Baada ya Kiapo cha Odinga: Serikali imelitangaza kundi la NRM liongozwalo na Raila Odinga kuwa la kihalifu

Baada ya Kiapo cha Odinga: Serikali imelitangaza kundi la NRM liongozwalo na Raila Odinga kuwa la kihalifu

Raila ni kalio sana, huyo jamaa hana tofauti na Lowassa. Wanakaa kufikiria watu wanawataka ila ukweli kua wana washabiki wachache kulinganisha na upande wa pili. Yeye kakataa marudio ya uchaguzi mwenyewe sasa hivi anakuja kujifanya rais, kachaguliwa na nani? Anastahili kufungwa jela huyu mzee
Changia hoja acha vioja. Kuita watu wengine makalio ni upunguani.
 
Trump yuko sawa, sisi weusi sio binadamu ni mfano wa binadamu kama vile mamba na mijusi wanavyofanana, lakini mjusi sio mamba
 
Yaani wewe dogo bwana!
Sijui una matatizo gani akilini mwako.
Wewe unadhania Kenya ni Banana Republic kama Rwanda ???
Wakikuyu na Ukabila wao woote ni watu wajanja mno hapa Afrika Mashariki.
Wanajua kabisa Siasa ya nchi yao na ndiyo maana kumdhuru Odinga inakuwa ngumu.

Mosi,
Alisahwahi kusema Henry Kissinger "When politics becomes too vicious then know that the stakes are too low: That's why University politics are too vicious because the stakes are just too low". Nadhani hapa utakuwa umeelewa kwanini wale Wakenya na Majasusi wao wenye akili kubwa kuliko wewe hawawezi kumuua Raila Odinga kirahisi rahisi tu. Tofauti na Tanzania hapa Raila mbali na kuwakilisha NASA nyuma yake ule ni msukumo mkubwa wa The Luo Elites. Nchi ikiingia kwenye machafuko haitakuwa tena NASA vs JUBILEE bali The LUO vs The KIKUYU.

Pili,
Uchumi wa Kenya Siyo kama Tanzania ambako ni (Half Command Economy, half Market Economy)
Kenya tayari ni Market Economy ambako uchumi hutegemea sana watu binafsi, soko la ndani na ushindani.
Nchi ile tayari imeingia kwenye kima cha kati cha Uchumi na vurugu zikitokea ina maana lazima kutatokea Economic Shock: Nchi itapunguza kiwango cha Uzalishaji, Soko la ndani litaharibika kwasababu uchumi uko mikononi mwa watu binafsi, uwekezaji kutoka nje na usafirishaji wa bidhaa kwenda nje utapungua hivyo itakuwa ngumu sana kwa Kenya kurudisha Uchumi wake juu bila kuongeza deni la taifa. Kitu kibaya sana kimkakati kwa nchi inayoendelea, hivyo Raisi Kenyatta hawezi kufanya upumbavu kwasababu The Stakes are just too high!

Tanzania Uchumi wake nusu ni Market Economy na nusu ni Command Economy,
Serikali ndiyo Mfanya Biashara Mkuu, na kipindi hiki cha Raisi Magufuli tunarudishwa tena kwenye Command Economy.
Huku tukishuhudia Sekta Binafsi zikifia kifo cha Mende: Nchi kama hii haina cha kupoteza kwasababu hakuna Interest Groups au Lobbying Groups ambazo zinaweza kuzuia Serikali isifanye Ujinga. Tena wananchi wengi ni masikini na hawajasoma (The Stakes are too low) na hata vurugu zikitokea zaidi ya kufa watu tu hakutakuwa na kingine cha kutishia Watanzania kwasababu wengi wetu tunaishi Below the poverty line tangia Uhuru.

Tofauti na Kenya,
Tanzania kwasababu ni Command Economy inaweza kurudisha juu haraka sana hata baada ya machafuko.
Tunaweza kufanya Ubinafsishaji (Privatization of major means of production) na kuruhu uwekezaji kwa kiwango kikubwa.
Raisi Mkapa alifanya sana hivi na Uchumi ulikuwa juu sana kwa muda mfupi; Raisi Kikwete alifanya hivi japo walishindwa kusimamia. Ndugu zetu Kenya hawawezi kufanya haya kwasababu nchi iliuzwa na Mzee Jomo Kenyatta tangia siku wanapata Uhuru.

