Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,579
- 3,919
Tausi wataisha tu.Hawa wazee wakiendelea kwenda huko watamaliza wanyama wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tausi wataisha tu.Hawa wazee wakiendelea kwenda huko watamaliza wanyama wetu.
Acha kuabudu wazungu nyie.Aisee, kila mtu na saizi yake bana. Kenya wamezuru marais kama Erdogan wa Uturuki, PM Theresa May wa U.K, Benjamin Netanyahu wa Israel, Nicholas Sarkozy wa Ufaransa. Leo rais Museveni na rais Uhuru kutua Chato imekuwa ni breaking news? Hizi ligi zenu ni za kienyeji sanaaa!Rais wa Ufaransa alipozuru Kenya. M7, 'Kachapin' akielekea Chato. [emoji1]
Spot the difference.![]()
Netanyahu na rais Erdogan wa Uturuki ni wazungu?Acha kuabudu wazungu nyie.
Hata Mimi nimeshangaa sana, ila sio Mara ya kwanza vitu kama hivi kunitokea, watu ninaoishi nao wananifahamu vizuri sana, endelea kufuatilia mijadala yangu utagundua.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Muheshimiwa Rais M7 kwanini unajiita "joto la jiwe"? Baada ya kukusikia ukisema hivi leo pale Chato humu ndani ulikuwa offline na haya maneno uliyaweka huku jana copyright [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Asante Muheshimiwa Rais M7 wa Uganda [emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi wewe ulijuaje kwamba M7 Atayanukuu maneno yako asilimia 100%??Tanzania ni Mecca/Jerusalem ya Africa tangu enzi za ukombozi, huyo Museven watoto wake wote aliwazaa akiwa Tanzania. Nchi pekee iliyokua ikipingana na ukweli ilikua ni Kenya, lakini kama ujuavyo huwezi kuzuia mvua, hatimae Uhuru Kenyatta amekubaliana na ukweli, ameamua kuja kuhufhuria hijja katika ardhi takatifu, kuanzia sasa Kenya itaanza kuwa na baraka za Mungu, karibu Museven na wewe upate baraka za Bwana. Tanzania Hoyeeeeeeeeee. No Tanzania, No East Africa, No SADC.
Hahahaha, Mimi Niko hivyo Mara nyingi katika maisha yangu, huwa hapa kijijini Kwangu wananiita Nabii, wengine wananiita " Mchawi/ Mwanga", Endelea kufiatilia post zangu utagundua hilo.Hivi wewe ulijuaje kwamba M7 Atayanukuu maneno yako asilimia 100%??
Nimeshangaa sana aisee, labda museveni yupo na watu wake wa usalama wa Taifa wanao peruzi nyuzi hapa JF na kumpasha Habari Musevni.[emoji122][emoji122][emoji122]
😂😂😂😂 Muheshimiwa Rais M7 kwanini unajiita "joto la jiwe"? Baada ya kukusikia ukisema hivi leo pale Chato humu ndani ulikuwa offline na haya maneno uliyaweka huku jana copyright 😁😁😁😁
Asante Muheshimiwa Rais M7 wa Uganda 😁😁😁
Mwandishi wa Habari wa Tanzania digital ameongeza maneno yake unless there is video evidence showing otherwise.Hivi wewe ulijuaje kwamba M7 Atayanukuu maneno yako asilimia 100%??
Nimeshangaa sana aisee, labda museveni yupo na watu wake wa usalama wa Taifa wanao peruzi nyuzi hapa JF na kumpasha Habari Musevni.👏👏👏
You got my golden buzzer mheshimiwa Rais M7 Kagutta wa Uganda 🎉🎉🎉🎉Hata Mimi nimeshangaa sana, ila sio Mara ya kwanza vitu kama hivi kunitokea, watu ninaoishi nao wananifahamu vizuri sana, endelea kufuatilia mijadala yangu utagundua.
Mwandishi wa Habari wa Tanzania digital ameongeza maneno yake unless there is video evidence showing otherwise.
😁😁😁 Huyu ni Muheshimiwa Rais M7 Kagutta wa Uganda kabisa, mimi kwa kweli mtaniua tu 😂😂😂😂 haiwezekani hii itukee coincidentally.Hivi wewe ulijuaje kwamba M7 Atayanukuu maneno yako asilimia 100%??
Nimeshangaa sana aisee, labda museveni yupo na watu wake wa usalama wa Taifa wanao peruzi nyuzi hapa JF na kumpasha Habari Musevni.👏👏👏
Tupo na Muheshimiwa Rais M7 Kagutta wa Uganda in the building 😁😁😁👐Dah!!!
Hahahaha, hapana MKUU, Mimi ni mkulima kapuku sina lolote, nipo huku kijijini mwakaleli- Tukuyu, ninalima na kufuga Manguruwe na samaki.Tupo na Muheshimiwa Rais M7 Kagutta wa Uganda in the building [emoji16][emoji16][emoji16][emoji114]
Sikiliza kwa makini.
Sawa Muheshimiwa Rais M7 Kagutta wa Uganda nimekuelewa. 😁😁😁👐Hahahaha, hapana MKUU, Mimi ni mkulima kapuku sina lolote, nipo huku kijijini mwakaleli- Tukuyu, ninalima na kufuga Manguruwe na samaki.
Ukifika Mwakaleli ulizia "Nabii" utaletwa hadi kwangu.Sawa Muheshimiwa Rais M7 Kagutta wa Uganda nimekuelewa. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji114]
Joto la Jiwe said:Tanzania ni Mecca/Jerusalem ya Africa tangu enzi za ukombozi, huyo Museven watoto wake wote aliwazaa akiwa Tanzania. Nchi pekee iliyokua ikipingana na ukweli ilikua ni Kenya, lakini kama ujuavyo huwezi kuzuia mvua, hatimae Uhuru Kenyatta amekubaliana na ukweli, ameamua kuja kuhufhuria hijja katika ardhi takatifu, kuanzia sasa Kenya itaanza kuwa na baraka za Mungu, karibu Museven na wewe upate baraka za Bwana. Tanzania Hoyeeeeeeeeee. No Tanzania, No East Africa, No SADC.
Mimi ni mtanzania nime "endorse" kuwa hii ni takataka umeandika hapa.
Msamehe bure kwasababu ninajua tunatofautiana sana katika " thinking capacity ".Haya Waterloo, leo M7 karudia kila kitu alichosema mkuu joto la jiwe toka koma hadi nukta...njoo hapa umtake radhi.....
Siwezi kumuomba radhi.kwanza museveni hafai kuwa kiongozi wa kuigwa .anang'ang'ania madaraka . kimsingi haajnishawishi kwa hoja zozote za msingi .bado msimamo wangu uko palepale joto la jiwe kaongea pumba.Haya Waterloo, leo M7 karudia kila kitu alichosema mkuu joto la jiwe toka koma hadi nukta...njoo hapa umtake radhi.....