Tetesi: Baada ya Kenyatta, Museveni naye yupo safarini Kwenda Chato

Msamehe bure kwasababu ninajua tunatofautiana sana katika " thinking capacity ".
Kwa thinking hii ya kumuunga mkono dikteta museveni kuwa eti atakuwa anakuja Tanzania kuhiji huna cha kunisamehe brother. Bado kipimo chako cha uelewa ni ndogo sana kulinganisha na mimi.
 
Kwa thinking hii ya kumuunga mkono dikteta museveni kuwa eti atakuwa anakuja Tanzania kuhiji huna cha kunisamehe brother. Bado kipimo chako cha uelewa ni ndogo sana kulinganisha na mimi.
Wenye akili wameshakuelewa kwamba wewe uwezo wako wa akili ukoje.
 

Aha haaa
That's why u r Kenyans, a good example of colonial hangover.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…