Tatu.
Kenya wamevuka sana huu ulimwengu wa mawazo ya kitoto ambayo yametuganda sisi Watanzania tunaojihisi tuna akili.
Wao Uchumi ndiyo lugha ya kwanza kabla ya chochote kile. Tanzanian Government Trust in Guns and Swords, Kenyan Government Trust in Dollars and speaks one language called Economy. When they do diplomacy the do it for the sake of Economy, When they wage War they do it for the sake of Economy, When they do Humanitarian Interventions its all for the sake of Economy, When they do partisan Elections its all for the sake of Economy, and when they extend a hand of friendship its all for the sake of the Economy. And not this political expediency themed in our clumsy political arena. See the difference ??? I know it's hard to chew this up but its a painful truth. Kenya is few steps ahead of us.

NB: If its all about assassinating Raila Odinga or refraining from assassinating him, its all done in the name of Kenya's Economy. But here, here its different people kill, torture and do all kind of lackadaisical stuff for political expediency.

Nne,
Wakenya hawajiangalii tu wao katika kufanya maamuzi.
Nchi yao imekuwa mbele kiuchumi kwa muda mrefu sana kwenye huu ukanda wa Maziwa makuu.
Tangia aingie Raisi Jakaya Mrisho Kikwete nafasi yao imeonekana kutetereshwa na huyu Raisi Magufuli kupitia Uganda na Rwanda ameonekana kutishia kabisa ustawi wa Kenya kiuchumi. Leo hii wakimuua Raila Odinga hata Kimafia unadhani vurugu za Wajaluo na Wakikuyu zitaiacha nchi ile Salama ??? Zikitokea vurugu mle kwanza shughuli nyingi za Kiuchumi kama Kilimo na Utalii vitahamia Tanzania. Wawekezaji wengi wanaweza kuvutwa na Tanzania kama ilivyokuwa kwenye bomba la mafuta wakasingizia usalama. Sasa kama Kenya akiijiingiza kwenye vurugu basi itakula kwake tuu.

Tano,
Unasahau The ICC (International Criminal Court) Factor,
Raisi Uhuru Kenyatta na Makamu wake Bwana Rutto walishaonje joto ya jiwe kule The Hague.
Hivi unategemea kweli kama wataenda mara ya pili kwa kusababisha haya mauji watapona kweli ???
Hata Raisi Magufuli na jehuri yake akipelekwa kule hata wiki tu akirudi hapa atakuwa na roho nzuri kuliko Nabii Mussa.

NB: Angalia kule Sudan Raisi Omar Al Bashir siku hizi anafanya umafia kwa akili sana,
Tangu ilivyotangazwa kwamba yeye ni Indictable na kunusurika kudakwa kule Afrika kusini anaogopa balaa.
Sasa Wakikuyu wana akili sana, wameshajua kwamba wanamulikwa na Raila Odinga anafanya maksudi akijua kabisa dunia inaiangalia Kenya kwa jicho la tatu... (Hawewezi kudiriki hata kumgusa) unaweza ukawa ndiyo mwanzo wa shida tena kwa Raisi Kenyatta.

Sita,
Hapa Afrika Mashariki hakujawahi tokea Raisi Mbabe kama Daniel Arap Moi.
Arap Moi's tactics make Kagame na Magufuli look like Kindergarten Babies.
Alimwaga damu bila kuficha, alikuwa na misimamo mikali na alikuwa ana akili sana.
Lakini katika kuua kwake kote kule hakuzuia mabadiliko nchini Kenya,..mara KANU hiyo ikafa kifo cha mende.
Mtu yeyote mwenye akili ni lazima ajue kwamba "Nothing can ever stop changes within a society, you may try to delay it but it will come back knocking at your doorstep" and Smart governments do not avoid changes but they invented STRATEGIC PLANNING so as to adjust themselves to the coming changes which are brought under the umbrella of time. Huwezi kuzuia mabadiliko kwa kuua kimafia ndugu yangu; haijawahi tokea na haiji tokea zaidi zaidi mtayachelewesha tu lakini yatakuja.

NB: Watanzania ni lazima tujifunze kuangalia mambo katika Uzito wake,
Raisi Kenyatta kumwacha Raila Odinga kufanya haya ni kwamba There is more to this than what meets the eye.
Too much stakes,.... Kenya has just hit The Fork on the Road!
My big brother u've just hit the nail on the head I salute you !!!
 
