zao.
 
Matusi ya nini
 
Karibu sana Mhe. Museveni. Somo moja kwako ni kujua umuhimu wa kubadilishana uongozi wa taifa. Tunajivunia Rais wetu wa awamu ya 5 na tukijaliwa tutakuwa na awamu ya 6 na kuendelea.
 
Mimi ni mtanzania nime "endorse" kuwa hii ni takataka umeandika hapa.
 
Hivi huyu Mzee wa chato ana manukato yepi hadi anafuatwa mzima mzima hadi kijijini kwake na marais?
Wanakwenda kumjuulia hali mama wa kiongozi mwenzao hana lolote.


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Aisee, kila mtu na saizi yake bana. Kenya wamezuru marais kama Erdogan wa Uturuki, PM Theresa May wa U.K, Benjamin Netanyahu wa Israel, Nicholas Sarkozy wa Ufaransa. Leo rais Museveni na rais Uhuru kutua Chato imekuwa ni breaking news? Hizi ligi zenu ni za kienyeji sanaaa!
Rais wa Ufaransa alipozuru Kenya. M7, 'Kachapin' akielekea Chato. [emoji1] Spot the difference.
 
Ukisema hivyo hata hapa Tz kuna viongozi wakubwa kama Obama walim visit Kikwete aisee.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Muheshimiwa Rais M7 kwanini unajiita "joto la jiwe"? Baada ya kukusikia ukisema hivi leo pale Chato humu ndani ulikuwa offline na haya maneno uliyaweka huku jana copyright 😁😁😁😁

Asante Muheshimiwa Rais M7 wa Uganda 😁😁😁

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…