Tetesi: Baada ya Kenyatta, Museveni naye yupo safarini Kwenda Chato

Tetesi: Baada ya Kenyatta, Museveni naye yupo safarini Kwenda Chato

Msamehe bure kwasababu ninajua tunatofautiana sana katika " thinking capacity ".
Kwa thinking hii ya kumuunga mkono dikteta museveni kuwa eti atakuwa anakuja Tanzania kuhiji huna cha kunisamehe brother. Bado kipimo chako cha uelewa ni ndogo sana kulinganisha na mimi.
 
Kwa thinking hii ya kumuunga mkono dikteta museveni kuwa eti atakuwa anakuja Tanzania kuhiji huna cha kunisamehe brother. Bado kipimo chako cha uelewa ni ndogo sana kulinganisha na mimi.
Wenye akili wameshakuelewa kwamba wewe uwezo wako wa akili ukoje.
 
Aisee, kila mtu na saizi yake bana. Kenya wamezuru marais kama Erdogan wa Uturuki, PM Theresa May wa U.K, Benjamin Netanyahu wa Israel, Nicholas Sarkozy wa Ufaransa. Leo rais Museveni na rais Uhuru kutua Chato imekuwa ni breaking news? Hizi ligi zenu ni za kienyeji sanaaa!
mrojylwfs49rcdmzsx5c8a02d223553.jpg
Rais wa Ufaransa alipozuru Kenya. M7, 'Kachapin' akielekea Chato. [emoji1]
DWBLMr4WsAE_GC8.jpg
Spot the difference.

Aha haaa
That's why u r Kenyans, a good example of colonial hangover.
 
Back
Top Bottom