View attachment 687717
Raila Odinga akiwa kwenye Viwanja vya Uhuru Park

KENYA: Serikali kupitia Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i amepinga marufuku kundi la na National Resistance Movement (NRM) lililopo chini ya Muungano wa wa Upinzani (NASA)

Kundi hilo limekuwa liliundwa baada ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio na limekuwa katika harakati za kutaka mabadiliko katika uchaguzi na wananchi kusuia bidhaa za makampuni ambayo yanadiwa kuwa upande wa serikali

Waziri huyo wa Usalama ameliweka kundi la NRM kwenye ordha moja na makundi ya kigaidi kama Al Shabaab na Al Qaeda

Hatua hii imekuja ikiwa ni baada ya Raila Odinga kujiapisha kama Rais wa Watu nchi Kenya

=======

The Kenyan Government declares Raila Odinga's National Resistance Movement (NRM) as an organized criminal group in a Gazette Notice from the Cabinet Secretary of Interior C.S Fred Matiangi!
bb7e61ba5c17a18c40e5fe41e1920288.jpg

Interior CS Fred Matiang'i lists NRM as an outlawed group

National Resistance Movement, an arm of opposition Nasa has been declared an organised criminal group, after its officials sworn-in Raila Odinga as the peoples’ president.

Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i, in making the declaration, cited Prevention of Organised Crimes Act 2010.

“In exercise of the powers conferred by section 22 of the Act, the Cabinet Secretary, Ministry of Interior and Co-ordination of National Government declares National Resistance Movement (NRM) to be organised criminal group for the purposes of the Act,” according to a gazette notice dated January 30.

In doing so, the CS placed NRM on a list that also includes terrorists groups like Al-Shabaab and Al-Qaeda.

Other groups like Mungiki, which is involved in murders and kidnappings are also in the list.

NRM agitates for electoral reforms and boycott of products and services provided by companies deemed to be pro-government.

Members of the public are usually warned against getting involved in activities of proscribed groups.

Harsh penalties, including life imprisonment and hefty fines of up to Sh1 million are imposed on those who do.

Previous ministers in charge of Security have on occasions proscribed various groups.

Other groups in the outlawed list are:

1. Al-Shabaab

2. Amachuma

3. Angola Msumbiji

4. Banyamulenge

5. Baghdad Boys

6. Charo Shutu

7. Chinkororo

8. Coast Housing Land Network

9. Congo by Force

10. Dallas Muslim Youth

11. Forty Brothers

12. Forty-two Brothers

13. Jeshi la Embakasi

14. Jeshi la Mzee

15. Jeshi la King’ole

16. Japo Group

17. Kamjesh

18. Kamukunji Youth Group

19. Kaya Bombo Youth

20. Kenya Youth Alliance

21. Kosovo Boys

22. Kuzacha

23. Makande Army

24. Mombasa Republican Council

25. Mungiki Movement, Mungiki Organisation, Mungiki Sect

28. Republican Revolutionary Council

29. Sabaot Land Defence Force

30. Sakina Youth

31. Sungu Sungu

32. Siafu

33. Taliban

Matiang'i declares NRM criminal group
Kaka ea demokrasia afrika masharik
 
Tuwe wakweli ,
Anachokifanya Raila Odinga ni kosa sana kisheria hilo wala sijakataa. Lakini nilichokiongelea hapo juu ni kwamba hapa nchini Raisi Magufuli anajifanyia anavyotaka na kuvunja katiba ya nchi with Impunity kwasababu ameshajua Watanzania ni waoga sana, wananunulika kirahisi kisa vyeo na ni rahisi kuwagawanya. Kama kaingilia Uhuru wa Mahakama na Kuminya demokrasia nchini, kufanya manunuzi makubwa bila idhini ya bunge, kudanganya bunge na taifa lote kwa ujumla kuhusu mambo mbali mbali na kutotii maagizo ya mahakama halafu hakuna anachofanywa na wananchi unadhani unaweza kufanya hivi nchini Kenya au Nigeria bila kusababisha madhara ??? (Only in Tanzania)

