Philosodilia
Senior Member
- Jan 25, 2018
- 105
- 61
I don't like Uhuru ila kwa move hii jamaa amecheza. Bila hata kujeruhi wananchi wake amefanikiwa kumtia Raila kambani.
Alitanda askari jana, kisha akawatoa na Raila akajaa na kujiona mjanja, kumbe kuna Strartegic Plan nyuma ya ile move.
Strategist wa Uhuru (kama sio Uhuru mwenyewe) ana akili sana. Hakika Kenya imebarikiwa...
Hii Kenya na makundi hayo ya kigaidi ndiyo mlituaminisha nyinyi watu was chadema kwamba wana demokrasia kuliko Tanzania na kwamba wao wana katiba mpya nzuri inawasaidia! Muliongopa.Rafiki wa Magufuli kwisha habari yake. Hata hapa Tanzania CCM itangazwe kuwa kundi la kigaidi sawa na Intarahamwe na PalepeHutu
Hiyo haya ya mwisho ndio majibu ya kwanini Tanganyika sio Tanzania haiwezekani kufanyika yaliyofanyika Kenya leo au yaliyofanyika mara ya mwisho Kibaki alipotangazwa kuwa raisi awamu ya pili.Sizonje anafanya yale siyo kwasababu ni mbabe lah hasha,
Kwasababu anajua Watanganyika ni waoga na rahisi sana kuwanunua na kuwagawa.
Nakuhakikishia Sizonje angekuwa ni Raisi wa nchi kama Kenya hivi asingefanya haya anayofanya hapa Tanzania.
Huu ni ukweli mchungu, Watanzania utawanyanyasa watalalamika lakini Watanyamaza wakidai wanatunza amani.
Leo Wakikuyu wakihisi Mjaluo anasahau sehemu yake katika siasa za Kenya,
Lazima damu itamwagika, yaani ni sisi wajaluo na wao Wakikuyu.
Michezo yake isingefanikiwa kabisaaa!
Rafiki wa Magufuli kwisha habari yake. Hata hapa Tanzania CCM itangazwe kuwa kundi la kigaidi sawa na Intarahamwe na PalepeHutu
SUNGU SUNGU nilijua tu.View attachment 687717
Raila Odinga akiwa kwenye Viwanja vya Uhuru Park
KENYA: Serikali kupitia Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i amepinga marufuku kundi la na National Resistance Movement (NRM) lililopo chini ya Muungano wa wa Upinzani (NASA)
Kundi hilo limekuwa liliundwa baada ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio na limekuwa katika harakati za kutaka mabadiliko katika uchaguzi na wananchi kusuia bidhaa za makampuni ambayo yanadiwa kuwa upande wa serikali
Waziri huyo wa Usalama ameliweka kundi la NRM kwenye ordha moja na makundi ya kigaidi kama Al Shabaab na Al Qaeda
Hatua hii imekuja ikiwa ni baada ya Raila Odinga kujiapisha kama Rais wa Watu nchi Kenya
=======
The Kenyan Government declares Raila Odinga's National Resistance Movement (NRM) as an organized criminal group in a Gazette Notice from the Cabinet Secretary of Interior C.S Fred Matiangi!
Interior CS Fred Matiang'i lists NRM as an outlawed group
National Resistance Movement, an arm of opposition Nasa has been declared an organised criminal group, after its officials sworn-in Raila Odinga as the peoples’ president.
Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i, in making the declaration, cited Prevention of Organised Crimes Act 2010.
“In exercise of the powers conferred by section 22 of the Act, the Cabinet Secretary, Ministry of Interior and Co-ordination of National Government declares National Resistance Movement (NRM) to be organised criminal group for the purposes of the Act,” according to a gazette notice dated January 30.
In doing so, the CS placed NRM on a list that also includes terrorists groups like Al-Shabaab and Al-Qaeda.
Other groups like Mungiki, which is involved in murders and kidnappings are also in the list.
NRM agitates for electoral reforms and boycott of products and services provided by companies deemed to be pro-government.
Members of the public are usually warned against getting involved in activities of proscribed groups.
Harsh penalties, including life imprisonment and hefty fines of up to Sh1 million are imposed on those who do.
Previous ministers in charge of Security have on occasions proscribed various groups.