NB: Kinachosikitisha na kuudhi ni kwamba wanakuja watu wasomi kama wewe mnatetea ujinga na kusifia kwamba Magufuli ana heshimu Katiba na Sheria za nchi. (So sad)
Labda kama njia yako ni kutuaminisha kwa JPM anakosea kwa sababu unajua watz huwa hawasomi katiba, suala la Matumizi ya pesa hata wabunge mwanzoni walijaribu kuhoji lakini walkaa kimya baada ya kugundua katiba inamruhusu rais kubadili Matumizi yoyote ya pesa kwa maslahi ya taifa. Sasa swali likaja je Matumizi aliyofanya ya ununuzi wa Ndege ni kwa maslahi ya taifa? Hapo ndio wakina Zitto ikabidi wakae kimya. Suala la mahakama ni la kusadikika zaidi kwa sababu hakuna ushahidi wa moja kwa moja ambao unaweza ukasema rais alimpigia jaji au hakimu akamwambia mfunge MTU Fulani although inawezekana maamuzi ya majaji au hakimu wanaweza kuwa yanawalakini labda ni kutokana na woga UA wanataka wapandishwe vyeo kwa kumfurahisha mkuu hilo siwezi kulijadili sana.
Suala la tofauti ya hapa na Kenya labda kwa sababu hujawahi kuishi Kenya lakini sehemu ambayo wapinzani au wanasiasa wameuwawa zaidi kuliko nchi yoyote EA ni Kenya anzia enzi za akina Ouko, baba yake na Odinga aliwekwa kizuizini kwa muda gani bila mashtaka? Odinga mwenyewe unajua alishawekwa kizuizini?
Nigeria unayosema unajua ni lini imepata hata serikali ya kidemokrasia?
Tatizo hapa kuna watu kama nyie mnadhani demokrasia ya kweli ni kuruhusu fujo na watu waachwe kwa hilo ni ngumu kwa ngosha labda tusubili 2025 lakini pia kumbuka Kikwete alitupa Uhuru lakini tuliishia kumwita dhaifu na matusi mengi tu. Na hawa viongozi wanajifunza kutokana na makosa inawezekana JPM upinzani ndio ulimjega kwa kusema tunataka rais wa aina gani na Mungu akawasikiliza akawaletea rais mkali, tumwombe tena Mungu atuletee rais mpole 2025 aje mpole tena
 
Huyu jamaa aisee ataleta shida sana Kenya.. Baba yake alikufa huku akiutaka uraisi bila ya mafanikio.. Sasa naona mtoto ameamua liwalo na liwe, baada ya kuona ameshaukosa uraisi rasmi..

Usilolijua ni kama usiku wa giza
Baba yake raila ndio aliompa Nchi mzee kinyata.wakati huo akiwa gerezani
Akamwambia mzee kenyata nakukabidhi wewe nchi na nakuamini
Walikabidhiana kwa roho moja na kuaminiana saaana
Fatilia historia mkuu usipayuke tu
 
Namlaumu na namshangaa sana Kenyatta na Ruto wake kwani Mtu kama Odinga alipashwa awe ' ameshapotezwa ' siku nyingi sana Kimafia / Kijasusi ili asiwasumbue na pia iwe sehemu ya ' kuwatisha ' na ' kuwanyamazisha ' wale wengine wote wenye viherehere ( Waganda wanasema wenye lugezigezi ) ili nchi ya Kenya iwe tulivu na waendelee kuijenga Kenya yao. Kwa kuchelewa Kwao huku ' Kummaliza ' sasa Odinga atawasumbua mno na kuharibu kila mara mipango yao ya Kiuongozi / Kiutawala.
Kila anayejitokeza kukupinga unammaliza, utamaliza wangapi...halafu unajua dunia inakokwenda...kuna siku hawa watawala wanaoua watu kwa kuwapinga watakuja kukamatwa kama kuku na kushtakiwa kimataifa.

Kenyatta anajua wapi kama dunia tunakwenda, watawala wengi hawajui.
 
Yaani wewe dogo bwana!
Sijui una matatizo gani akilini mwako.
Wewe unadhania Kenya ni Banana Republic kama Rwanda ???
Wakikuyu na Ukabila wao woote ni watu wajanja mno hapa Afrika Mashariki.
Wanajua kabisa Siasa ya nchi yao na ndiyo maana kumdhuru Odinga inakuwa ngumu.

Mosi,
Alisahwahi kusema Henry Kissinger "When politics becomes too vicious then know that the stakes are too low: That's why University politics are too vicious because the stakes are just too low". Nadhani hapa utakuwa umeelewa kwanini wale Wakenya na Majasusi wao wenye akili kubwa kuliko wewe hawawezi kumuua Raila Odinga kirahisi rahisi tu. Tofauti na Tanzania hapa Raila mbali na kuwakilisha NASA nyuma yake ule ni msukumo mkubwa wa The Luo Elites. Nchi ikiingia kwenye machafuko haitakuwa tena NASA vs JUBILEE bali The LUO vs The KIKUYU.

Pili,
Uchumi wa Kenya Siyo kama Tanzania ambako ni (Half Command Economy, half Market Economy)
Kenya tayari ni Market Economy ambako uchumi hutegemea sana watu binafsi, soko la ndani na ushindani.
Nchi ile tayari imeingia kwenye kima cha kati cha Uchumi na vurugu zikitokea ina maana lazima kutatokea Economic Shock: Nchi itapunguza kiwango cha Uzalishaji, Soko la ndani litaharibika kwasababu uchumi uko mikononi mwa watu binafsi, uwekezaji kutoka nje na usafirishaji wa bidhaa kwenda nje utapungua hivyo itakuwa ngumu sana kwa Kenya kurudisha Uchumi wake juu bila kuongeza deni la taifa. Kitu kibaya sana kimkakati kwa nchi inayoendelea, hivyo Raisi Kenyatta hawezi kufanya upumbavu kwasababu The Stakes are just too high!

Tanzania Uchumi wake nusu ni Market Economy na nusu ni Command Economy,
Serikali ndiyo Mfanya Biashara Mkuu, na kipindi hiki cha Raisi Magufuli tunarudishwa tena kwenye Command Economy.
Huku tukishuhudia Sekta Binafsi zikifia kifo cha Mende: Nchi kama hii haina cha kupoteza kwasababu hakuna Interest Groups au Lobbying Groups ambazo zinaweza kuzuia Serikali isifanye Ujinga. Tena wananchi wengi ni masikini na hawajasoma (The Stakes are too low) na hata vurugu zikitokea zaidi ya kufa watu tu hakutakuwa na kingine cha kutishia Watanzania kwasababu wengi wetu tunaishi Below the poverty line tangia Uhuru.

Tofauti na Kenya,
Tanzania kwasababu ni Command Economy inaweza kurudisha juu haraka sana hata baada ya machafuko.
Tunaweza kufanya Ubinafsishaji (Privatization of major means of production) na kuruhu uwekezaji kwa kiwango kikubwa.
Raisi Mkapa alifanya sana hivi na Uchumi ulikuwa juu sana kwa muda mfupi; Raisi Kikwete alifanya hivi japo walishindwa kusimamia. Ndugu zetu Kenya hawawezi kufanya haya kwasababu nchi iliuzwa na Mzee Jomo Kenyatta tangia siku wanapata Uhuru.

Tatu.
Kenya wamevuka sana huu ulimwengu wa mawazo ya kitoto ambayo yametuganda sisi Watanzania tunaojihisi tuna akili.
Wao Uchumi ndiyo lugha ya kwanza kabla ya chochote kile. Tanzanian Government Trust in Guns and Swords, Kenyan Government Trust in Dollars and speaks one language called Economy. When they do diplomacy the do it for the sake of Economy, When they wage War they do it for the sake of Economy, When they do Humanitarian Interventions its all for the sake of Economy, When they do partisan Elections its all for the sake of Economy, and when they extend a hand of friendship its all for the sake of the Economy. And not this political expediency themed in our clumsy political arena. See the difference ??? I know it's hard to chew this up but its a painful truth. Kenya is few steps ahead of us.

NB: If its all about assassinating Raila Odinga or refraining from assassinating him, its all done in the name of Kenya's Economy. But here, here its different people kill, torture and do all kind of lackadaisical stuff for political expediency.

Nne,
Wakenya hawajiangalii tu wao katika kufanya maamuzi.
Nchi yao imekuwa mbele kiuchumi kwa muda mrefu sana kwenye huu ukanda wa Maziwa makuu.
Tangia aingie Raisi Jakaya Mrisho Kikwete nafasi yao imeonekana kutetereshwa na huyu Raisi Magufuli kupitia Uganda na Rwanda ameonekana kutishia kabisa ustawi wa Kenya kiuchumi. Leo hii wakimuua Raila Odinga hata Kimafia unadhani vurugu za Wajaluo na Wakikuyu zitaiacha nchi ile Salama ??? Zikitokea vurugu mle kwanza shughuli nyingi za Kiuchumi kama Kilimo na Utalii vitahamia Tanzania. Wawekezaji wengi wanaweza kuvutwa na Tanzania kama ilivyokuwa kwenye bomba la mafuta wakasingizia usalama. Sasa kama Kenya akiijiingiza kwenye vurugu basi itakula kwake tuu.