Other groups in the outlawed list are:
1. Al-Shabaab
2. Amachuma
3. Angola Msumbiji
4. Banyamulenge
5. Baghdad Boys
6. Charo Shutu
7. Chinkororo
8. Coast Housing Land Network
9. Congo by Force
10. Dallas Muslim Youth
11. Forty Brothers
12. Forty-two Brothers
13. Jeshi la Embakasi
14. Jeshi la Mzee
15. Jeshi la King’ole
16. Japo Group
17. Kamjesh
18. Kamukunji Youth Group
19. Kaya Bombo Youth
20. Kenya Youth Alliance
21. Kosovo Boys
22. Kuzacha
23. Makande Army
24. Mombasa Republican Council
25. Mungiki Movement, Mungiki Organisation, Mungiki Sect
28. Republican Revolutionary Council
29. Sabaot Land Defence Force
30. Sakina Youth
31. Sungu Sungu
32. Siafu
33. Taliban
Matiang'i declares NRM criminal group
Ataanzisha kundi jingineWanaandaa mazingira ya kumkamata kiongozi wa ''kikundi cha kigaidi''. Odinga sasa naona jela inamwita.
Ndiyo unsjidanfanya hivyo wewe mweupe kweli. Kwani Kalonzo alikuwepo? Na Mudavadi je! !alikuwepo? ? Kwani Raila ana la kupoteza. Raila katumwa kuchafua tu hali ya hewa kwani hagombei tokana na umri. Lakini anasafisha njia kwa kizazi cha hao majembe. Subiri uone kama watamgusaMwisho wa siku kauvaa mkenge wa kuvunja katiba ya nchi.
Serikali ya cdm ndiyo inatakiwa itangaze kuwa ccm ni kundi la kigaidi,tangazeni na uzezeta wenuRafiki wa Magufuli kwisha habari yake. Hata hapa Tanzania CCM itangazwe kuwa kundi la kigaidi sawa na Intarahamwe na PalepeHutu
Mbona Panya road hawako kwenye list."Sungu sungu" kumbe ni kundi la kigaidi? Sasa mbona tunawalea huku bongo?
Hiyo haya ya mwisho ndio majibu ya kwanini Tanganyika sio Tanzania haiwezekani kufanyika yaliyofanyika Kenya leo au yaliyofanyika mara ya mwisho Kibaki alipotangazwa kuwa raisi awamu ya pili.
Huku Tanganyika hakuna sana siasa za ukabila isipokuwa kuna kabila fulani chache zimeanza kuhamasisha siasa za kikabila na kikanda, na bahati mbaya hata ndani ya hizo kabila kuna busara ya Mungu miongoni mwao ambao hawaahabikii sana siasa za namna hiyo. Maana napo wanajikuta wanabaguana sisi wakatoliki na wale walutheri n.k.
Bahati mbaya zaidi bado hizo kabila zilizojiunga zina watu wachache kwa ujumla wao hivyo kura hazitoshi.
Na huku Tanzania bado madaraja ya watu kutokana na kipato bado sio makubwa sana kama Kenya kwenye ubepari.
Huku hata masikini anamiliki aridhi na hakuna anae kosa mahali pa kulima sababu yeye masikini. Huku kama haulimi ni uvivu wako tu.
Huku tatizo la ukosefu wa ajira sio kubwa kama Kenya. Huku ukifanya vurugu ukafungwa au kuumizwa au kuuwawa una cha kupoteza zaidi, lakini kule wengi wa vijana ambao ndio wafanya fujo na wanaojitoa muhanga hawana cha kupoteza wengi wamekata tamaa.
Babu Odinga hana cha kupoteza(umri haumruhusu kugombea uchaguzi ujao) kuliko mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka na ndio maana hakutokea kuapishwa kama Odinga.[/QUOT
Tatizo la ajira sio kubwa Tanzania?? Ukikula mandondo ukashiba ni tatizo.
Sitaji hadi Bashite atajeTaja kiwango chako cha elimu
Yetu machoKenyatta ana akili sana. Jamaa yake Faru John alitaka mauaji yatokee akadhibitiwa
Hahaha hivi hayo yaliotajwa yote yapo Kenya?"Sungu sungu" kumbe ni kundi la kigaidi? Sasa mbona tunawalea huku bongo?
Ndiyo unsjidanfanya hivyo wewe mweupe kweli. Kwani Kalonzo alikuwepo? Na Mudavadi je! !alikuwepo? ? Kwani Raila ana la kupoteza. Raila katumwa kuchafua tu hali ya hewa kwani hagombei tokana na umri. Lakini anasafisha njia kwa kizazi cha hao majembe. Subiri uone kama watamgusa