Tano,
Unasahau The ICC (International Criminal Court) Factor,
Raisi Uhuru Kenyatta na Makamu wake Bwana Rutto walishaonje joto ya jiwe kule The Hague.
Hivi unategemea kweli kama wataenda mara ya pili kwa kusababisha haya mauji watapona kweli ???
Hata Raisi Magufuli na jehuri yake akipelekwa kule hata wiki tu akirudi hapa atakuwa na roho nzuri kuliko Nabii Mussa.

NB: Angalia kule Sudan Raisi Omar Al Bashir siku hizi anafanya umafia kwa akili sana,
Tangu ilivyotangazwa kwamba yeye ni Indictable na kunusurika kudakwa kule Afrika kusini anaogopa balaa.
Sasa Wakikuyu wana akili sana, wameshajua kwamba wanamulikwa na Raila Odinga anafanya maksudi akijua kabisa dunia inaiangalia Kenya kwa jicho la tatu... (Hawewezi kudiriki hata kumgusa) unaweza ukawa ndiyo mwanzo wa shida tena kwa Raisi Kenyatta.

Sita,
Hapa Afrika Mashariki hakujawahi tokea Raisi Mbabe kama Daniel Arap Moi.
Arap Moi's tactics make Kagame na Magufuli look like Kindergarten Babies.
Alimwaga damu bila kuficha, alikuwa na misimamo mikali na alikuwa ana akili sana.
Lakini katika kuua kwake kote kule hakuzuia mabadiliko nchini Kenya,..mara KANU hiyo ikafa kifo cha mende.
Mtu yeyote mwenye akili ni lazima ajue kwamba "Nothing can ever stop changes within a society, you may try to delay it but it will come back knocking at your doorstep" and Smart governments do not avoid changes but they invented STRATEGIC PLANNING so as to adjust themselves to the coming changes which are brought under the umbrella of time. Huwezi kuzuia mabadiliko kwa kuua kimafia ndugu yangu; haijawahi tokea na haiji tokea zaidi zaidi mtayachelewesha tu lakini yatakuja.

NB: Watanzania ni lazima tujifunze kuangalia mambo katika Uzito wake,
Raisi Kenyatta kumwacha Raila Odinga kufanya haya ni kwamba There is more to this than what meets the eye.
Too much stakes,.... Kenya has just hit The Fork on the Road!
Top notch analysis...no doubt about it.
 
Si rahisi hivyo kumsekwa ndani Odinga kufanya hivyo kutamzidishia umaarufu.Lakufanya ni Rais Kenyatta kuwapuuza na mambo yatatulia polepole
 
Namlaumu na namshangaa sana Kenyatta na Ruto wake kwani Mtu kama Odinga alipashwa awe ' ameshapotezwa ' siku nyingi sana Kimafia / Kijasusi ili asiwasumbue na pia iwe sehemu ya ' kuwatisha ' na ' kuwanyamazisha ' wale wengine wote wenye viherehere ( Waganda wanasema wenye lugezigezi ) ili nchi ya Kenya iwe tulivu na waendelee kuijenga Kenya yao. Kwa kuchelewa Kwao huku ' Kummaliza ' sasa Odinga atawasumbua mno na kuharibu kila mara mipango yao ya Kiuongozi / Kiutawala.
Genta kinachombeba Odinga ni wafuasi wengi maana hapo ni ukabila unaongelewa,kumpoteza kama usemavyo ni hatari kuliko kumwacha tu ajiapishe na kurudi nyumbani kupiga chang'aa.

Fikiria mtu ana wafuasi ambao wasipo pigwa mabomu wanalalamika sasa unadhani akipotezwa hao vichaa si patachimbika.
 
Kila anayejitokeza kukupinga unammaliza, utamaliza wangapi...halafu unajua dunia inakokwenda...kuna siku hawa watawala wanaoua watu kwa kuwapinga watakuja kukamatwa kama kuku na kushtakiwa kimataifa.

Kenyatta anajua wapi kama dunia tunakwenda, watawala wengi hawajui.

Yeye si tayari muhanga wa ICC??
 
Back
Top Bottom